< Isaiah 48 >
1 Hear yee this, O house of Iaakob, which are called by the name of Israel, and are come out of the waters of Iudah: which sweare by the Name of the Lord, and make mention of the God of Israel, but not in truth, nor in righteousnesse.
Sikiliza hili, nyumba ya Jakobo, mlioitwa kwa jina la Israeli, na mmetoka katika mbegu ya Yuda; yeye akirie kwa jina la Yahwe na kumuhusisha Mungu wa Israeli, lakini sio kweli wala kwa namna ya haki.
2 For they are called of the holy citie, and staie themselues vpon the God of Israel, whose Name is the Lord of hostes.
Maana wanajiita wenyewewatu wa mji mtakatifu na kumuamini Mungu wa Israeli; Yahwe wa majeshi ndilo jina lake.
3 I haue declared ye former things of old, and they went out of my mouth, and I shewed them: I did them suddenly, and they came to passe.
''Nimetangaza vitu kutoka siku nyingi; Wamekuja nje kutoka mdomoni mwangu, na nimewafanya wajulikane; halafu gafla nimewafanyia, na yakatimia.
4 Because I knewe, that thou art obstinate, and thy necke is an yron sinew, and thy brow brasse,
Kwa sababu nilijua kwamba wewe ni mkaiidi, misuli ya shingo yako ni kama ya chuma, na paji la uso ni kama shaba,
5 Therefore I haue declared it to thee of old: before it came to passe, I shewed it thee, lest thou shouldest say, Mine idole hath done them, and my carued image, and my molten image hath commanded them.
Hivyo basi nilitangaza vitu hivi kabla havijatokeo hivyo, nilikujulisha wewe, 'Sanamu yangu imefanya haya au sanamu yangu ya kuchonga na sanamu yangu ya kuyeyusha, yamekwishisha vitu.
6 Thou hast heard, behold all this, and wil not yee declare it? I haue shewed thee newe things, euen now, and hid things, which thou knewest not.
Umesikia kuhusu mambo haya; angalia ushahidi wote; na wewe, Je hautakubali kwamba ninacho kisema ni cha kweli? Kuanzia sasa na kuendelea Nitawaonyesha vitu vipya, mambo yaliyofichika ambayo hamkuyajua.
7 They are created now, and not of olde, and euen before this thou heardest them not, lest thou shouldest say, Beholde, I knewe them.
Sasa, na sio yaliyopita, yamekuwa sasa, na kabla ya leo hamkusikia kuhusu wao, hivyo hautaweza kusema, 'Ndio, nilijua kuhusu wao.'
8 Yet thou heardest them not, neither diddest know them, neither yet was thine eare opened of olde: for I knewe that thou wouldest grieuously transgresse: therefore haue I called thee a transgressour from the wombe.
Haukusikia; haukuelewa; haya mambo hayakufuniliwa katika masikio kabla ya. Maana nilijua kwamba umekuwa mdanganyifu, na kwamba umekuwa muasi kutoka kuzaliwa.
9 For my Names sake will I defer my wrath, and for my praise will I refraine it from thee, that I cut thee not off.
Kwa niaba ya jina langu nitahairisha asira yangu, na kwa heshima yangu nitajizuia kutokumuharibu yeye.
10 Behold, I haue fined thee, but not as siluer: I haue chosen thee in the fornace of affliction.
Tazama, Mimi niliwaandaa ninyi, lakini sio kama fedha; Nimekusafisha wewe katika tanuru la mateso.
11 For mine owne sake, for mine owne sake wil I doe it: for how should my Name be polluted? surely I wil not giue my glory vnto another.
Kwa niaba yangu, kwa niaba yangu nitafanya; maana ni kwa jinsi gani niruhusu jina langu lisiheshimike? Sitampa utukufu wangu mtu yeyote.
12 Heare me, O Iaakob and Israel, my called, I am, I am the first, and I am the last.
Nisikilize mimi, Yakobo, na Israeli niliyekuita: Mimi ndiye; Mimi ni wa kwanza, na pia wa mwisho.
13 Surely mine hand hath laid the foundation of the earth, and my right hand hath spanned the heaues: when I cal them, they stand vp together.
Ndio, mkono wangu umeweka msingi wa nchi, na mkono wangu wa kuume ulizitawanya mbingu, zimesimama juu kwa pamoja.
14 All you, assemble your selues, and heare: which among them hath declared these thinges? The Lord hath loued him: he wil doe his will in Babel, and his arme shalbe against the Chaldeans.
Jikusanyeni wenyewe, nyinyi nyote, na sikilizeni; ni nani miongoni mwenu atangazaye mambo haya? Yahwe atakamilisha lengo lake dhidi ya Babeli. Atachukua mapenzi ya Yahwe dhidi ya wa Wakaldayo.
15 I, euen I haue spoken it, and I haue called him: I haue brought him, and his way shall prosper.
Mimi, nimezungumza, ndio, nimemchagua yeye, nimemleta yeye, na yeye atafanikiwa.
16 Come neere vnto me: heare ye this: I haue not spoken it in secret from the beginning: from the time that the thing was, I was there, and now the Lord God and his Spirit hath sent me.
Sogea karibu na mimi, sikiliza hili; kutoka mwanzo sikuzungumza katika siri; lakini ilipotokea, Mimi niko hapa; na sasa Bwana Mungu amenituma mimi, na Roho wake.''
17 Thus saith the Lord thy redeemer, the Holy one of Israel, I am the Lord thy God, which teach thee to profite, and lead thee by the way, that thou shouldest goe.
Yahwe asema hivi, Mkombozi wenu, Mtakatifu wa Israeli anasema, ''Mimi ni Yahwe Mungu wenu, ninayewafundisha juu ya kufanikiwa, ninayewaonyesha njia mtakayoiptia.
18 Oh that thou haddest hearkened to my commandements! then had thy prosperitie bene as the floude, and thy righteousnesse as the waues of the sea.
Ikiwa kama mtaheshimu amri zangu! Hivyo amani na maendeleo yatatiririka kama mto, na wokovu wenu ni kama mawimbi kwenye bahari.
19 Thy seede also had beene as the sande, and the fruite of thy body like the grauell thereof: his name should not haue bene cut off nor destroied before me.
Watoto wako watakuwa wengi kama mchanga, na watoto kutoka kwenye tombo zenu watakuwa wengi kama nafaka kwenye mchanga; majina yao hayataondolewa wala kufutwa mbele yangu.
20 Goe yee out of Babel: flee yee from the Chaldeans, with a voice of ioy: tel and declare this: shewe it foorth to the ende of the earth: say yee, The Lord hath redeemed his seruant Iaakob.
Tokeni nje ya Babeli! wakimbieni Wakaldayo! kwa sauti ya kupiga kelele tangaza kwamba! hakikisha hili linajulikana, hakikisha hili linafika mpaka miisho ya nchi! sema 'Yahwe amemkomboa Yakobo mtumishi wake.
21 And they were not thirstie: hee led them through the wildernesse: hee caused the waters to flowe out of the rocke for them: for he claue the rocke, and the water gushed out.
Hawakupatwa na kiu alipowaongoza katika jangwa, alifanya maji kutokea kwenye mwamba kwa ajili yao; aliugawa na kufungua mwamba, na maji yakatoka nje.
22 There is no peace, sayeth the Lord, vnto the wicked.
Hakuna amani kwa watenda makosa- amesema Yahwe.''