< Isaiah 12 >

1 And thou shalt say in that day, O Lord, I will prayse thee: though thou wast angrie with me, thy wrath is turned away, and thou comfortest me.
Katika siku ile utasema: “Nitakusifu wewe, Ee Bwana. Ingawa ulinikasirikia, hasira yako imegeukia mbali nawe umenifariji.
2 Beholde, God is my saluation: I will trust, and will not feare: for ye Lord God is my strength and song: he also is become my saluation.
Hakika Mungu ni wokovu wangu; nitamtumaini wala sitaogopa. Bwana, Bwana, ni nguvu zangu na wimbo wangu; amekuwa wokovu wangu.”
3 Therefore with ioy shall ye drawe waters out of the welles of saluation.
Kwa furaha mtachota maji kutoka visima vya wokovu.
4 And ye shall say in that day, Prayse the Lord: call vpon his Name: declare his workes among the people: make mention of them, for his Name is exalted.
Katika siku hiyo mtasema: “Mshukuruni Bwana, mliitie jina lake; julisheni miongoni mwa mataifa yale aliyoyafanya, tangazeni kuwa jina lake limetukuka.
5 Sing vnto the Lord, for he hath done excellent things: this is knowen in all the worlde.
Mwimbieni Bwana, kwa kuwa ametenda mambo makuu, hili na lijulikane duniani kote.
6 Cry out, and shoute, O inhabitant of Zion: for great is ye holy one of Israel in the middes of thee.
Pazeni sauti mwimbe kwa furaha, watu wa Sayuni, kwa maana mkuu ni yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli miongoni mwenu.”

< Isaiah 12 >