9 Then wrote Rehum the chauncelour, and Shimshai the scribe, and their companions Dinaie, and Apharsathcaie, Tarpelaie, Apharsaie, Archeuaie, Bablaie, Shushanchaie, Dehaue, Elmaie,
Rehumu afisa msimamizi na mwandishi Shimshai, pamoja na wenzao, yaani mahakimu na maafisa walio juu ya watu kuanzia Tripoli, Uajemi, Ereki na Babeli, Waelami wa Shushani,