< Ezra 2 >
1 These also are the sonnes of the prouince, that went vp out of the captiuitie (whome Nebuchadnezzar King of Babel had caried away vnto Babel) and returned to Ierusalem, and to Iudah, euery one vnto his citie,
Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
2 Which came with Zerubbabel, to wit, Ieshua, Nehemiah, Seraiah, Reelaiah, Mordecai, Bilshan, Mispar, Biguai, Rehum, Baanah. The number of the men of the people of Israel was,
wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana): Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:
3 The sonnes of Parosh, two thousand, an hudreth seuentie and two:
wazao wa Paroshi 2,172
4 The sonnes of Shephatiah, three hundreth, seuentie and two:
wazao wa Shefatia 372
5 The sonnes of Arah, seuen hundreth, and seuentie and fiue:
wazao wa Ara 775
6 The sonnes of Pahath Moab, of the sonnes of Ieshua and Ioab, two thousand, eight hundreth and twelue:
wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,812
7 The sonnes of Elam, a thousande, two hundreth and foure and fiftie:
wazao wa Elamu 1,254
8 The sonnes of Zattu, nine hundreth and fiue and fourtie:
wazao wa Zatu 945
9 The sonnes of Zaccai, seuen hundreth and threescore:
wazao wa Zakai 760
10 The sonnes of Bani, sixe hundreth and two and fourtie:
wazao wa Bani 642
11 The sonnes of Bebai, sixe hundreth, and three and twentie:
wazao wa Bebai 623
12 The sonnes of Azgad a thousand, two hundreth and two and twentie:
wazao wa Azgadi 1,222
13 The sonnes of Adonikam, sixe hundreth, three score and sixe:
wazao wa Adonikamu 666
14 The sonnes of Biguai, two thousand, and sixe and fiftie:
wazao wa Bigwai 2,056
15 The sonnes of Adin, foure hundreth and foure and fiftie:
wazao wa Adini 454
16 The sonnes of Ater of Hizkiah, ninetie and eight:
wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
17 The sonnes of Bezai, three hundreth and three and twentie:
wazao wa Besai 323
18 The sonnes of Iorah, an hudreth and twelue:
wazao wa Yora 112
19 The sonnes of Hasshum, two hundreth and three and twentie:
wazao wa Hashumu 223
20 The sonnes of Gibbar, ninetie and fiue:
wazao wa Gibari 95
21 The sonnes of Beth-lehem, an hundreth and three and twentie:
watu wa Bethlehemu 123
22 The men of Netophah, sixe and fiftie:
watu wa Netofa 56
23 The men of Anothoth, an hundreth and eight and twentie:
watu wa Anathothi 128
24 The sonnes of Azmaueth, two and fourtie:
watu wa Azmawethi 42
25 The sonnes of Kiriath-arim, of Chephirah, and Beeroth, seuen hundreth and three and fourtie:
wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
26 The sonnes of Haramah and Gaba, six hundreth, and one and twentie:
wazao wa Rama na Geba 621
27 The men of Michmas, an hundreth and two and twentie:
watu wa Mikmashi 122
28 The sonnes of Beth-el and Ai, two hundreth, and three and twentie:
watu wa Betheli na Ai 223
29 The sonnes of Nebo, two and fiftie:
wazao wa Nebo 52
30 The sonnes of Magbish, an hundreth and sixe and fiftie:
wazao wa Magbishi 156
31 The sonnes of the other Elam, a thousand, and two hundreth, and foure and fiftie:
wazao wa Elamu ile ingine 1,254
32 The sonnes of Harim, three hundreth and twentie:
wazao wa Harimu 320
33 The sonnes of Lod-hadid, and Ono, seuen hundreth, and fiue and twentie:
wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725
34 The sonnes of Iericho, three hundreth and fiue and fourtie:
wazao wa Yeriko 345
35 The sonnes of Senaah, three thousand, sixe hundreth and thirtie.
wazao wa Senaa 3,630
36 The Priests: of the sonnes of Iedaiah of the house of Ieshua, nine hundreth seuentie and three:
Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
37 The sonnes of Immer, a thousand and two and fiftie:
wazao wa Imeri 1,052
38 The sonnes of Pashur, a thousand, two hundreth and seuen and fourtie:
wazao wa Pashuri 1,247
39 The sonnes of Harim, a thousande and seuenteene.
wazao wa Harimu 1,017
40 The Leuites: the sonnes of Ieshua, and Kadmiel of the sonnes of Hodauiah, seuentie and foure.
Walawi: wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74
41 The Singers: the sonnes of Asaph, an hundreth and eight and twentie.
Waimbaji: wazao wa Asafu 128
42 The sonnes of the porters: the sonnes of Shallum, the sonnes of Ater, the sonnes of Talmon, the sonnes of Akkub, the sonnes of Hatita, the sonnes of Shobai: all were an hundreth and nine and thirtie.
Mabawabu wa lango la Hekalu: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139
43 The Nethinims: the sonnes of Ziha, the sonnes of Hasupha, the sonnes of Tabbaoth,
Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
44 The sonnes of Keros, the sonnes of Siaha, the sonnes of Padon,
wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
45 The sonnes of Lebanah, the sonnes of Hagabah, the sonnes of Akkub,
wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
46 The sonnes of Hagab, the sonnes of Shamlai, the sonnes of Hanan,
wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
47 The sonnes of Giddel, the sonnes of Gahar, the sonnes of Reaiah,
wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
48 The sonnes of Rezin, the sonnes of Nekoda, the sonnes of Gazzam,
wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
49 The sonnes of Vzza, the sonnes of Paseah, the sonnes of Besai,
wazao wa Uza, Pasea, Besai,
50 The sonnes of Asnah, the sonnes of Meunim, the sonnes of Nephusim,
wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
51 The sonnes of Bakbuk, the sonnes of Hakupa, the sonnes of Harhur,
wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
52 The sonnes of Bazluth, the sonnes of Mehida, the sonnes of Harsha,
wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
53 The sonnes of Barcos, the sonnes of Sisara, the sonnes of Thamah,
wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
54 The sonnes of Neziah, the sonnes of Hatipha,
wazao wa Nesia na Hatifa.
55 The sonnes of Salomons seruantes: the sonnes of Sotai, the sonnes of Sophereth, the sonnes of Peruda,
Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
56 The sonnes of Iaalah, the sonnes of Darkon, the sonnes of Giddel,
wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
57 The sonnes of Shephatiah, the sonnes of Hattil, the sonnes of Pochereth Hazzebaim, the sonnes of Ami.
wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.
58 All the Nethinims, and the sonnes of Salomons seruants were three hundreth ninetie and two.
Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
59 And these went vp from Telmelah, and from Telharsha, Cherub, Addan, and Immer, but they could not discerne their fathers house and their seede, whether they were of Israel.
Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
60 The sonnes of Delaiah, the sonnes of Tobiah, the sonnes of Nekoda, six hundreth and two and fiftie.
wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652
61 And of the sonnes of the Priestes, the sonnes of Habaiah, the sonnes of Coz, the sonnes of Barzillai: which tooke of the daughters of Barzillai the Giliadite to wife, and was called after their name.
Kutoka miongoni mwa makuhani: Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
62 These sought their writing of the genealogies, but they were not founde: therefore were they put from the Priesthood.
Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
63 And Tirshatha saide vnto them, that they should not eate of the most holy thing, tell there rose vp a Priest with Vrim and Thummim.
Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
64 The whole Congregation together was two and fourtie thousande, three hundreth and threescore,
Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
65 Beside their seruants and their maydes: of whome were seuen thousande, three hundreth and seuen and thirtie: and among them were two hundreth singing men and singing women.
tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200.
66 Their horses were seuen hundreth, and sixe and thirtie: their mules, two hundreth and fiue and fourtie:
Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245,
67 Their camels foure hundreth, and fiue and thirtie: their asses, sixe thousand, seuen hundreth and twentie.
ngamia 435 na punda 6,720.
68 And certeine of the chiefe fathers, when they came to the house of the Lord, which was in Ierusalem, they offred willingly for the house of God, to set it vp vpon his fundation.
Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake.
69 They gaue after their abilitie vnto the treasure of the worke, euen one and threescore thousand drammes of golde, and fiue thousand pieces of siluer, and an hundreth Priests garments.
Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,000 za dhahabu, mane 5,000 za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.
70 So the Priests and the Leuites, and a certeine of the people, and the singers, and the porters, and the Nethinims dwelt in their cities, and all Israel in their cities.
Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.