< Ezekiel 25 >
1 The worde of the Lord came againe vnto me, saying,
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 Sonne of man, set thy face against the Ammonites, and prophecie against them,
“Mwanadamu, weka uso wako juu ya watu wa Amoni na tabiri juu yao.
3 And say vnto the Ammonites, Heare the word of the Lord God, Thus saith the Lord God, Because thou saydest, Ha, ha, against my Sanctuarie, when it was polluted, and against the land of Israel, when it was desolate, and against the house of Iudah, when they went into captiuitie,
Waambie watu wa Amoni, 'Sikiliza neno la Bwana Yahwe. Hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo: Kwa sababu umesema, “Aha!” juu ya patakatifu pangu wakati palipotiwa unajisi, na juu ya nchi ya Israeli wakati ilipokuwa ukiwa, na juu ya nyumba ya Yuda wakati walipoenda utumwani,
4 Beholde, therefore I will deliuer thee to the men of the East for a possession, and they shall set their palaces in thee, and make their dwellings in thee: they shall eate thy fruite, and they shall drinke thy milke.
kwa hiyo, tazama, nitakupatia kwa watu katika mashariki kama milki yao. Watafanya kambi juu yako na kuweka mahema miongoni mwako. Watakula matunda yako na watakunywa maziwa yako.
5 And I will make Rabbah a dwelling place for camels, and the Ammonites a sheepecote, and ye shall knowe that I am the Lord.
Nitamfanya Raba malisho ya ngamia na watu wa Amoni shamba la mifugo. Kisha utajua yakwamba mimi ni Yahwe.
6 For thus saith the Lord God, Because thou hast clapped the hands, and stamped with the feete, and reioyced in heart with all thy despite against the land of Israel,
Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: Umepigia makofi mikono yako na kupiga chapa miguu yako, na kufurahi pamoja na dharau ndani yako dhidi ya nchi ya Israeli.
7 Beholde, therefore I will stretche out mine hand vpon thee, and will deliuer thee to be spoyled of the heathen, and I will roote thee out from the people, and I will cause thee to be destroyed out of the countreys, and I will destroy thee, and thou shalt know that I am the Lord.
Kwa hiyo, tazama! Nitanyoosha mkono wangu na kukupatia kama mateka kwa mataifa. Nitakukatilia mbali kutoka watu na kukuangamiza kutoka miongoni mwa nchi! Nitakuharibu, na utajua yakwamba mimi ni Yahwe.'
8 Thus saith the Lord God, Because that Moab and Seir doe say, Beholde, the house of Iudah is like vnto all the heathen,
Bwana Yahwe asema hivi, 'Kwa sababu Moabu na Seiri husema “Tazama! Nyumba ya Yuda ni kama kila taifa jingine.”
9 Therefore, beholde, I will open the side of Moab, euen of the cities of his cities, I say, in his frontiers with the pleasant countrey, Beth-ieshimoth, Baal-meon, and Karia-thaim.
Kwa hiyo, tazama! ntafungua miteremko ya Moabu, kuanzia kwenye miji yake juu ya mpaka-uzuri wa Beth Yeshimothi, Baal Meoni, na Kiriathaimu-
10 I will call the men of the East against the Ammonites, and will giue them in possession, so that the Ammonites shall no more be remembred among the nations,
kwa watu wa mashariki waliokuwa juu ya watu wa Amoni. Nitawapatia kama milki ili kwamba watu wa Amoni hawatakumbukwa miongoni mwa mataifa.
11 And I will execute iudgements vpon Moab, and they shall knowe that I am the Lord.
Hivyo nitafanya hukumu juu ya Moabu, na watajua yakwamba mimi ni Yahwe.'
12 Thus sayth the Lord God, Because that Edom hath done euill by taking vengeance vpon the house of Iudah, and hath committed great offence, and reuenged himselfe vpon them,
Bwana Yahwe asema hivi, Edomu amelipiza kisasi juu ya nyumba ya Yuda na amefanya makosa katika kufanya hivyo.
13 Therefore thus saith the Lord God, I will also stretch out mine hand vpon Edom, and destroy man and beast out of it, and I will make it desolate from Teman, and they of Dedan shall fall by the sworde.
Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Nitaunyoosha mkono wangu juu ya Edomu na kumharibu kila mtu na wanyama huko. Nitawaharibu, sehemu ya ukiwa, kutoka Temani hata Dedani. Wataanguka kwa upanga.
14 And I will execute my vengeance vpon Edom by the hand of my people Israel, and they shall doe in Edom according to mine anger, and according to mine indignation, and they shall know my vengeance, sayth the Lord God.
Nitaweka kisasi changu juu ya Edomu kwa mkono wa watu wangu Israeli, na watafanya kwa Edomu kulingana na hasira yangu na ghadhabu yangu, na wakitajua kisasi changu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.'
15 Thus sayth the Lord God, Because the Philistims haue executed vengeance, and reuenged themselues with a despitefull heart, to destroy it for the olde hatred,
Bwana Yahwe asema hivi, 'Wafilisti wamelipiza kisasi pamoja na uovu na kutoka ndani yao wamejaribu kuiharibu Yuda tena na tena.
16 Therefore thus sayth the Lord God, Behold, I will stretche out mine hand vpon the Philistims, and I will cut off the Cherethims, and destroy the remnant of the sea coast.
Basi hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo: Tazam! Nitanyoosha mkono wangu dhidi ya Wafilisti, na nitakalia mbali Wakerethi na kuwaharibu mabaki yaliyobaki karibu na pwani.
17 And I will execute great vengeance vpon them with rebukes of mine indignation, and they shall knowe that I am the Lord, when I shall lay my vengeance vpon them.
Kwa kuwa nitalipiza kisasi kikubwa dhidi yao pamoja na matendo ya ghadhabu kubwa ya adhabu, hivyo watajua yakwamba mimi ni Yahwe, nitakapolipiza kisasi juu yao.”'