< Deuteronomy 7 >

1 When the Lord thy God shall bring thee into the land whither thou goest to possesse it, and shall roote out many nations before thee: the Hittites, and the Girgashites, and the Amorites, and the Canaanites, and the Perizzites, and the Hiuites, and the Iebusites, seuen nations greater and mightier then thou,
Wakati Yahwe Mungu wenu atuleta katika nchi ambayo mnaenda kuimiliki na kuwaondoa mataifa mengi mbele zenu- Mhiti, Mgirgashi na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, Mhivi, Myebusi- mataifa saba makubwa na yenye nguvu kuliko wewe.
2 And the Lord thy God shall giue them before thee, then thou shalt smite them: thou shalt vtterly destroy them: thou shalt make no couenant with them, nor haue compassion on them,
Na wakati Yahwe Mungu wenu awapa ninyi ushindi juu yao pindi mnakutana nao katika vita, mtawashambulia, basi mnapaswa kuwateketeza kabisa. Hamtafanya agano nao, wala kuonesha huruma kwao.
3 Neither shalt thou make marriages with them, neither giue thy daughter vnto his sonne, nor take his daughter vnto thy sonne.
Wala hamtapanga ndoa zozote pamoja nao, hamtawatoa binti zenu kwa vijana wao, na hamtawachukua binti zao kwa vijana wenu.
4 For they wil cause thy sonne to turne away from me, and to serue other gods: then will the wrath of the Lord waxe hote against you and destroy thee suddenly.
Kwa kuwa watawabadilisha vijana wenu kutonifuata mimi, ili kwamba waweze kuabudu miungu yao. Kwa hiyo hasira ya Yahwe itawashwa dhidi yenu na atawaangamiza haraka.
5 But thus ye shall deale with them, Ye shall ouerthrowe their altars, and breake downe their pillars, and ye shall cut downe their groues, and burne their grauen images with fire.
Hivi ndivyo mtakavyo washughulikia nao; mtavunja madhabahu zao, vunja nguzo zao za mawe katika vipande, kata chini ncha za Asherahi, na kuzichoma sanamu za kutupwa.
6 For thou art an holy people vnto the Lord thy God, the Lord thy God hath chosen thee, to be a precious people vnto himselfe, aboue all people that are vpon the earth.
Kwa kuwa wewe ni taifa uliyetengwa kwa Yahwe Mungu wako. Amekuchagua wewe kuwa watu kwa ajili yake kumiliki, zaidi ya watu wengine wote ambao wako katika uso wa dunia.
7 The Lord did not set his loue vpon you, nor chose you, because ye were more in number then any people: for ye were the fewest of all people:
Yahwe hakuweka upendo wake juu yenu au kuwachagua kwa sababu mlikuwa zaidi katika idadi kuliko watu wowote, kwa kuwa mlikuwa wachache kuliko watu wote-
8 But because the Lord loued you, and because hee would keepe the othe which hee had sworne vnto your fathers, the Lord hath brought you out by a mightie hand, and deliuered you out of the house of bondage from the hand of Pharaoh King of Egypt,
Lakini kwa sababu anawapenda ninyi, anataka kushika kiapo alichoapa kwa baba zenu. Huyu ni Yahwe aliyewatoa kwa mkono wa uweza na kuwakomboa kutoka nyumba ya utumwa, kutoka mkono wa Farao, mfalme wa Misri.
9 That thou mayest knowe, that the Lord thy God, he is God, the faithfull God which keepeth couenant and mercie vnto them that loue him and keepe his commandements, euen to a thousand generations,
Kwa hiyo tambua ya kuwa Yahwe Mungu wako-ni Mungu, Mungu mwaminifu, anayetunza maagano na uaminifu kwa vizazi elfu kwa wale wanaompenda na kuyashika maagizo yake,
10 And rewardeth them to their face that hate him, to bring them to destruction: he wil not deferre to reward him that hateth him, to his face.
lakini huwalipa wale wanaomchukia kwa sura zao, kuwaangamiza, hatakuwa na huruma kwa yeyote anayemchukia; atamlipa kwa uso wake.
11 Keepe thou therefore the commandements, and the ordinances, and the lawes, which I commaund thee this day to doe them.
Kwa hiyo utashika maagizo, amri, na sheria ninazokuamuru leo, ili kwamba uzifanye.
12 For if ye hearken vnto these lawes, and obserue and doe them, then the Lord thy God shall keepe with thee the couenant, and the mercie which he sware vnto thy fathers.
Kama mtasikiliza maagizo haya, kuyashika na kuyafanya, itakuwa Yahwe Mungu wenu atawashika pamoja na agano na uaminifu ambao aliapa kwa baba zenu.
13 And he wil loue thee, and blesse thee, and multiplie thee: he will also blesse the fruite of thy wombe, and the fruite of thy land, thy corne and thy wine, and thine oyle and the increase of thy kine, and the flockes of thy sheepe in the land, which he sware vnto thy fathers to giue thee.
Atawapenda, atawabariki, na kuwazidisha, pia atabariki tunda la miili yenu na tunda la ardhi yenu, nafaka zenu, divai mpya, mafuta yenu, atazidisha mifugo na kundi lako la mifugo michanga, katika nchi ambayo aliapa kwa baba zenu kuwapa.
14 Thou shalt be blessed aboue all people: there shall be neither male nor female barren among you, nor among your cattell.
Mtabarikiwa zaidi kuliko watu wengine wote; hapatakuwa na mwanaume asiyekuwa na mtoto au mwanamke tasa miongoni mwenu au miongoni mwa mifugo.
15 Moreouer, the Lord will take away from thee all infirmities, and will put none of the euill diseases of Egypt (which thou knowest) vpon thee, but wil send them vpon all that hate thee.
Yahwe atawaondolea magonjwa yote; hakuna magonjwa mabaya ya Misri ambayo mnayajua yatawekwa juu yenu, Lakini atayaweka kwa wote wanaowachukia ninyi.
16 Thou shalt therefore consume all people which the Lord thy God shall giue thee: thine eye shall not spare them, neither shalt thou serue their gods, for that shalbe thy destruction.
Mtayaondoa makundi ya watu wote ambayo Yahwe Mungu wenu awapa ushindi, na jicho lenu halitawaonea huruma. Na hamtaabudu miungu yao, kwa kuwa huo utakuwa mtego kwenu.
17 If thou say in thine heart, These nations are moe then I, how can I cast them out?
Kama mtasema kwenye mioyo, Haya mataifa ni mengi zaidi kuliko mimi; nitawezaje kuwafukuza?
18 Thou shalt not feare them, but remember what the Lord thy God did vnto Pharaoh, and vnto all Egypt:
Usiwaogope; utakumbuka akilini Yahwe nini Mungu wenu alifanya kwa Farao na Misri yote?
19 The great tentations which thine eyes sawe, and the signes and wonders, and the mighty hand and stretched out arme, whereby the Lord thy God brought thee out: so shall the Lord thy God do vnto all ye people, whose face thou fearest.
Mateso makuu ambayo macho yenu yaliona, ishara, maajabu, mkono wa uweza, mkono ulionyoshwa ambao Yahwe Mungu wenu alivyowatoa. Yahwe Mungu wenu atafanya kile kile kwa watu wote ambao mnawaogopa.
20 Moreouer, the Lord thy God will send hornets among them vntil they that are left, and hide themselues from thee, be destroyed.
Zaidi ya yote, Yahwe Mungu wenu atatuma nyigu miongoni mwao, mpaka wale waliobaki na wale wanaojificha wenyewe mbele yenu waangamizwa mbele ya uwepo wenu.
21 Thou shalt not feare them: for the Lord thy God is among you, a God mightie and dreadful.
Hamtatishikeni nao, kwa kuwa Yahwe Mungu wenu yuko miongoni mwenu, Mungu mkuu na wa kuogofya.
22 And the Lord thy God wil roote out these nations before thee by little and little: thou mayest not consume them at once, least the beasts of the fielde increase vpon thee.
Yahwe Mungu wenu atayaondoa mataifa mbele zenu kidogo kidogo. Hamtayashinda yote kwa wakati mmoja, au wanyama wa mwitu watakuwa wengi karibu yenu.
23 But the Lord thy God shall giue them before thee, and shall destroy them with a mightie destruction, vntill they be brought to naught.
Lakini Yahwe Mungu wenu atawapa ninyi ushindi dhidi yao wakati mkutanapo vitani; atawachanganya kwa kiasi kikubwa mpaka wameangamizwa.
24 And he shall deliuer their Kings into thine hand, and thou shalt destroy their name from vnder heauen: there shall no man be able to stand before thee, vntill thou hast destroyed them.
Atawaweka wafalme wao chini ya utawala wenu, na mtafanya jina lao kuangamia toka chini ya mbingu. Hakuna atakayeweza kusimama mbele yenu, mpaka muwaangamize.
25 The grauen images of their gods shall ye burne with fire, and couet not the siluer and golde, that is on them, nor take it vnto thee, least thou be snared therewith: for it is an abomination before the Lord thy God.
Utazichoma sanamu za kuchonga za miungu yao- usitamani madini ya fedha au dhahabu yanayofunika na kuichukua kwa ajili yenu, kwa sababu mkifanya, mtanaswa nayo-kwa kuwa ni chukizo kwa Yahwe Mungu wenu.
26 Bring not therefore abomination into thine house, lest, thou be accursed like it, but vtterly abhorre it, and count it most abominable: for it is accursed.
Hamtaleta chukizo lolote ndani ya nyumba zenu na kuanza kuiabudu. Mtachukizwa kabisa na kuchukia kwa kuwa imetengwa kwa ajili ya uharibifu.

< Deuteronomy 7 >