< Amos 8 >

1 Thus hath the Lord God shewed vnto me, and behold, a basket of summer fruite.
Hiki ndicho ambacho bwana Yahwe amenionyesha. Tazama, kikapu cha matunda ya hari!
2 And he said, Amos, what seest thou? And I sayd, A basket of sommer fruite. Then sayd the Lord vnto me, The ende is come vpon my people of Israel, I wil passe by them no more.
Akasema, “Unaona nini, Amosi?” Nikasema, “Kikapu cha matunda ya hari.” Kisha Yahwe akanambia, “Mwisho umefika kwa watu wangu Israeli; sintowaumiza tena.
3 And the songs of the Temple shalbe howlings in that day, saith the Lord God: many dead bodies shalbe in euery place: they shall cast them forth with silence.
Nyimbo za kwenye hekalu zitakuwa vilio. Katika siku hiyo-hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe. Mizoga itakuwa mingi, katika kila sehemu wataitupa katika ukimya!”
4 Heare this, O yee that swallowe vp the poore, that ye may make the needie of the lande to fayle,
Lisikilizeni hili, ninyi mkanyagao maskini na kumuondoa fukara wa nchi.
5 Saying, When will the newe moneth bee gone, that we may sell corne? and the Sabbath, that we may set forth wheate, and make the Ephah small, and the shekel great, and falsifie the weights by deceit?
wakisema, “Wakati mwezi mpya utakapoisha, hivyo tunaweza kuuza mazao tena? Wakati siku ya Sabato itakapoisha, ili kwamba tuuze ngano? Tutafanya kipimo kidogo na kuongeza bei, tukidanganya kwa mizani za udanganyifu.
6 That we may buy the poore for siluer, and the needie for shooes: yea, and sell the refuse of the wheate.
Hivi ndivyo ambavyo tunaweza kuuza ngano mbaya, kununua fukara kwa fedha, na masikini kwa jozi moja ya kubadhi.”
7 The Lord hath sworne by the excellencie of Iaakob, Surely I will neuer forget any of their workes.
Yahwe ameapa kwa fahari ya Yakobo, “Hakika sintoweza kusahau kazi zao hata moja.”
8 Shall not the lande tremble for this, and euery one mourne, that dwelleth therein? and it shall rise vp wholy as a flood, and it shall bee cast out, and drowned as by the flood of Egypt.
Je nchi haitatetemeka kwa hili, na kila mmoja aishiye kuombolezea? Yote hayo yatainuka kama Mto Naili, nayo itataabika juu na kupwa tena, kama mto wa Misri.
9 And in that day, saith the Lord God, I will euen cause the sunne to go downe at noone: and I will darken the earth in the cleare day.
“Itakuja siku ambayo -huu ndio usemi wa Bwana Yahwe- kwamba nitafanya jua litue wakati wa mchana, na nitaiweka giza dunia wakati wa mchana.
10 And I will turne your feastes into mourning, and all your songs into lamentation: and I will bring sackcloth vpon all loynes, and baldnes vpon euery head: and I will make it as the mourning of an onely sonne, and the ende thereof as a bitter day.
Nitazigeuza sikukuu zenu kuwa maombolezo na nyimbo zenu zote kuwa masikitiko. Nitawafanya wote kuvaa nguo za magunia na kipara juu ya kila kichwa. Nitayafanya haya kama maombolezo kwa mwana pekee, na siku ya uchungu mwisho wake.
11 Beholde, the dayes come, sayeth the Lord God, that I will send a famine in the lande, not a famine of bread, nor a thirst for water, but of hearing the word of the Lord.
Tazama, siku zinakuja -asema Bwana Yahwe- wakati nitakapoleta njaa katika nchi, sio njaa ya mkate, wala kiu ya maji, ila kusikia maneno ya Yahwe.
12 And they shall wander from sea to sea, and from the North euen vnto the East shall they run to and from to seeke the worde of the Lord, and shall not finde it.
watatangatanga kutoka bahari hata bahari; watakimbia kutoka kaskazini kwenda magharibi kutafuta neno la Yahwe, lakini hawatalipata.
13 In that day shall the faire virgines and the yong men perish for thirst.
Katika siku hiyo wanawali wazuri na wavulana watazimia kutokana na njaa.
14 They that sweare by the sinne of Samaria, and that say, Thy God, O Dan, liueth, and the maner of Beer-sheba liueth, euen they shall fall, and neuer rise vp againe.
Wale waapao kwa dhambi ya Samaria wataanguka na hawatainuka tena.”

< Amos 8 >