< Acts 13 >
1 There were also in the Church that was at Antiochia, certaine Prophets and teachers, as Barnabas, and Simeon called Niger, and Lucius of Cyrene, and Manahen (which had bin brought vp with Herod the Tetrarche) and Saul.
Sasa katika kanisa la Antiokia, palikuwa na baadhi ya manabii na walimu. Walikua Barnaba, Simeoni (aliyeitwa Nigeri). Lukio wa Kirene, Manaeni( ndugu asiye wa damu wa Herode kiongozi wa mkoa), na Sauli.
2 Nowe as they ministred to the Lord, and fasted, the holy Ghost said, Separate me Barnabas and Saul, for the worke whereunto I haue called them.
Walipokuwa wakimwabudu Bwana na kufunga, Roho Mtakatifu alisema, “Niteengeeni pembeni Barnaba na Sauli, waifanye kazi niliyo waitia.”
3 Then fasted they and prayed, and layde their hands on them, and let them goe.
Baada ya Kanisa kufunga, kuomba, na kuweka mikono yao juu ya watu hawa, wakawaacha waende.
4 And they, after they were sent foorth of the holy Ghost, came downe vnto Seleucia, and from thence they sayled to Cyprus.
Kwa hiyo Barnabas na Sauli walimtii Roho Mtakatifu na walitelemka kuelekea Seleukia; Kutoka huko walisafiri baharini kuelekea kisiwa cha Kipro.
5 And when they were at Salamis, they preached the worde of God in the Synagogues of the Iewes: and they had also Iohn to their minister.
Walipokuwa katika mji wa Salami, walilitangaza neno la Mungu katika Masinagogi ya Wayahudi. Pia walikuwa pamoja na Yohana Marko kama msaidizi wao.
6 So when they had gone throughout the yle vnto Paphus, they found a certaine sorcerer, a false prophet, being a Iewe, named Bariesus,
Walipokwenda katika kisiwa chote mpaka Pafo, walikuta mtu fulani mchawi, Myahudi nabii wa uongo, ambaye jina lake lilikuwa Bar Yesu.
7 Which was with the Deputie Sergius Paulus, a prudent man. He called vnto him Barnabas and Saul, and desired to heare the woorde of God.
Mchawi huyu alishirikiana na Liwali Sergio Paulus, aliyekuwa mtu mwenye akili. Mtu huyu aliwaalika Barnaba na Sauli, kwa sababu alihitaji kusikia neno la Mungu.
8 But Elymas, ye sorcerer (for so is his name by interpretation) withstoode them, and sought to turne away the Deputie from the faith.
Lakini Elima “yule mchawi” (hivyo ndivyo jina lake lilivyo tafsiriwa) aliwapinga; alijaribu kumgeuza yule liwali atoke kwenye imani.
9 Then Saul (which also is called Paul) being full of the holy Ghost, set his eyes on him,
Lakini Sauli aliyeitwa Paulo, alikuwa amejazwa na Roho Mtakatikfu, akamkazia macho
10 And sayde, O full of all subtiltie and all mischiefe, the childe of the deuill, and enemie of all righteousnesse, wilt thou not cease to peruert the straight waies of the Lord?
na akasema “Ewe mwana wa Ibilisi, umejazwa na aina zote za udanganyifu na udhaifu. Wewe ni adui wa kila aina ya haki. Hautakoma kuzigeuza njia za Bwana, zilizonyooka, je utaweza?
11 Nowe therefore behold, the hand of the Lord is vpon thee, and thou shalt be blinde, and not see the sunne for a season. And immediately there fel on him a mist and a darknes; and he went about, seeking some to leade him by the hand.
Sasa tazama, mkono wa Bwana upo juu yako, na utakuwa kipofu. Hautaliona Jua kwa muda” mara moja ukungu na giza vilianguka juu ya Elimas; alianza kuzunguka pale akiomba watu wamwongoze kwa kumshika mkono.
12 Then the Deputie when he sawe what was done, beleeued, and was astonied at the doctrine of the Lord.
Baada ya liwali kuona kilichotokea, aliamini, kwa sababu alishangazwa kwa mafundisho kuhusu Bwana.
13 Nowe when Paul and they that were with him were departed by shippe from Paphus, they came to Perga a citie of Pamphylia: then Iohn departed from them, and returned to Hierusalem.
Sasa Paulo na rafiki zake walisafiri majini kutoka Pafo na wakafika Perge katika Pamfilia. Lakini Yohana aliwaacha na kurudi Yerusalemu.
14 But when they departed from Perga, they came to Antiochia a citie of Pisidia, and went into the Synagogue on ye Sabbath day, and sate downe.
Paulo na rafiki yake walisafiri kutoka Perge na wakafika Antiokia ya Pisidia. Huko walikwenda katika sinagogi siku ya Sabato na kukaa chini.
15 And after the lecture of the Law and Prophets, the rulers of ye Synagogue sent vnto them, saying, Ye men and brethren, if ye haue any word of exhortation for the people, say on.
Baada ya kusoma sheria na manabii, viongozi wa sinagogi aliwatumia ujumbe wakisema, “Ndugu, kama mnao ujumbe wa kutia moyo watu hapa, semeni”
16 Then Paul stoode vp and beckened with the hand, and sayde, Men of Israel, and yee that feare God, hearken.
Kwa hiyo Paulo alisimama na kuwapungia mkono; alisema, “Wanaume wa Israeli na enyi mnao mtii Mungu, sikilizeni.
17 The God of this people of Israel chose our fathers, and exalted the people when they dwelt in the land of Egypt, and with an high arme brought them out thereof.
Mungu wa hawa watu wa Israeli aliwachagua baba zetu na kuwafanya watu wengi walipokaa katika nchi Misri, na kwa mkono wake kuinuliwa aliwaongoza nje yake.
18 And about the time of fourtie yeeres, suffered he their maners in the wildernesse.
Kwa miaka arobaini aliwavumilia katika jangwa.
19 And he destroied seuen nations in the land of Chanaan, and deuided their lad to them by lot.
Baada ya kuyaharibu mataifa saba katika nchi ya Kaanani, aliwapa watu wetu nchi yao kwa urithi.
20 Then afterward he gaue vnto them Iudges about foure hundreth and fiftie yeeres, vnto the time of Samuel the Prophet.
Matukio haya yote yalitokea zaidi ya miaka mia nne na hamsini. Baada ya vitu hivi vyote, Mungu aliwapa waamuzi mpaka Samweli Nabii.
21 So after that, they desired a King, and God gaue vnto them Saul, the sonne of Cis, a man of ye tribe of Beniamin, by the space of fourty yeres.
Baada ya haya, watu waliomba mfalme, hivyo Mungu aliwapa Sauli mwana wa Kishi, mtu wa kabila la Benjamini, kuwa mfalme kwa miaka arobaini.
22 And after he had taken him away, he raised vp Dauid to be their King, of whom he witnessed, saying, I haue found Dauid the sonne of Iesse, a man after mine owne heart, which will doe all things that I will.
Kisha baada ya Mungu kumuondoa katika ufalme, alimwinua Daudi kuwa mfalme wao. Ilikuwa ni kuhusu Daudi kwamba Mungu alisema, 'Nimempata Daudi mwana wa Yese kuwa mtu apendezwaye na moyo wangu; ambaye atafanya kila kitu nipendacho.'
23 Of this mans seede hath God according to his promise raised vp to Israel, ye Sauiour Iesus:
Kutoka kwenye ukoo wa mtu huyu Mungu ameiletea Israeli mkombozi, Yesu, kama alivyoahidi kufanya.
24 When Iohn had first preached before his coming the baptisme of repentance to all the people of Israel.
Hili lilianza kutokea, kabla ya Yesu kuja, Yohana kwanza alitangaza ubatizo wa toba kwa watu wote wa Israeli.
25 And when Iohn had fulfilled his course, he saide, Whom ye thinke that I am, I am not he: but beholde, there commeth one after me, whose shooe of his feete I am not worthy to loose.
Naye Yohana alipokuwa akimalizia kazi yake, alisema, 'Mwanifikiri mimi ni nani? mimi si yule. Lakini sikilizeni, ajaye nyuma yangu, sisitahili kulegeza viatu vya miguu yake.'
26 Yee men and brethren, children of the generation of Abraham, and whosoeuer among you feareth God, to you is the woorde of this saluation sent.
Ndugu, watoto wa ukoo wa Abrahamu, na wale ambao kati yenu mnamwabudu Mungu, ni kwa ajili yetu kwamba ujumbe huu wa ukombozi umetumwa.
27 For the inhabitants of Hierusalem, and their rulers, because they knewe him not, nor yet the woordes of the Prophets, which are read euery Sabbath day, they haue fulfilled them in condemning him.
Kwa wale waishio Yerusalemu, na watawala wao, hawakumtambua kwa uhalisia, na wala hawakuutambua ujumbe wa manabii ambao husomwa kila Sabato; kwa hiyo walitimiliza ujumbe wa manabii kwa kumhukumu kifo Yesu.
28 And though they found no cause of death in him, yet desired they Pilate to kill him.
Japokuwa hawakupata sababu nzuri kwa kifo ndani yake, walimwomba Pilato amuue.
29 And when they had fulfilled all things that were written of him, they tooke him downe from the tree, and put him in a sepulchre.
Walipomaliza mambo yote yaliyoandikwa kuhusu yeye, walimshusha kutoka mtini na kumlaza kaburini.
30 But God raised him vp from the dead.
Lakini Mungu alimfufua kutoka wafu.
31 And hee was seene many dayes of them, which came vp with him from Galile to Hierusalem, which are his witnesses vnto the people.
Alionekana kwa siku nyingi kwa wale waliokwenda pamoja naye kutoka Galilaya kuelekea Yerusalemu. Watu hawa sasa ni mashahidi wa watu.
32 And we declare vnto you, that touching the promise made vnto the fathers,
Hivyo tunawaletea habari njema kuhusu ahadi walizopewa mababu zetu.
33 God hath fulfilled it vnto vs their children, in that he raised vp Iesus, euen as it is written in the seconde Psalme, Thou art my Sonne: this day haue I begotten thee.
Mungu aliweka ahadi hizi kwetu, watoto wao, katika hilo alimfufua Yesu na kumrudisha tena katika uhai. Hili pia liliandikwa katika Zaburi ya pili: 'Wewe ni Mwanangu, leo nimekuwa Baba yako'
34 Nowe as concerning that he raised him vp from the dead, no more to returne to corruption, he hath said thus, I wil giue you the holy things of Dauid, which are faithfull.
Pia kuhusu ukweli ni kwamba alimfufua kutoka wafu ili kwamba mwili wake usiharibike, ameongea hivi: 'Nitakupatia utakatifu na baraka halisi za Daudi'
35 Wherefore hee sayeth also in another place, Thou wilt not suffer thine Holy one to see corruption.
Hii ndiyo sababu kasema pia katika zaburi nyingine, 'Hautaruhusu mtakatifu wako kuuona uozo.'
36 Howbeit, Dauid after hee had serued his time by the counsell of God, hee slept, and was laid with his fathers, and sawe corruption.
Kwa kuwa baada ya Daudi kutumikia mapenzi ya Mungu katika kizazi chake, alilala, alilazwa pamoja na baba zake, na aliuona uaharibifu,
37 But he whom God raised vp, sawe no corruption.
Lakini aliyefufuliwa na Mungu hakuuona uharibifu.
38 Be it knowen vnto you therefore, men and brethren, that through this man is preached vnto you the forgiuenesse of sinnes.
Hivyo na ifahamike kwenu, ndugu, kupitia mtu huyu, msamaha wa dhambi umehubiriwa.
39 And from al things, from which ye could not be iustified by the Law of Moses, by him euery one that beleeueth, is iustified.
Kwa yeye kila aaminiye anahesabiwa haki na mambo yote ambayo sheria ya Musa isingewapatia haki.
40 Beware therefore lest that come vpon you, which is spoken of in the Prophets,
Hivyo basi kuweni waangalifu kwamba kitu walichokiongelea manabii kisitokee kwenu:
41 Behold, ye despisers, and wonder, and vanish away: for I woorke a woorke in your daies, a woorke which yee shall not beleeue, if a man would declare it you.
'Tazama, enyi mnaodharau, na mkashangae na mkaangamie; kwa vile nafanya kazi katika siku zenu, Kazi ambayo hamwezi kuiamini, hata kama mtu atawaeleza.”
42 And when they were come out of the Synagogue of the Iewes, the Gentiles besought, that they woulde preach these woordes to them the next Sabbath day.
Wakati Paulo na Barnaba walipoondoka, watu wakawaomba waongee maneno haya siku ya Sabato ijayo.
43 Nowe when the congregation was dissolued, many of the Iewes and Proselytes that feared God, followed Paul and Barnabas, which spake to them, and exhorted them to continue in the grace of God.
Wakati mkutano wa sinagogi ulipokwisha, Wayahudi wengi na waongofu thabiti waliwafuata Paulo na Barnaba, ambao waliongea nao na waliwahimiza waendelee katika neema ya Mungu.
44 And ye next Sabbath day came almost the whole citie together, to heare the worde of God.
Sabato iliyofuata, karibu mji mzima ulikusanyika kusikia neno la Mungu.
45 But when the Iewes saw the people, they were full of enuie, and spake against those things, which were spoken of Paul, contrarying them, and railing on them.
Wayahudi walipoona makutano, walijawa na wivu na kuongea maneno yaliyopinga vitu vilivyosemwa na Paulo na walimtukana.
46 Then Paul and Barnabas spake boldly, and sayde, It was necessarie that the woorde of God shoulde first haue beene spoken vnto you: but seeing yee put it from you, and iudge your selues vnworthie of euerlasting life, loe, we turne to the Gentiles. (aiōnios )
Lakini Paulo na Barnaba waliongea kwa ujasiri na kusema, “Ilikuwa ni muhimu kwamba neno la Mungu liongelewe kwanza kwenu. Kwa kuwa mnalisukumia mbali kutoka kwenu nakujiona kuwa hamkusitahili uzima wa milele, angalieni tutawageukia Mataifa. (aiōnios )
47 For so hath the Lord commanded vs, saying, I haue made thee a light of the Gentiles, that thou shouldest be the saluation vnto the end of the world.
Kama ambavyo Bwana ametuamuru, akisema, 'Nimewaweka ninyi kama nuru kwa watu wa mataifa, kwamba mlete wokovu kwa pande zote za dunia.”
48 And when the Gentiles heard it, they were glad, and glorified the woorde of the Lord: and as many as were ordeined vnto eternall life, beleeued. (aiōnios )
Mataifa waliposikia hili, walifurahi na kulisifu neno la Bwana. Wengi waliochaguliwa kwa uzima wa milele waliamini. (aiōnios )
49 Thus the worde of the Lord was published throughout the whole countrey.
Neno la Bwana lilienea nchi yote.
50 But the Iewes stirred certaine deuoute and honourable women, and the chiefe men of the citie, and raised persecution against Paul and Barnabas, and expelled them out of their coastes.
Lakini wayahudi waliwasihi waliojitoa na wanawake muhimu, pia na viongozi wa mji. Haya yalichochea mateso dhidi ya Paulo na Barnaba na waliwatupa nje ya mipaka ya mji.
51 But they shooke off the dust of their feete against them, and came vnto Iconium.
Lakini Paulo na Barnaba walikung'uta vumbi ya miguu yao. Kisha walienda kwenye mji wa Ikonia.
52 And the disciples were filled with ioy, and with the holy Ghost.
Na wanafunzi walijawa na furaha pamoja na Roho mtakatifu.