< 2 Chronicles 25 >
1 Amaziah was fiue and twentie yere old when he began to reigne, and he reigned nine and twentie yeere in Ierusalem: and his mothers name was Iehoaddan, of Ierusalem.
Amaza alikuwa na umri wa amiaka ishirini na na tano alipoanza kutawala; alitawala miaka ishini na tisa katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Yehoadani, wa Yerusalemu.
2 And he did vprightly in the eyes of the Lord, but not with a perfite heart.
Alifanya yaliyokuwa sahihi katika macho ya Yahwe, lakini siyo kwa moyo uliojitoa kikamilifu.
3 And when the kingdome was established vnto him, he slewe his seruants, that had slaine the King his father.
Ikawa kwamba mapema utawala wake ulipokuwa umeimarika, aliwaua watumishi ambao walikuwa wamemuua baba yake, mfalme.
4 But he slewe not their children, but did as it is written in the Lawe, and in the booke of Moses, where the Lord commanded, saying, The fathers shall not dye for the children, neyther shall the children die for the fathers, but euery man shall dye for his owne sinne.
Lakini hakuwaua watoto wa wale wauaji, bali alitenda kama kama ilivyoaandikwa katika sheria, katika kitabu cha Musa, kama Yahwe alivyokuwa ameamru. “Baba hatajuta kwa ajili ya watoto, wala watoto hawatakufa kwa ajili ya baba zao. Badala yake, kila mtu lazima afe kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe”.
5 And Amaziah assembled Iudah, and made them captaines ouer thousandes, and captaines ouer hundreths, according to the houses of their fathers, thorowout all Iudah and Beniamin: and he nombred them from twentie yeere olde and aboue, and founde among them three hundreth thousand chosen men, to goe foorth to the warre, and to handle speare and shield.
Aidha, Amazia aliwakusanya Yuda pamoja, na akawaandikisha kwa kufuata nyumba za babu zao, chini ya maakida wa maelfu na maakida wa mamia —wote wa Yuda na wa Benyamini. Akawahesabu kuanzia wa mika ishirini na kuendelea, na akawaona wako 300, 000 wanaume waliochaguliwa, wawezaoa kwenda vitani, walioweza kushika mkuki na ngao.
6 He hyred also an hundreth thousand valiant men out of Israel for an hundreth talents of siluer.
Pia alikodi wanaume wa kupigana 100, 000 kutoka Israeli kwa fedha mia moja.
7 But a man of God came to him, saying, O King, let not the armie of Israel goe with thee: for the Lord is not with Israel, neither with all the house of Ephraim.
Lakini mtu wa Mungu alikuja kwake na kusema, “Mfalme, usiliache jeshi la Istaeli kwenda nawe, kwa maana Yahwe hayupo pamoja na Israeli -wala na mtu Yeyote wa Efraimu.
8 If not, goe thou on, doe it, make thy selfe strong to the battel, but God shall make thee fall before the enemie: for God hath power to helpe, and to cast downe.
Lakini hata kama mtaenda na mkiwa wenye ushupavu na imara katika vita, Mungu atawatupa chini mbele ya adui, kwa maana Mungu ana nguvu za kusaidia, na nguvu za kurusha chini”.
9 And Amaziah sayde to the man of God, What shall we doe then for the hundreth talents, which I haue giuen to the hoste of Israel? Then the man of God answered, The Lord is able to giue thee more then this.
Amazia akasema kwa mtu wa Mungu, “Lakini tutafanyaje kuhusu talanta mia moja nilizowapa jeshi la Israeli? Mtu wa Mungu akajibu, Yahwe anauwezo wa kukupa vingi zaidi kuliko hivyo.”
10 So Amaziah separated them, to wit, the armie that was come to him out of Ephraim, to returne to their place: wherefore their wrath was kindled greatly against Iudah, and they returned to their places with great anger.
Kwa hiyo Amazia akalitenganisha jeshi lilokuja kwake kutoka Efraimu; akawarudisha nyumbani tena. Hivyo hasira yao iliwaka sana zidi ya Yuda, na walirudi nyumbani kwa hasara kali.
11 Then Amaziah was encouraged, and led forth his people, and went to the salt valley, and smote of the children of Seir, ten thousand.
Amazia akajipa ujasiri na kuwaongoza watu wake kwenda nje kwenye bonde la chumvi, huko akawashinda wanaueme elfu kumi wa Seiri.
12 And other ten thousand did the children of Iudah take aliue, and caryed them to the top of a rocke, and cast them downe from the top of the rocke, and they all burst to pieces.
Jeshi la Yuda likawachukua elfu kumi wengine wakiwa hai. Wakawapeleka juu ya mwamba na kuwarushwa chini kutoka huko, hivyo wote wakavunjika vunjika katika vipande.
13 But the men of the armie, which Amaziah sent away, that they should not goe with his people to battell, fell vpon the cities of Iudah from Samaria vnto Beth-horon, and smote three thousand of them, and tooke much spoyle.
Lakini watu wa jeshi ambalo Amazia alilirudisha, ili kwamba wasiende naye vitani, wakauvamia mji Yuda kuanzia Somaria hadi Beth- horoni. Wakawapiga watu elfu tatu na kuwateka wengi sana.
14 Now after that Amaziah was come from the slaughter of the Edomites, he brought the gods of the children of Seir, and set them vp to be his gods, and worshipped them, and burned incense vnto them.
Sasa ikawa kwamba baada ya Amazia kurudi kutoka kuwachinja Waedomu, akaileta miungu ya watu wa Seiri, na kuisimamisha iwe miungu yake. Akainama chini mbele ya hiyo miungu na kuitolea sadaka za uvumba.
15 Wherefore the Lord was wroth with Amaziah, and sent vnto him a Prophet, which sayd vnto him, Why hast thou sought the gods of the people, which were not able to deliuer their owne people out of thine hand?
Hivyo hasira ya Yahwe ikawaka zidi ya Amazia. Akamtuma nabii kwake, ambaye alisema, “Kwa nini umeitafuta miungu ya watu ambayo haikuwaokoa hata watu wake yenyewe zidi ya mkono wako?”
16 And as he talked with him, he said vnto him, Haue they made thee the Kings counseler? cease thou: why should they smite thee? And the Prophet ceased, but said, I knowe that God hath determined to destroy thee, because thou hast done this, and hast not obeyed my counsell.
Akiwa kwamaba yule nabii alipokuwa anaongea naye, mfalme akamwambia, “Je, wewe tumekufanya kuwa mshauri wa mfalme? Acha! Kwa nini ujitakie kuuawa?” Kisha nabii akaacha na kusema, ninajua kwamba Mungu ameamua kukuangaamiza kwa sababu umefanya tendo hili na hujasikilisa ushauri wangu.”
17 Then Amaziah King of Iudah tooke counsell, and sent to Ioash the sonne of Iehoahaz, the sonne of Iehu King of Israel, saying, Come, let vs see one another in the face.
Kisha Amazia akashauriana na washauri na kutuma wajumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu, mfalme wa Israel. akisema, “Njoni, tukutane uso kwa uso katika vita”.
18 But Ioash King of Israel sent to Amaziah King of Iudah, saying, The thistle that is in Lebanon, sent to the cedar that is in Lebanon, saying, Giue thy daughter to my sonne to wife: and the wilde beast that was in Lebanon went and trode downe the thistle.
Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli akatuma wajumbe kwa Amaziahi mfalme wa Yuda, akisema, Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma ujumbe kwa mwerezi ulioko Lebanoni, ukisema, Mtoe binti yako kwa mwanangu awe mke wake; lakini akapita hayawani katika Lebanoni akatembea na kuukanyaga chini mbaruti.
19 Thou thinkest: lo, thou hast smitten Edom, and thine heart lifteth thee vp to bragge: abide now at home: why doest thou prouoke to thine hurt, that thou shouldest fall, and Iudah with thee?
Umesema, 'Ona, nimeipiga Edomu,' na moyo wako umekuinua juu. Jipe fahari katika ushindi wako, lakini ukae nyumbani, kwa maana ni kwa nini ujisababishie matatizo mwenyewe na kuanguka, wote wewe na Yuda pamoja nawe?'
20 But Amaziah would not heare: for it was of God, that he might deliuer them into his had, because they had sought the gods of Edom.
Lakini Amazia hakusikiliza, kwa sababu tukio hili lilikuwa limetoka kwa Mungu, ili awatie Waisraeli katika mkono wa adui zao, kwa sababu walikuwa wametafuta ushauri kutoka kwa miungu ya Edomu.
21 So Ioash the King of Israel went vp: and he, and Amaziah King of Iudah saw one another in the face at Bethshemesh, which is in Iudah.
Kwa hiyo, Yehoashsi, mfalme wa Israeli, akavamia; yeye na Amazia, mfalme wa Yuda, wakakutana uso kwa uso huko Beth -shemishi, ulioko Yuda.
22 And Iudah was put to the worse before Israel, and they fled euery man to his tents.
Yuda akashindwa mbele za Israeli, na kila mtu akarudi nyumbani.
23 But Ioash the King of Israel tooke Amaziah King of Iudah, the sonne of Ioash, the sonne of Iehoahaz in Bethshemesh, and brought him to Ierusalem, and brake downe the wall of Ierusalem, from the gate of Ephraim vnto the corner gate, foure hundreth cubites.
Yehoashi, mfalme wa Israeli, akamkamata Amazia mwana wa Yehoashi mana wa Ahazia, mfalme wa Yuda, huko Beth - shemeshi. Akamleta Yerusalemu na kuuangusha chini ukuta wa Yerusalemu kuanzia Lango la Efraimu hadi kona ya Lango, umbali wa mikono mia nne.
24 And he tooke all the gold and the siluer, and all the vessels that were found in the house of God with Obed Edom, and in the treasures of the Kings house, and the children that were in hostage, and returned to Samaria.
Akachukua dhahabu na fedha zote, vitu vyote vilivyoonekana akatika nyumba aya Mungu kwa Obedi Edomu, na vitu vya thamanai katika nyumba ya mfalme, na mateka pia, na akarudi Samaria.
25 And Amaziah the sonne of Ioash King of Iudah liued after the death of Ioash sonne of Iehoahaz King of Israel, fifteene yeere.
Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, aliishi miaka kumi na tano baada ya kifo cha Yehoashi, mwana wa Yehoahazi, mfalme wa Israeli.
26 Concerning the rest of the actes of Amaziah first and last, are they not written in the booke of the Kings of Iudah and Israel?
Kwa mambo mengingine kuhusu Amzia, mwanzo na mwisho, tazama, je, hayajaandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli?
27 Nowe after the time that Amaziah did turne away from ye Lord, they wrought treason against him in Ierusalem: and when he was fled to Lachish, they sent to Lachish after him, and slewe him there.
Sasa kutoka wakati amabaoa Amazia aligeukia mbali asimfuate Yahwe, walianza kupanga njama zidi yake katika Yerusalemu. Akakimbilia Lachishi, lakini wakatuma watu nyuma yake wamfuate Lachishsi na walimuua huko.
28 And they brought him vpon horses, and buried him with his fathers in the citie of Iudah.
Wakamleta juu ya farasis na wakamzika pamoja na babu zake kataika Mji wa Yuda.