< 2 Chronicles 21 >

1 Iehosphaphat then slept with his fathers, and was buried with his fathers in the citie of Dauid: and Iehoram his sonne reigned in his steade.
Yehoshafati akalala pamoja na babu zake na akizikwa pamoaja nao katika mji wa Daudi;
2 And he had brethren the sonnes of Iehoshaphat, Azariah, and Iehiel, and Zechariah, and Azariah, and Michael, and Shephatiah. All these were the sonnes of Iehoshaphat King of Israel.
Yehoramu, mwanaye, akawa mfalme katika nafasi yake. Yehoramu alikuwa na ndugu, wana wa Yehoshafati: Azaria, Yerieli, Zekaria, Azaria, Mikaeli, na Shefatia. Wote hawa walikuwa wana wa Yehoshafati, mfalme wa Israeli.
3 And their father gaue them great giftes of siluer and of golde, and of precious things, with strong cities in Iudah, but the kingdome gaue he to Iehoram: for he was the eldest.
Baba yao alikuwa amewapa zawadi kubwa ya fedha, dhahabu, na vitu vingine vya thamani, na miji yenye ngome katika Yuda, lakini kiti cha enzi alimpa Yehoramu, kwa sababu alikuwa mzaliwa wake wa kwanza.
4 And Iehoram rose vp vpon the kingdom of his father, and made himselfe strong, and slew all his brethren with the sworde, and also of the princes of Israel.
Sasa Yehoramu alipokuwa ameinuka katika ufalme wa baba yake na kujiimarisha mwenyewe kama mfalme, akawaua ndugu zake wote kwa upanga, na pia viongizi wengine mbali mbali wa Israeli.
5 Iehoram was two and thirtie yeere olde, when he began to reigne, and he reigned eyght yeere in Ierusalem.
Yehoramu alikuwa na umri wa mika thelathini na mbili alipoanza kutawala, na akatawala kwa miaka minane katika Yerusalemu.
6 And he walked in the way of the Kings of Israel, as the house of Ahab had done: for he had the daughter of Ahab to wife, and he wrought euill in the eyes of the Lord.
Akatembea katika njia za wafalme wa Israeli, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa ikifanya, kwa maana alikuwa na binti Ahabu kama mke wake, na akafanya yaliyo maovu katika macho ya Yahwe.
7 Howbeit the Lord would not destroy the house of Dauid, because of the couenant that he had made with Dauid, and because he had promised to giue a light to him, and to his sonnes for euer.
Vile vile, Yahwe hakutaka kuiangamiza nyumba ya Daudi, kwa sababu ya agano ambalo alikuwa amefanya na Daudi; alikuwa ameahidi kwamba siku zote angetoa uzima kwa ajili yake na kwa ajili ya vizazi vyake.
8 In his dayes Edom rebelled from vnder the hand of Iudah, and made a King ouer them.
Katika siku za Yehoramu, Edomu wakaasi wasiwe chini ya Yuda, na wakajisimamishia mfalme juu yao.
9 And Iehoram went forth with his princes, and all his charets with him: and hee rose vp by night, and smote Edom, which had compassed him in, and the captaines of the charets.
Kisha Yeroboamu akavuka ng'ambo pamoja na maakida na magari yake yote. Ilikuwa usiku aliposimama na kupigana dhidi ya Waedomu ambao walikuwa wamemzunguka na maakida wa magari yake.
10 But Edom rebelled from vnder the hande of Iudah vnto this day. then did Libnah rebell at the same time from vnder his hand, because he had forsaken the Lord God of his fathers.
Kwa hiyo Edomu iliasi kutoka kuwa chini ya Yuda mpaka leo. Libna pia aliasi wakati ule ule wasiwe chini yake. Kwa sababu Yehoramu alikuwa amemsahau Yahwe, Mungu wa babu zake.
11 Moreouer hee made hie places in the mountaines of Iudah, and caused the inhabitants of Ierusalem to commit fornication, and compelled Iudah thereto.
Zaidi ya hayo, Yehoramu pia alikuwa amezijenga sehemu zake za juu katika milma ya Yuda na akawafanya wakaaji wa Yuda kuishi kama makahaba, na akawaongoza Yuda katika upotevu.
12 And there came a writing to him from Elijah the Prophet, saying, Thus sayth the Lord God of Dauid thy father, Because thou hast not walked in the wayes of Iehoshaphat thy father, nor in the wayes of Asa King of Iudah,
Barua kutoka kwa nabii Eliya ikaja kwa Yerohamu. Ilisema, “Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Daudi, babu yako, anasema: Kwa sababu hujatembea katika njia za Yehoshafafati, baba yako, wala katika njia za Asa, mfalme wa Yuda,
13 But hast walked in the way of the kings of Israel, and hast made Iudah and the inhabitantes of Ierusalem to go a whoring, as the house of Ahab went a whoring, and hast also slaine thy brethre of thy fathers house, which were better then thou,
bali umetembea katika njia za wafalme wa Israeli, na umewafanya Yuda na wakaaji wa Yerusalemu kuenenda kama kahaba, kama nyumba ya Ahabu walivyofanya—na kwa sababu pia umewaua ndugu zako katika familia ya baba yako kwa upanga, watu waliokuwa bora kuliko wewe mwenyewe—
14 Beholde, with a great plague will the Lord smite thy people, and thy children, and thy wiues, and all thy substance,
ona, Yahwe atawapiga watu wako na pigo kubwa, watoto wako, wake zako, na mali zako zote.
15 And thou shalt be in great diseases in the disease of thy bowels, vntill thy bowels fall out for the disease, day by day.
Wewe mwenyewe utakuwa na ugonjwa mwingi kwa sababu ya ugonjwa kataika katika utumbo wako, mpaka utumbo wako uanguke nje kwa sababu ya ugonjwa, siku baada ya siku.
16 So the Lord stirred vp against Iehoram the spirite of the Philistims, and the Arabians that were beside the Ethiopians.
Yahwe akaichochea roho ya Wafilisiti dhidi ya Yuda na ya Waarabu waliokuwa karibu na Waethipia.
17 And they came vp into Iudah, and brake into it, and caryed away all the substance that was found in the Kings house, and his sonnes also, and his wiues, so that there was not a sonne left him, saue Iehoahaz, the yongest of his sonnes.
Wakaivamia Yuda, wakavamia katika nyumba ya mfalme. Pia wakawachukua wanaye na wake zake. Hakuna mwana aliyebakizwa kwa ajili yake ispokuwa, Yehoshafati, mwanaye mdogo.
18 And after all this, the Lord smote him in his bowels with an incurable disease.
Baada ya haya yote, Yahwe akampiga katika utumbo wake kwa ugonjwa usiopona.
19 And in processe of time, euen after the end of two yeeres, his guttes fell out with his disease: so he dyed of sore diseases: and his people made no burning for him like the burning of his fathers.
Ikawa wakati ulipofika, katika mwisho wa miaka miwili, kwamba utumbo wake ukaaanguka nje kwa sababu ya ugonjwa wake, na kwamba akafa kwa ugonjwa mkali. Watu wake hawakutengeneza moto kwa ajili ya heshima yake kama walivyokuwa wamefanyia babu zake.
20 When he began to reigne, he was two and thirtie yeere olde, and reigned in Ierusalem eight yeere, and liued without being desired: yet they buryed him in the citie of Dauid, but not among the sepulchres of the Kings.
Alikuwa ameanza kutawala alipokuwa na umrai wa miaka thelatahini na mbaili; akatawala katika Israeli kwa miaka minane, na alikufa bila kuaombolezwa. Wakamzika katika mji wa Daudi, lakini siyo katika makaburi ya kifalme.

< 2 Chronicles 21 >