< 1 Chronicles 7 >

1 And the sonnes of Issachar were Tola and Puah, Iashub, and Shimron, foure,
Isiakari alikuwa na wana wanne Tola, Pua, Yashubi, na Shimironi.
2 And the sonnes of Tola, Vzzi, and Rephaiah, and Ieriel, and Iahmai, and Iibsam, and Shemuel, heads in the housholdes of their fathers. Of Tola were valiant men of warre in their generations, whose nomber was in the dayes of Dauid two and twentie thousand, and sixe hundreth.
Wana wa Tola walikuwa Uzi, Refaia, Yerie, Yamai, Ibisami, Shemueli. Walikua vichwa katika nyumba za baba yao, toka uzao wa Tola na waliorodheshwa kama mashujaa hodari miongoni mwa kizazi chao. Katika siku za Daudi walikua na idadi ya 22, 600.
3 And the sonne of Vzzi was Izrahaiah, and the sonnes of Izrahaiah, Michael, and Obadiah, and Ioel, and Isshiah, fiue men all princes.
Mwana wa Uzi alikua Izrahia. Mwana wake alikua Michaeli, Obadia, Yoeli, na Ishia, wote watano walikua viongozi wa ukoo
4 And with them in their generations after the houshold of their fathers were bandes of men of warre for battel, sixe and thirtie thousand: for they had many wiues and children.
Pamoja nao walikua na jeshi la watu elfu thelathini na sita kwa mapambano, Kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao, kwa kuwa walikuwa na wake wengi pamoja na wana.
5 And their brethren among all the families of Issachar were valiant men of warre, rekoned in all by their genealogies foure score and seuen thousand.
Kaka zao, kabila la Isakari, walikua na wanaume wa vita themanini na saba, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
6 The sonnes of Beniamin were Bela, and Becher, and Iediael, three.
Wana watatu wa Benjamini walikuwa Bela, Beka, na Yediaeli.
7 And the sonnes of Bela, Ezbon, and Vzzi, and Vzziel, and Ierimoth, and Iri, fiue heads of the housholds of their fathers, valiant men of warre, and were rekoned by their genealogies, two and twentie thousand and thirtie and foure.
Wana watano wa Bela walikuwa Ezibono, Uzi, Uzieli, Yerimoti, na Iri. Walikua ni wanajeshi na waanzilishi wa koo. Watu wao walikuwa na idadi ya wanaume wa vita 22, 034, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
8 And the sonnes of Becher, Zemirah, and Ioash, and Eliezer, and Elioenai, and Omri, and Ierimoth, and Abiah, and Anathoth, and Alameth: all these were the sonnes of Becher.
Wana wa Beka walikuwa Zemira, Yoashi, Elieza, Elionai, Omri, Yeremoti, Abiya, Anatoti, na Alemeti. Wote hawa walikuwa wana wake.
9 And they were nombred by their genealogies according to their generations, and the chiefe of the houses of their fathers, valiant men of warre, twenty thousand and two hundreth.
Orodha ya koo zao ilikua na idadi ya 20, 200 viongozi wa familia na wanaume wa vita.
10 And the sonne of Iediael was Bilhan, and the sonnes of Bilhan, Ieush, and Beniamin, and Ehud, and Chenaanah, and Zethan, and Tharshish, and Ahishahar.
Mwana wa Yediaeli alikuwa Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa Yeushi, Benjamini, Ehudi, Kenaana, Zetani, Tarishishi, na Ahishahari.
11 All these were the sonnes of Iediael, chiefe of the fathers, valiant men of warre, seuenteene thousand and two hundreth, marching in battel aray to the warre.
Wote hawa waikuwa wana wa Yediaeli. Waliorodheshwa katika ukoo orodha ilikuwa 17, 200 viongozi na wanaume wa vita imara kwa kazi ya jeshi.
12 And Shuppim, and Huppim were ye sonnes of Ir, but Hushim was the sonne of another.
(Shupimu na Hupimu walikuwa wana wa Iri, na Hushimu alikuwa mwana wa Aheri.)
13 The sonnes of Naphtali, Iahziel, and Guni, and Iezer, and Shallum of the sonnes of Bilhah.
Wana wa Naftali walikuwa Yazieli, Guni, Yezeri, na Shalumu. Hawa walikuwa wajukuu wa Bilhahi.
14 The sonne of Manasseh was Ashriel whom she bare vnto him, but his concubine of Aram bare Machir the father of Gilead.
Manasse alikua na mtoto wa kiume aliitwa Asrieli, Ambaye suria wake wa Kiaramia alimzalia. Pia alimzaa na Makiri, baba wa Gileadi.
15 And Machir tooke to wife the sister of Huppim and Shuppim, and the name of their sister was Maachah. And the name of the second sonne was Zelophehad, and Zelophehad had daughters.
Makiri alimchukua mke wake kutoka Hupite na Shupite. Jina la dada yake lilikuwa Maaka. Mwingine wa uzao wa Manasse alikuwa Zalofehadi, ambaye alikuwa na mabinti pekee.
16 And Maachah the wife of Machir bare a sonne, and called his name Peresh, and the name of his brother was Sheresh: and his sonnes were Vlam and Rakem.
Maaka mke wa Makiri, alimzaa mwana na alimuita Pereshi. Kaka yake aliitwa Shereshi, na wana wake walikuwa Ulamu na Rakemu.
17 And the sonne of Vlam was Bedan. These were the sonnes of Gilead the sonne of Machir, the sonne of Manasseh.
Mwana wa Ulami alikuwa Bedani. Hawa walikuwa uzao wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase.
18 And his sister Molecheth bare Ishod, and Abiezer, and Mahalah.
Dada wa Gileadi Hamoleketi alimzaa Ishihodi, Abi Ezeri, na Mahila.
19 And the sonnes of Shemida were Ahian, and Shechem, and Likhi, and Aniam.
Wana wa Shemida walikuwa Ahiana, Shekemu, Liki, na Aniamu.
20 The sonnes also of Ephraim were Shuthelah, and Bered his sonne, and Tahath his sonne, and his sonne Eladah, and Tahath his sonne,
Uzao wa Efraimu ulikuwa kama ifuatavyo: Efraimu mwana wa Shutela. Shutela mwana wa Beredi. Beredi mwana wa Tahati.
21 And Zabad his sonne, and Shuthelah his sonne, and Ezer, and Elead: and the men of Gath that were borne in the land, slewe them, because they came downe to take away their cattel.
Tahati mwana wa Eleada. Eleada mwana wa Shutela. (Eza na Eleadi waliuawa na wanaume wa Gati, wenyeji wa nchi, walipoenda kuiba mifugo yao.
22 Therefore Ephraim their father mourned many dayes, and his brethren came to comfort him.
Efraimu baba yao aliomboleza kwa siku nyingi, na kaka zake walikuja kumfariji.
23 And when he went in to his wife, she conceiued, and bare him a sonne, and he called his name Beriah, because affliction was in his house.
Alilala na mkewe. Akapata mimba akamzaa mwana. Efraimu akamuita Beria, kwa sababu maafa yalishakuja nyumbani mwake.
24 And his daughter was Sherah, which built Beth-horon the nether, and the vpper, and Vzzen Sheerah.
Binti yake alikuwa Sheera, ambaye alijenga miji juu na chini Beth Horon na Uzzen Sheerah.)
25 And Rephah was his sonne, and Resheph, and Telah his sonne, and Tahan his sonne,
Mwana wake alikuwa Rafa. Mwana wa Rafa alikuwa Reshefi. Mwana wa Reshafi alikuwa Tela. Mwana wa Tela alikuwa Tahani.
26 Laadan his sonne, Ammihud his sonne, Elishama his sonne,
Mwana wa Tahani alikuwa Ladani. Mwana wa Ladani alikuwa Amihudi. Mwana wa Amihudi alikuwa Elishama.
27 Non his sonne, Iehoshua his sonne.
Mwana wa Elishama alikuwa Nuni. Mwana wa Nuni alikuwa Joshua.
28 And their possessions and their habitations were Beth-el, and the villages thereof, and Eastward Naaran, and Westwarde Gezer with the villages thereof, Shechem also and the villages thereof, vnto Azzah, and the villages thereof,
Mali zao na makazi yao yalikuwa Betheli na yalizungukwa na vijiji. Waliongeza upande wa mashariki hadi Naarani na upande wa magharibi hadi Gezeri na vijiji vyake, na Shekemu na vijiji vyake hadi Aya na vijiji vyake.
29 And by the places of the children of Manasseh, Beth-shean and her villages, Taanach and her villages, Megiddo and her villages, Dor and her villages. In those dwelt the children of Ioseph the sonne of Israel.
Katika mipaka pamoja na Manasse kulikuwa na Beti shani na vijiji vyake, Taanaki na vijiji vyake, Megido na vijiji vyake, na Dori na vijiji vyake. Katika huu mji waliishi uzao wa Josefu mwana wa Israeli.
30 The sonnes of Asher were Imnah, and Isuah, and Ishuai, and Beriah, and Serah their sister.
Wana wa Asha walikuwa Imna, Ishiva, Ishivi, na Beria. Sera alikuwa dada yao.
31 And the sonnes of Beriah, Heber, and Malchiel, which is the father of Birzauith.
Wana wa Beria walikuwa Heberi na Malchieli, Ambaye alikuwa baba wa Birzaiti.
32 And Heber begate Iaphlet, and Shomer, and Hotham, and Shuah their sister.
Wana wa Heberi walikuwa Yafeti, Shomer, na Hotamu. dada yao alikuwa Shua.
33 And the sonnes of Iaphlet were Pasach, and Bimhal, and Ashuath: these were the children of Iaphlet.
Wana wa Yafeti walikuwa Pasach, Bimhali, na Ashivati. hawa walikuwa watoto wa yafeti.
34 And the sonnes of Shamer, Ahi, and Rohgah, Iehubbah, and Aram.
shoma, kaka wa Yafeti alikuwa na wana hawa: Roga, Yehuba, Aram.
35 And the sonnes of his brother Helem were Zophah, and Iimna, and Shelesh and Amal.
Kaka yake Shema, Helemu, alikuwa na wana hawa: Zofa, Imna, Sheleshi na Amali.
36 The sonnes of Zophah, Suah, and Harnepher, and Shual, and Beri, and Imrah,
Wana wa Zofa walikuwa Sua, Harinefa, Shua, Beri, IMra,
37 Bezer and Hod, and Shamma, and Shilshah, and Ithran, and Beera.
Beza, Hodi, Shamma, Shilsha, Ithrani, na Beera.
38 And the sonnes of Iether, Iephunneh, and Pispa and Ara.
Wana wa Yeta walikuwa Jefune, Pispa, na Ara.
39 And the sonnes of Vlla, Harah, and Haniel, and Rizia.
Wana wa Ulla walikwa Ara, Hannieli, na Rizia.
40 All these were the children of Asher, the heads of their fathers houses, noble men, valiant men of warre and chiefe princes, and they were rekoned by their genealogies for warre and for battell to the nomber of sixe and twentie thousand men.
Hawa wote walikuwa uzao wa Asha. Walikua mababu wa ukoo, viongozi wa familia, wananume wa kipekee, wanaume wa vita, na machifu kati ya viongozi. Kulikuwa na wanaume elfu ishirini na sita walioorodheshwa waliokuwa imara kwa kazi ya jeshi, kwa mujibu wa idadi iliyo orodheshwa.

< 1 Chronicles 7 >