< Song of Solomon 8 >
1 How I wish you were like a brother to me, one who nursed at my mother's breasts! Then if I met you on the street I could kiss you and no one would tell me off.
Ninatamani ungekua kama kaka yangu, aliye nyonya ziwa la mama yangu. Ili kwamba kila ningekuona nje ningekubusu pasipo mtu kunidharau.
2 Then I could take you home to my mother's house, where she used to teach me. I would give you spiced wine to drink from the juice of my pomegranate.
Nitakuongoza na kukuleta kwenye nyumba ya mama yangu, na utanifundisha. Nitakupa mvinyo ulio chachwa unywe na baadhi ya jwisi ya komamanga. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
3 He supports my head with his left hand, and holds me close with his right.
Mkono wake wa kushoto uko chini ya kichwa changu na mkono wake wa kulia wanikumbatia. Mwanamke akiongea na wanawake wengine
4 Women of Jerusalem, swear to me that you won't disturb our love until the right time.
Ninataka muape, mabinti wa wanaume wa Yerusalemu, kuwa hamtavuruga mapenzi yetu hadi yatakapo isha yenyewe. Wanawake wa Yerusalemu wakizungumza
5 Who is this coming in from the wilderness holding her love close to her? Woman: I woke you up under the apple tree where your mother conceived you, and where she gave birth to you.
Ni nani huyu anaye kuja kutoka nyikani, amemuegemea mpenzi wake? Mwanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake nimekuamsha chini ya mti wa mpera; pale mama yako alichukua mimba; pale alikuzaa, alijifungua wewe.
6 Stamp my name as a seal on your heart, like a seal on your arm, for love is strong as death, passion as unyielding as the grave—its arrows flash like fire, a blazing flame of the Lord. (Sheol )
Nieka kama muhuri kwenye moyo wako, kama muhuri kwenye mkono wako, kwa kuwa mapenzi yana nguvu kama mauti. Mapenzi mazito hayana kurudi kama kwenda kuzimu; miale yake yalipuka; ni miale ya moto inayo waka, miale yenye joto kuliko moto wowote. (Sheol )
7 Floods of water cannot extinguish love; rivers cannot submerge it. If a man offered everything he owned in order to buy love he would be completely rejected.
Maji yalio zuka hayawezi kuzimisha upendo, wala mafuriko hayawezi kuondoa. Mwanaume akitoa mali zake zote kwa ajili ya upendo, ukarimu wake utadharauliwa. Kaka zake mwanamke mdogo wakizungumza wenyewe
8 We have a younger sister whose breasts are still small. What shall we do for our sister when someone asks to marry her?
Tuna dada mdogo, na matiti yake bado hayajakua. Nini tutamfanyia dada yetu siku hatakayo ahidiwa kuolewa?
9 If she is a wall, we will build a silver tower on it. But if she is a door, we will bar the way with cedar planks.
Kama ni ukuta, tutamjengea juu yake mnara wa fedha. Kama ni mlango, tutampamba kwa mbao za mierezi. Mwanamke mdogo akizungumza peke yake
10 I am a wall, and my breasts are like towers. So when he looks at me he's happy!
Nilikuwa ukuta, lakini matiti yangu sasa ni kama nguzo imara; hivyo nimekomaa machoni pake. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
11 Solomon had a vineyard at Baal-hamon which he leased to tenant farmers. Each of them paid him one thousand silver coins for the fruit it produced.
Sulemani alikuwa na shamba la mizabibu huko Baali Hamoni. Aliwakodishia wao ambao watalitunza. Kila mmoja alipaswa kuleta shekeli elfu moja za fedha kwa matunda yake.
12 But I own my vineyard, it is mine alone. One thousand silver coins are for you, Solomon, and two hundred for those who look after it.
Shamba langu ka mzabibu ni langu, shekeli elfu moja ni za kwako, Sulemani mpenzi, na shekeli mia mbili ni za wale wanao tunza matunda yake. Mpenzi wa mwanamke akizungumza naye.
13 My darling, sitting there in the gardens with companions listening to you—please talk to me!
Wewe unaye ishi katika bustani, marafiki zangu wanasikiliza sauti yako; acha na mimi niweanaye isikia pia. Mwanamke mdogo akiongea na mpenzi wake
14 Come quickly, my love! Be like a gazelle or a young deer on the mountains of spices.
Harakisha, mpenzi wangu, na uwe kama paa au mtoto wa paa kwenye milima ya manukato.