< Psalms 4 >
1 For the music director. A psalm of David, to be accompanied by string instruments. When I call, please answer me, God who vindicates me. When I was hemmed in by troubles, you gave me a way out. Be gracious to me and hear my prayer.
Unijibu nikuitapo, Mungu wa haki yangu; uniokoe niwapo katika hatari. Unihurumie na usikie maombi yangu.
2 How long will you people ruin my reputation? How long will you love what is worthless and tell lies? (Selah)
Ninyi watu, mpaka lini mtaiabisha heshima yangu? Mpaka lini mtaendelea kupenda kile kisicho stahili na kutafuta uongo?
3 You should realize that the Lord shows special favor to the faithful. The Lord listens when I call to him.
Lakini mjue ya kuwa Yahweh huchagua watu wa kimungu kwa ajili yake. Nitakapo mwita Yahwe atasikia.
4 Be in awe, do not sin. When you rest, reflect on this, and keep quiet! (Selah)
Tetemekeni na kuogopa, lakini msitende dhambi! Tafakarini mioyoni mwenu kwenye vitanda vyenu na muwe kimya.
5 Offer sacrifices with the right attitude. Trust in the Lord.
Toeni matoleo ya haki na muweke imani yenu katika Yahweh.
6 Many say, “Who is going to show us some good?” Lord, may your face shine upon us.
Wengi husema, “Ni nani atakaye tuonyesha chochote kilicho kizuri?” Yahweh, utuangazie nuru ya uso wako.
7 The happiness you give me is better than those who have a plentiful harvest of grain and new wine.
Umeupa moyo wangu furaha kuu kuliko wao wanapozidishiwa nafaka na divai mpaya.
8 I will lie down in peace and sleep, for you, Lord, alone keep me safe.
Ni amani kuwa nitajilaza na kusinzia, kwako pekee, Yahweh, nifanye kuwa salama kabisa.