< Psalms 31 >

1 A psalm of David. For the music director. Lord, you are the one who keeps me safe; please don't let me ever be humiliated. Save me, because you always do what is right.
Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. In wewe, Yahwe, nakimbilia usalama; usiniache niaibishwe. Katika haki yako uniokoe.
2 Please listen to me, and be quick to rescue me. Be my rock of protection, my strong fortress of safety.
Unisikie; uniokoe haraka; uwe mwamba wangu wa usalama, ngome ya kuniokoa.
3 You are my rock and my fortress. For the sake of your reputation, please lead me and guide me.
Kwa kuwa wewe ni mwamba wangu na ngome yangu; kwa hiyo kwa ajili ya jina lako, uniongoze na unielekeze.
4 Help me escape from the hidden net that they set to trap me, for you are the one who protects me.
Unitoe katika mtego ambao wameuficha kwa ajili yangu, kwa kuwa wewe ni usalama wangu.
5 I put myself in your hands. Save me, Lord, for you are a trustworthy God.
Mikononi mwako naikabidhi roho yangu; nawe utaniokoa, Yahwe, mwenye kuaminika.
6 I hate those who devote themselves to pointless idols; I trust in the Lord.
Ninawachukia wale wanaotumikia miungu isiyo na maana, bali ninaamini katika Yahwe.
7 I will celebrate, happy in your love that never fails, for you have seen the problems I face and have paid attention to my troubles.
Nitafurahi na kushangilia katika uaminifu wa agano lako, kwa kuwa uliyaona mateso yangu; wewe uliijua dhiki ya moyo wangu.
8 You haven't handed me over to my enemies; you have set me free.
Wewe haujaniweka kwenye mkono wa maadui zangu. Nawe umeiweka miguu yangu mahali pa wazi papana.
9 Be kind to me Lord, for I am upset. I can hardly see from so much crying. I am completely wasting away.
Uniurumie, Yahwe, kwa maana niko katika dhiki; macho yangu yanafifia kwa huzuni pamoja na moyo wangu na mwili wangu.
10 Grief is killing me; my life is cut short by sadness; I am falling apart because of my troubles; I am worn to the bone.
Kwa kuwa maisha yangu yamechoshwa kwa huzuni na miaka yangu kwa kuugua kwangu. Nimekuwa dhaifu kwa sababu ya dhambi zangu, na mifupa yangu inachakaa.
11 I am ridiculed by my enemies, particularly by my neighbors. My friends dread meeting me; people who see me in the street run the other way.
Kwa sababu ya maadui zangu wote, watu wananibeza; majirani zangu wanaishangaa hali yangu, na wale wanao nifahamu wanashtuka. Wale wanionao mitaani hunikimbia.
12 I have been forgotten as if I were dead; I'm ignored like a broken pot.
Nimesahaulika kama mtu aliye kufa ambaye hakuna mtu anaye mfikiria. Niko kama chungu kilicho pasuka.
13 I hear many people whispering about me; terror surrounds me. They plot together against me, planning to kill me.
Kwa maana nimesikia minong'ono ya wengi, habari za kutisha kutoka pande zote kwa pamoja wamepanga njama kinyume na mimi. Wao wanapanga njama ya kuniua.
14 But I put my trust in you, Lord, saying, “You are my God!”
Bali mimi ninakuamini wewe, Yahwe; Ninasema, “Wewe ni Mungu wangu.”
15 My whole life is in your hands! Save me from those who hate me and persecute me!
Hatima yangu iko mikononi mwako. Uniokoe mikononi mwa maadui zangu na wale wanao nifukuzia.
16 May you look kindly on me, your servant. Save me because of your trustworthy love.
Nuru ya uso wako imuangazie mtumishi wako; uniokoe katika uaminifu wa agano lako.
17 Lord, don't let me be disgraced, for I'm calling out to you. Instead let the wicked be disgraced, let them be silent in the grave. (Sheol h7585)
Usiniache niaibishwe, Yahwe; kwa maana ninakuita wewe! Waovu waaibishwe! Na wanyamaze kimya kuzimuni. (Sheol h7585)
18 Shut the mouths of those who tell lies against good people—those who speak contemptuously in their pride and arrogance!
Na inyamazishwe midomo midanganyifu ambayo husema maneno mabaya kuhusu watu wenye haki huku wakiwa na kiburi na dharau.
19 How wonderful is the goodness you have reserved for those who honor you! In front of everyone you give this goodness to those who come to you for help.
Uzuri wako ni wa namna gani nao umeuhifadhii kwa ajili ya wale wanao kuheshimu sana, ambao wewe huufanya kwa ajili ya wale ambao hukimbilia kwako kwa ajili ya usalama mbele ya watoto wote wa wanadamu!
20 You shelter and protect them with your presence, far from their enemies who scheme against them. You keep them safe from attacks and accusations.
Katika makao ya uwepo wako, wewe huwaficha mbali na njama za watu. Wewe huwaficha mahali salama na ndimi zenye vurugu.
21 Bless the Lord, for he has shown me his wonderful trustworthy love when my city was being attacked
Atukuzwe Yahwe, kwa maana yeye alinionesha maajabu ya uaminifu wa agano lake mahali nilipoishi.
22 Terrified I cried out, “I am being destroyed right in front of you!” But you heard my cry when I called out for you to help me.
Ingawa kwa haraka zangu nilisema, “Nimeondolewa machoni pako,” bali wewe ulisikia kusihi kwangu nilipokulilia wewe.
23 Love the Lord, all you who trust in him! The Lord takes care of those who trust him, but he pays back in full those who are arrogant.
Enyi wafuasi waaminifu, mpendeni Yahwe, Yahwe huwalinda waaminifu, lakini huwalipa wakaidi ipasavyo.
24 Be strong and be confident, all you who put your hope in the Lord.
Iweni imara na jasiri, ninyi nyote mnao mwamini Mungu kuwasaidia.

< Psalms 31 >