< Psalms 13 >
1 For the music director. A psalm of David. How long, Lord, are you going to forget me? Forever? How long will you turn away from me?
Mpaka lini, Yahweh, utaendelea kunisahau? Ni kwa muda gani utauficha uso wako nisiuone?
2 How long must I be in inner turmoil, feeling sad all day long? How long will my enemy be victorious over me?
Ni kwa muda gani nitalazimika kuhofu na kuhuzunika moyoni mwangu kila siku? Ni kwa muda gani adui zangu watanishida?
3 Think about this, and answer me, Lord my God. Give me back my strength, otherwise I'm going to die,
Unitazame na unijibu, Yahwe Mungu wangu! Nipe mwanga machoni pangu, vinginevyo nitalala katika mauti.
4 and my enemy will say, “I defeated him!” and my opponents will celebrate my downfall.
Usimuache adui yangu aseme, “Nimemshinda huyu,” ili kwamba asiweze kusema, “Nimemtawala adui yangu;” la sivyo, maadui zangu watafurahia nitakapo shushwa chini.
5 But I trust in your never-failing love, I will be happy because you save me.
Lakini nimeamini katika uaminifu wa agano lako; moyo wangu wafurahia katika wokovu wako.
6 I will sing to the Lord because he has treated me with such generosity!
Nitamuimbia Yahwe kwa kuwa ameniganga kwa ukarimu kabisa.