< Numbers 35 >

1 The Lord spoke to Moses on the plains of Moab beside the Jordan opposite Jericho. He told him,
BWANA akanena na Musa kwenye nyanda za Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko akasema,
2 “Order the Israelites to provide from their land allocation towns for the Levites to live in and pastures around the towns.
“Waamuru watu wa Israeli kutoa sehemu ya urithi wa ardhi yao kwa Walawi. Watawapa miji ya kuishi ndani yake na eneo la malisho kuzunguka miji hiyo.
3 The towns are for them to live in, and the pastures will be for their herds and their flocks—for all their livestock.
Walawi watakuwa na miji hiyo ya kuishi. Eneo la malisho litakuwa kwa ajili ya ng'ombe zao, kondoo zao, na wanyama wao wote.
4 The pastures around the towns you give to the Levites are to extend out from the wall a thousand cubits on all sides.
Hayo malisho yatakayozunguka miji hiyo ambayo mtawapa Walawi yataanzia kwenye maboma kwa ukubwa wa “mita 457” kila upande.
5 Measure two thousand cubits outside the town on the east, two thousand on the south, two thousand on the west, and two thousand on the north, with the town in the middle. These areas will be their pastures around the towns.
Utapima dhiraa elfu mbili kutoka nje ya mji kuelekea mashariki, na dhiraa elfu mbili kuelekea kusini, na dhiraa elfu mbili kuelekea upande wa magharibi, na dhiraa elfu mbilii kuelekea upandewa kaskazini. Haya yatakuwa maeneo ya malisho yao. Miji itakuwa katikati.
6 Six of the towns you give the Levites are to be sanctuary towns, where a person who kills someone can run for protection. As well as these towns, give the Levites forty-two more.
Katika hiyo miji sita mtakayowapatia Walawi itatumika kama miji ya ukimbizi. Mtatoa maeneo haya ili kama mtu ameua mtu apate mahali pa kukimbilia. Pia mtatoa miji mingine arobaini na mbli.
7 The total number of towns you are to give the Levites is forty-eight, along with their pastures.
Jumla ya miji ambyo mtawapa Walawi itakuwa arobaini na nane. Mtawapa hiyo miji pamoja na maeneo yao ya malisho.
8 The towns that you allocate to be given to the Levites from the territory of the Israelites will be more from a larger tribe and less from a smaller one. The number will be in proportion to the size of the land allocation of each tribe.”
Zile kabila kubwa za watu wa Israeli, kabila ambalo lina ardhi zaidi, watatoa ardhi zaidi. Makabila madogo madogo watatoa miji michache. Kila kabila lazima watoe kwa ajili ya Walawi kwa kufuata mgawo waliopata.”
9 The Lord told Moses,
Kisha BWANA akanena na Musa akamwambia,
10 “Tell the Israelites: ‘When you cross over the Jordan into Canaan,
“Sema na wana wa Israeli na uwaambie, 'Mtakapovuka Yorodani kuingia Kanaani,
11 choose towns as your sanctuary towns, so a person who kills someone by mistake may run there.
Kisha mchague miji itakayotumika kama miji ya ukimbizi kwa, ajili yenu, mahali ambapo mtu aliyeua mtu pasipo kukusudia anaweza kukimbilia.
12 These towns will be for you places of sanctuary from those seeking revenge, so that the killer will not die until they are tried in court.
Hii miji itakuwa kwenu miji ya ukimbizi kwa mtu anayetaka kulipa kisasi. ili kwamba mtuhumiwa asije akauawa bila kwanza kusikilizwa na jamii.
13 The towns you choose will be your six sanctuary towns.
Mtachagua miji sita kuwa miji ya ukimbizi.
14 Choose three cities on the other side of the Jordan and three in Canaan as cities of refuge.
Mtatoa miji mitatu kule ng'ambo ya Yorodani na miji mitatu huko Kanaani. Itakuwa miji ya ukimbizi.
15 These six cities will be places of sanctuary for the Israelites and for foreigners or settlers among them, so that anyone who kills a person by mistake may run there.
Kwa ajili ya watu wa Israeli, wageni, kwa, yeyote anayeishi kati yenu, hii miji sita itatumika kama miji ya ukimbizi kwa mtu yeyote atakayeua mtu bila kukusudia anaweza kukimbila.
16 But if anyone deliberately hits someone with something made of iron and kills them, that person is a murderer and must be executed.
Lakini kama mtuhumiwa amempiga mtu na chombo cha chuma, na huyo mtu akafa, basi kwa hakika yule mtuhumiwa ni muuaji. Kwa hiyo anatakiwa kuuawa.
17 If anyone picks up something made of stone that could be used as a weapon and hits someone with it, and kills them, that person is a murderer and must be executed.
Kama yule mtuhumiwa amempiga mtu kwa jiwe mkonono mwake ambalo linaweza kumwua mtu, na kama yule mtu atakufa, basi hakika huyo mtuhumiwa ni mwuaji. Kwa hakika anatakiwa kuuawa.
18 If anyone picks up something made of wood that could be used as a weapon and hits someone with it, and kills them, that person is a murderer and must be executed.
Kama mtuhumiwa amempiga mtu kwa silaha ya mti ambayo inaweza kuua mtu na kama huyo mtu atakufa, basi kwa hakika huyo mtuhumiwa ni mwuaji. kwa hakika huyo anataikwa kuuawa.
19 The avenger is to execute the murderer. When he finds the murderer, he is to kill him.
Mwenye kulipa kisasi cha damu ndiye atakayemwua mwuaji. atkapokutana naye, anaweza kumwua.
20 Similarly, if anyone hates someone and knocks them down or deliberately throws something at them, and they're killed;
Lakini kama yule mtuhumiwa atamshinda mtu yeyote yule anayemchukia au kama atamtupia kitu, wakati akimvizia, kiasi kwamba huyo mtu akafa,
21 or if someone hits another with his hand and they die, the one who hit him must be executed because he is a murderer. When the avenger finds the murderer, he is to kill him.
au kama atampiga ngumi kwa chuki na mtu huyo akafa, ndipo yule mtuhumiwa aliyempiga hakika atauawa. Yeye ni mwuaji. Yule mlipa kisasi cha damu anaweza kumwua muuaji pale atakapokutana naye.
22 But if anyone knocks someone else down without meaning to and without hating them, or throws something at them not meaning to hurt them,
Lakini kama mtuhumiwa atampiga mtu ghafla bila kuwa na chuki hapo awali, au kama atamtupia kitu ambacho kitampiga mtu bila kumvizia
23 or carelessly drops a heavy stone that kills them, but not as an enemy or intending to harm them,
au kama atatupa jiwe amabalo linaweza kumwua mtu bila kumwona, basi huyo mtu hakua adui yake, hakukusudia kumwumiza huyo mtu. Basi hiki ndicho kitachofanywa kama mtu huyo atakufa.
24 then the community must judge between the killer and the avenger following these regulations.
Kwa tatizo la jinsi hiyo, Watu wataamua kati ya mlipa kisasi na mtuhumiwa kwa kufuata taratibu zifuatazo.
25 The court is to protect the killer from being attacked by the avenger and must return him to the sanctuary town that he ran to, and he must stay there until the death of the high priest, who was anointed with holy oil.
Watu watamwokoa mtuhumiwa kutoka kwenye nguvu za mlipa kisasi cha damu. Watu watamrudisha mtuhumiwa katika mji wa ukimbizi ambao hapo awali alikimbilia. Ataishi pale mpaka yule kuhani anayetumikia atakapokufa, ambaye alipakwa mafuta matakatifu.
26 But if the killer ever leaves the limits of sanctuary town where they ran to,
Lakini kama yule mtuhumiwa muda fulani ataenda nje ya mipaka ya mji a ukimbizi ambao alikimbilia,
27 and the avenger finds him them outside his sanctuary town and kills him, then the avenger will not be guilty of murder,
na kama yule mlipa kisasi cha damu atamwona nje ya mipaka ya mji wake wa ukimbizi, kama atamwua huyo mtuhumiwa, mlipa kisasi cha damu hatakuwa na hatia ya mauaji hayo.
28 because the killer has to stay in his sanctuary town until the death of the high priest. Only after the death of the high priest are they allowed to return to the land they own.
Hii ni kwa sababu yule mtuhumiwa alitakiwa kubaki katika mji wake wa ukimbizi mpaka kuhani mkuu atakapokufa. Baada ya kifo cha kuhani mkuu, yule mtuhumiwa atarejea kwenye nchi yake ambako kuna mali yake.
29 These regulations apply to all future generations wherever you live.
Hizi amri zitakuwa maagizo kwenu kwa kizazi chote mahali kote mnakoishi.
30 If anyone kills a person, the murderer is to be executed based on the evidence given by witnesses, plural. No one is to be executed based on the evidence given by a single witness.
Yeyote amwuaye mtu, mwuaji atauawa, kama neno la ushahidi litakavyotolewa. Lakini ushahidi wa mtu mmoja unaweza usitoshe kusababisha mtu kuuawa.
31 You are not to accept payment instead of executing a murderer who has been found guilty—they must be executed.
Pia, msipokee fidia kwa ajili ya uhai wa mwuaji ambaye ana hatia ya mauti. Kwa hakika lazima auawe.
32 Also you are not allowed to accept payment for a person who runs to a sanctuary town and permit them to return and live on their own land before the death of the high priest.
Na msipokee fidia ya mtu aliyekimbilia kwenye miji ya ukimbizi. Msimruhusu kwa namna yeyote kurudi kwenye mali zake mpaka pale kuhani mkuu atakapokufa.
33 Don't pollute the land where you live because bloodshed pollutes the land, and the land where blood is shed can't be purified except by the blood of the one who shed it.
Msiiharibu nchi mnayokaa kwa namna hii, kwa kuwa damu ya mwuaji huharibu nchi. Hakuna sadaka ya upatanisho inayoweza kufanywa kwa nchi pale damu inapomwagika juu yake, isipokuwa kwa damu ya mtu aliyeimwaga.
34 Don't make the land impure where you live because I live there too. I am the Lord, and I live with the Israelites.”
Kwa hiyo msiinajisi nchi mnayoishi kwa sababu Mimi ninaishi ndani yake. Mimi BWANA huishi kati ya watu wa Israeli.”'

< Numbers 35 >