< Job 13 >

1 Look, I've seen all this with my own eyes, and heard it with my own ears, and I understand it.
Tazama, jicho langu limeyaona haya yote; sikio langu limeyasikia na kuyaelewa hayo.
2 I know what you know. You're no better than me.
Kile mnachokifahamu, ndicho hicho mimi pia ninachokifahamu; Mimi siyo duni kwenu ninyi.
3 But I would still like to speak to the Almighty: I want to prove myself to God!
Hata hivyo, Mimi ningeweza kuzungumza na mwenye nguvu; Mimi natamani kusemezana na Mungu.
4 As for you, you cover things up by telling lies! You are all like doctors who can't heal anyone!
Lakini ninyi mnauficha ukweli kwa uongo; ninyi nyote ni tabibu msiokuwa na thamani.
5 I wish you would all be quiet! That would be the wisest thing for you to do.
Laiti, kwamba kwa pamoja mngeshikilia amani yenu! Hilo lingekuwa hekima yenu ninyi.
6 Listen to my argument and pay attention to what I have to say.
Sikia sasa kuhoji kwangu; Sikiliza kusihi kwa midomo yangu mwenyewe.
7 Do you think you can tell lies to defend God? Are you talking deceitfully on his behalf?
Ninyi mtazungumza visivyo haki kwa ajili ya Mungu, na ninyi mtazungumza udanganyifu kwa yeye? Ni kweli ninyi mngeonyesha ukarimu kwa yeye?
8 Or are you wanting to show God favoritism? Are you going to argue God's case for him?
Ni kweli ninyi mngetetea katika mahakama kama mawakili wa Mungu?
9 Will you be found to be doing good when God examines you? Can you fool him as if he's a human being?
Je, kweli ingekuwa vizuri kwenu wakati yeye akiwatafuta ninyi? Mngeweza ninyi kumdanganya yeye kama mlivyoweza kuwadanganya watu?
10 No, he will definitely rebuke you if you secretly show him favoritism!
Yeye kwa hakika angewathibitisha upya ninyi ikiwa katika siri ninyi mmeonyesha kutokukamilika.
11 Isn't his majesty terrifying to you? Aren't you so afraid of him you're paralyzed?
Je, ukuu wake usingewafanya ninyi muogope? Je, utisho wake usingeshuka juu yenu?
12 Your sayings are as helpful as ashes; your arguments as weak as clay.
Hadithi zenu za misemo ya kukariri, ni mithali zimetengenezwa kwa majivu; utetezi wenu ni utetezi uliotengenezwa kwa udongo wa mfinyanzi.
13 Be quiet. Don't talk to me. Let me speak, come what may.
Shikilieni amani yenu, mniache peke yangu, ili ya kwamba nipate kusema, acheni yaje yale yanayoweza kuja kwangu.
14 I take responsibility for myself; I am ready to risk my life.
Nitaichukua nyama yangu mwenywewe katika meno yangu; Nitayachukua maisha yangu katika mikono yangu.
15 Even though he kills me, I will hope in him. I am still going to defend my ways before him.
Tazama, ikiwa ataniua mimi, sitakuwa na tumaini lililobakia; hata hivyo, nitazitetea njia zangu mbele zake yeye.
16 By doing this I will be saved since no godless person could come before him.
Hiki kitakuwa sababu ya kutohesabiwa hatia, kwamba mimi sikuja mbele zake kama mtu asiyemcha Mungu.
17 Listen carefully to what I say, pay attention to my explanation.
Mungu, sikiliza kwa makini kuzungumza kwangu; ruhusu kutangaza kwangu kuje kwenye masikio yako.
18 Look, I've prepared my case—I know I will be proved right.
Tazama sasa, Nimeuweka utetezi wangu katika mpangilio, Mimi ninafahamu kwamba mimi sina hatia.
19 Who wants to argue with me? If I'm proved wrong, I'm prepared to be quiet and die.
Ni nani anayeweza kushindana na mimi katika mahakama? Ikiwa mlikuja kufanya hivyo, na kama mimi nilithibitishwa kukosea, ndipo ningekuwa kimya na kuyatoa maisha yangu.
20 God, I have two requests, then I can face you.
Mungu, fanya mambo mawili kwa ajili yangu, na tena Mimi sitajificha kutoka katika uso wako.
21 Stop beating me, and stop terrifying me.
Ondoa kutoka kwangu mkono wako unaotesa, na usiache utisho wako unifanye mimi kuogopa.
22 Then call, and I will answer. Or let me speak, and then answer me.
Ndipo niite mimi, na mimi nitakujibu; au uniache mimi niseme na wewe na wewe unijibu mimi.
23 What are my sins and iniquities? Show me what have I done wrong; how have I rebelled against you?
Je, maovu yangu na dhambi zangu ni ngapi? Nijulishe kosa langu na dhambi yangu.
24 Why are you unfriendly towards me? Why do you treat me as your enemy?
Kwa nini unaficha uso wako kutoka kwangu mimi na kunitendea mimi kama adui yako?
25 Would you frighten a leaf blown by the wind or hunt down a piece of straw?
Je, wewe utalitesa jani linalopeperushwa? Je, utaendelea kulifuatilia bua kavu?
26 For you write down bitter things against me and pay me back for the sins of my youth.
Kwa maana wew unaandika chini vitu vichungu dhidi yangu mimi; wewe unanifanya mimi kurithi uovu wa ujana wangu.
27 You put my feet in the stocks. You keep an eye on every step I take. You even inspect my footprints!
Wewe pia unaiweka miguu yangu katika nguo nyembamba; wewe waangalia njia zangu zote; wewe wachunguza chini mahali ambapo nyayo za miguu yangu zimekanyaga.
28 I'm falling apart like something rotten, like moth-eaten clothes.
japokuwa mimi ni kama kitu kilichooza ambacho hutupwa mbali, kama vazi lile ambalo nondo wamelila.

< Job 13 >