< Job 12 >
Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
2 “You really think you're special people, don't you? Obviously when you die, wisdom will die with you!
“Hakuna shaka ninyi wanadamu; Hekima mtakufa nayo.
3 But I too have insights, and you're no better than me. Doesn't everyone know the things you've said?
Lakini nina ufahamu kama vile ninyi; Mimi siyo duni kwenu. Ni dhhiri, ni nani asiyefahamu vitu hivyo kama hivi?
4 But my friends laugh at me because I called on God and he answered me: the innocent man who does right has become an object of derision.
Mimi ni kitu cha kuchekwa na jirani-Mimi, ni mmoja aliyemwita Mungu na ambaye alijibiwa na yeye! Mimi, ni mwenye haki na mtu asiyekuwa na hatia-Mimi sasa nimekuwa kitu cha kuchekwa.
5 People who are comfortable have contempt for those who are in trouble, ready to push over those who are already slipping.
Katika mawazo yake mtu fulani aliye katika kufurahi, kuna kudharau kwa mashaka; hufikiri katika njia ambayo huleta mambo mabaya zaidi kwa wale ambao miguu yao inateleza.
6 Robbers live in peace, and those who make God angry live in safety, trusting their own strength as their ‘god.’
Hema za wezi hufanikiwa, na wale ambao humkasirisha Mungu huhisi salama; mikono yao wenyewe ni miungu wao.
7 But if you ask the animals they will teach you, the birds in the sky will tell you;
Lakini sasa waulize hao wanyama wa mwituni, na watakufundisha wewe; waulize ndege wa angani, na watakuambia wewe.
8 ask the earth and it will teach you, and the fishes in the sea will tell you.
Au iambie ardhi, na itakufundisha wewe; samaki wa baharini watakutangazia wewe.
9 Which of all these doesn't know that the Lord has done this?
Ni myama yupi miongoni mwa hawa asiyefahamu kuwa mkono wa Yahwe umetenda haya?
10 He gives life to every living thing, life to all humankind.
Katika mkono wake mna uzima wa kila kiumbe hai na pumzi ya wanadamu wote.
11 The ear distinguishes words just like the palate distinguishes foods.
Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile kaakaa lionjavyo chakula chake?
12 Wisdom to distinguish belongs to the old, and the ability to rightly discriminate belongs to those with long experience.
Kwa wazee mna hekima; katika wingi wa siku mna ufahamu.
13 God has wisdom and power, counsel and understanding belong to him.
Pamoja na Mungu mna hekima na ukuu; yeye anayo mashauri na ufahamu.
14 If he tears something down, nobody can rebuild it. If he imprisons someone, nobody can free them.
Tazama, yeye huangusha chini, na haiwezekani kujengwa tena; kama yeye akimtia gerezani mtu yeyote, hakutakuwa tena kufunguliwa.
15 If God holds back the waters, everything dries up; if he releases the waters, the earth floods.
Tazama, kama yeye akiyazuia maji, yanakauka; na kama akiyaachilia nje yanaitaabisha ardhi.
16 He is mighty and victorious; both deceivers and those deceived are subject to him.
Pamoja na yeye mna nguvu na hekima; watu ambao wamedanganywa na mdanganyi wote pamoja wako katika nguvu zake.
17 He leads counselors away stripped of their wisdom, he makes judges into fools.
Yeye huwaongoza washauri mbali bila kuvaa viatu katika huzuni; huwarudisha hakimu katika upumbavu.
18 He removes the chains of office from kings and makes them wear loincloths.
Yeye Huondoa minyororo ya mamlaka kutoka kwa wafalme; yeye hufunika viuno vyao kwa nguo.
19 He leads priests away stripped of their religious garments, he overthrows the powerful.
Yeye huwaongoza makuhani mbali bila kuvaa viatu na kuwapindua watu wakuu.
20 He takes away the advice of trusted advisors, he removes the discernment of the elders.
Yeye huondoa hotuba ya wale waliokuwa wameaminiwa na huondoa mbali ufahamu wa wazee.
21 He pours scorn upon princes and takes away power from the strong.
Yeye humwaga aibu juu ya binti za wafalme na hufungua mishipi ya watu wenye nguvu.
22 He reveals what is hidden in darkness, and brings into the light the shadow of death.
Yeye huweka wazi vitu vya kina kutoka katika giza na kuvileta nje kumuika vivuli mahali ambapa watu waliokufa wapo.
23 He makes nations great and he destroys them; he expands nations and ruins them.
Yeye huyafanya mataifa kuwa na nguvu, na pia huyaharibu; Yeye pia huyakuza mataifa, na pia yeye huyaongoza mbali kama wafungwa.
24 He removes the understanding of rulers and makes them wander in the wilderness.
Yeye huondoa mbali ufahamu kutoka kwa viongozi wa watu wa nchi; huwafanya wao kutangatanga msituni mahali pasipo na njia.
25 They grope around in the dark without a light. He makes them stagger like drunk people.
Wao wanapapasa katika giza bila kuwa na mwanga; yeye huwafanya wao kuweweseka kama mtu mlevi.