< Isaiah 43 >
1 But now this is what the Lord says to Jacob, the one who created you; to Israel, the one who formed you: “Don't be afraid! I have saved you! I have called you by name; you are mine!
Lakini sasa haya ndio Yahwe asemayo, yeye aliyekuumba ewe, Yakobo, na yeye aliyekuumba ewe, Israeli: ''Usiogope, kwa maana nimekukomboa wewe; nmeikuita kwa jina lako, wewe ni wangu.
2 When you walk through the water, I will be with you; and when you go through the rivers, they won't flood over you. When you walk through fire, you will not be burned; the flames will not set you on fire.
Utakapopita katika maji, Nitakuwa pamoja na wewe; na katika mito, hayatakuzuru wewe. Utakapotembea katika moto hautaungua, na moto hautakuharibu wewe.
3 For I am the Lord your God, the Holy One of Israel, your Savior. I gave Egypt to pay for your freedom; I traded Ethiopia and Seba for you.
Maana mimi Yahwe Mungu wako, Mtakatifu wa Israeli Mkombozi wenu. Nimewapa Misri kama fidia yenu, Ethiopia na Seba watabadilishana kwako.
4 Because you are so valuable to me, because I honor you, and because I love you, I give people in exchange for you, nations in exchange for your lives.
Kwa maana ulikuwa wa thamani na maalumu katika macho yangu, Ninakupenda; kwa sababu hiyo Nitatoa watu kwa ajili yako, na watu wengine kwa ajili ya maisha yako.
5 Don't be afraid, for I am with you! I will bring you and your children from the east and the west, and gather you together.
Usiogope, maana Mimi niko pamoja na wewe; Nitawarudisha watoto wako kutoka mashariki, na kuwakusanya nyie kutoka magharibi.
6 I will tell the north, ‘Hand them over!’ and the south, ‘Don't stop them!’ Bring my sons back from far away and my daughters from distant lands.
Nitasema na kaskazini, 'Wakabidhini wao; na kwa kusini, Usiangalie ya nyuma; Leteni vijana wangu kutoka mbali na binti zangu kutoka vijiji vya mikoani katika nchi,
7 Bring back everyone who bears my name, those I created for my honor, those I formed and made.
yeyote aitwe kw jina langu, niliyemuumba kwa utukufu wangu mwenyewe, Niliyemuumba, ndio, Mimi niliyemfanya.
8 Bring back those who have eyes but are blind, those who have ears but are deaf.
Waleteni nje watu ambao ni vipofu, hata kama wana macho, na viziwi, hata kama wana masikio.
9 Have all the nations gather together! Have all the peoples assemble! Who among them could have said this, and predict what was going to happen? Have them bring their witnesses to prove that they're right. Then have them listen, and say, ‘It's true!’
Mataifa yote yatakusanyika kwa pamoja na watu watakusanyika. Ni nani miongoni mwenu atakaye tamka na kutangaza kutumia mambo ya mwanzo? Waache walete mashahidi kuwashuhudia wao kama wako sahihi, waache wasikilize na kuthibitisha, 'kama ni kweli'.
10 However, you are my witnesses, the Lord declares, and my chosen servant, so that you can think about it, and believe me and understand that I am God. No god preceded me, and none will come after me.
Ninyi ni mashahidi wangu, ametangaza Yahwe, ''na watumishi wangu niliowachagua, ili uweze kujua na kuniamini mimi, na kuelewa kwamba mimi ndiye. Kabla yangu hapana mungu mwingine aliyeumbwa, na wala hatatoke baada yangu.
11 I, yes I am the Lord, and there is no Savior apart from me.
Mimi, Mimi Yahwe, na hakuna Mkombozi zaidi yangu.
12 I predicted what was going to happen, then I saved you, then I announced it—there was no foreign god among you that did this. You are my witnesses that I am God, declares the Lord.
Nimetangaza, nimeokoa, na kutangaza, na hakuna Mungu mwingine miongoni mwenu, Ninyi ni mashahidi wangu asema Yahwe, ''Mimi ni Mungu.
13 I am God from the beginning. No one can snatch anybody from my hand. No one can reverse what I do.
Kuanzia leo na kuendelea mimi ndiye, na hakuna hata mmoja atakayewakomboa kwenye mkono wangu. Nitafanya, na nani awezae kunizuia?''
14 This is what the Lord, your Redeemer, the Holy One of Israel, says: For your sake I will send attackers against Babylon and bring them down. All the Babylonians will be like fugitives, escaping in the ships they're so proud of.
Yahwe asema hivi, Mkombozi wenu, yeye Mtakatifu wa Israeli: ''Kwa niaba yenu nimemtuma mjumbe kwenda Babeli na kuwaongoza wao wote chini kama watuhumiwa, kubadilisha kelele za furaha za watu wa Babeli' kuwa wimbo wa maombolezo.
15 I am the Lord, your Holy One, the Creator of Israel, and your King.
Mimi ni Yahwe, niliye Mtakatifu, Muumbaji wa Israeli, Mfalme wenu.
16 This is what the Lord says, the one who makes a way through the sea, a path through the mighty waters;
Yahwe asema hivi, Ni nani aliyefungua njia katika bahari, na njia katika maji yenye nguvu,
17 the one who brought out a great army with it horses and chariots and lay them down, never to rise again, snuffed out like a burning wick.
ni nani anayeongoza gari na farasi, majeshi na jeshi kuu. Walianguka chini kwa pamoja; hawakunyanyuka tena; wamezimwa, kama utambi unaoungua.
18 But don't dwell on the past; don't concentrate on what happened back then.
Msifikirie hayo mambo yaliyopita, wala kuyafikiria mambo ya zamani.
19 Just look at something new I'm going to do now! In fact it's started already. Can't you see it? Yes, I'm making a way through the wilderness, rivers in the desert!
Tazama ninakaribia kufanya mambo mapya; sasa yanakaribia kutokea; Je humyajui haya? Nitafanya njia jangani na na mikondo ya maji katika jangwa
20 The wild animals will be grateful to me, the jackals and the owls, because I'm providing water in the wilderness, rivers in the desert, so my people, my chosen people, can drink.
Wanyama pori wa shambani wataniheshimu mimi, Mbweha na mbuni, kwa sababu ninatoa maji jangwani, na mito jangwani, ili watu wangu niliowachuga wapate kunjwa,
21 I made this people for myself so that through their praise for me they could make me known.
Watu hawa niliowaumba mwenyewe, kwamba wahesabu tena sifa zangu.
22 But you haven't called on me for help, Jacob. You've grown tired of me, Israel.
Lakini hamjanita mimi, Yakobo; umechoka na mimi, Israeli.
23 You haven't brought me sheep for burnt offerings; you haven't honored me with your sacrifices. I haven't burdened you by asking for grain offerings; I haven't tired you out by demanding incense.
Haujaniletea hata kondoo wako kama sadaka ya kuteketeza; na wala haujaniheshimu mimi kwa sadaka yako Sijakutumisha wewe kwa sadaka ya mazao, wala sijawachosha kwa sadaka yenu ya ubani.
24 You haven't used your money to buy scented calamus; you have not pleased me with the fat of your sacrifices. Instead you have burdened me with your sins, and tired me out with your guilt.
Hamkuninunulia mimi manukato mazuri kwa fedha, hakumwagia mimi mafuta ya sadaka zenu; Lakini mnanichosha mimi na dhambi zenu na mnanichosha mimi kwa matendo yenu mabaya.
25 I, yes I am the God who wipes out your sins because of who I am, and who doesn't remember your sins any more.
Mimi, ndio, Mimi, ndiye niliyafaye maovu yenu kwa niaba yangu mmi mwenyewe; na Sitawaita na kuwakumbusha dhambi zenu tena.
26 Remind me of the evidence so we can come to a decision together! Present your case to prove that you're right!
Nikumbusheni mimi kilichotokea. Njooni tusemezane pamoja; leta hoja zako, ili kusudi uthibitishe kuwa hauna hatia.
27 Your very first father sinned, and your leaders rebelled against me.
Baba yako wa kwanza alitenda dhambi, na viongozi wenu walitenda dhambi dhidi yangu.
28 So I treated the priests of the sanctuary with contempt, and I handed Jacob over to be destroyed, and Israel to be scorned.”
Hivyo basi Nitawatia unajisi viongozi watakatifu; Nitamkabidhi Yakobo kuwaharibu kabisa, na Israeli kulaani udhalilishaji.