< Isaiah 33 >

1 Tragedy is coming to you, you destroyer who has not experienced destruction yourself, you deceiver who has not experienced deception yourself! When you have finished with your destroying, you will be destroyed yourself. Then you are finished with your deceiving, you will be deceived yourselves.
Ole wenu, waharibifu ambao hamjaharibiwa! Ole wao wasaliti ambao hamjaslitiwa! Pindi mtakapoacha uaribifu, nanyi mtaharibiwa. Pindi mtakapoacha usaliti, nayi mtasalitiwa.
2 Lord, please be kind to us; we put our confidence in you. Be the strength we rely on every morning; be our salvation in times of trouble.
Yahwe, tuurumie sisi; tumekusubiri wewe; umekuwa mkono wetu kila asubuhi, na wokovu wetu katika kipindi cha mateso.
3 When you roar, the peoples run away; when you prepare for action, the nations scatter!
Watu wamekimbia kwa kusikia sauti kubwa; uliponyanyuka, mataifa yametawanyika,
4 You plunder defeated enemy armies like caterpillars eating up plants; like an attack of swarming locusts.
Mateka wako wamejikusanya kama mkasanyiko wa nzige; kama nzige warukavyo, watu wataruka juu yake.
5 The Lord is praised for he lives in highest heaven; he has filled Zion with justice and right.
Yahwe ameinuliwa. Anaishi mahali pa juu. Ataijaza Sayuni kwa haki na usawa.
6 He will be your constant support throughout your lives an abundant source of salvation, wisdom, and knowledge. Reverence for the Lord is what makes Zion rich.
Atakuwa imara katika kipidi chenu, wingi wa wokovu, busara, na maarifa; hofu ya Yahwe iko katika hazina yake.
7 But look! Even your bravest soldiers are crying loudly in the street; the messengers you sent to ask for peace are weeping bitterly.
Tazama, wujumbe wanalia mtaani; wanadiplomasia wanamatumaini ya amani kwa kulia kwa uchungu.
8 Your highways are deserted; nobody's traveling on your roads anymore. He breaks the treaty; he despises the witnesses; he doesn't care about anybody.
Barabara kuu imeachwa faragha; hakuna wasafiri tena. Maagano yamevujika, mashahidi wanadharaulika, na utu wa mtu hauheshimiki.
9 Israel is in mourning and fades away; Lebanon withers in shame; the fields of Sharon have become a desert; the forests of Bashan and Carmel have shed their leaves.
Nchi imeomboleza na kunyaukia mbali; Lebanoni inaibisha na kunyaukia mbali; Sharoni imekuwa kama jangwa wazi; Bashani na Kermeli zimepuputisha majani yake.
10 “But now I'm going to intervene!” says the Lord. “I'm prepared to act! I will show myself to be above all others!
''Sasa nitanyanyuka, ''asema Yahwe; '' sasa nitanyanyuliwa juu; sasa nitainuliwa.
11 All you give birth to is only dry grass, all you deliver is just stubble. Your breath is a fire that will burn you up.
Utashika mimba ya makapi na utazaa mabua; na punzi yako ni moto ambao utakuunguza wewe.
12 You people will be burned to ashes like thorns that are cut down and thrown into the fire.
Watu watachomwa na kuwa kama chokaa, kama miiba ya porini inavyokatwa na kuchomwa.
13 Those of you who are far away, recognize what I have accomplished; those of you who are nearby, recognize how powerful I am.”
Enyi mlio mbali sana, sikiliza nilicho kifanya; na enyi mlio karibu, kirini ukuu wangu.''
14 The sinners who live in Zion tremble with fear; those who are irreligious are overcome with terror. They ask, “Who can live with this fire that consumes everything? Who can live among such everlasting burning?”
Watenda zambi wa Sayuni wanogopa; tetemeko limewakuta wasio na Mungu. Ni nani miongoni mwetu anayeweza kukaa kwenye moto mkali? Na ni nani miongoni mwetu anayeweza kukaa kwenye moto wa milele?
15 Those who live right and speak the truth, those who refuse to profit from extortion and refuse to take bribes, who don't listen to plots to kill people, who close their eyes rather than look at evil.
Nyie mnaotembe katika haki na kuongea kw uaminifu; yeye anayedharau mapato ya ukandamizaji, yeye anayekataa kuchuka rushwa, ambaye hausiki kwenye kupanga vurugu za kihalifu, na ambaye haangali maovu-
16 They will live on high; they will be protected by the mountain fortresses; they will always be provided with food and will always have water.
Ataiweka nyumba yake juu; sehemu yake ya ulinzi itakuwa ni ngome ya mwamba; chakula na maji yake hayataisha.
17 You will see the king in his wonderful appearance, and you will view a land that stretches into the distance.
Macho yako yatamuona mfalme katika uzuri wake; watatazama nchi kubwa.
18 In your mind you will think about the terrifying things that were expected, and then ask yourself, “Where are the enemy officials—the scribes who were to record events, the treasurers who were to weigh the looted money, the surveyors who were to count and destroy the towers?”
Moyo wako utakumbuka hofu; yuko wapi mwandishi, yuko wapi yule aliayepima pesa? na yuko wapi yeye aesabue minara?
19 You won't see these offensive people anymore with their barbaric language that sounds like someone stammering and is impossible to understand.
Hautawaona watu wanaopinga, watu weye lugha ya ajabu ambayo hautaweza kuielewa.
20 On the contrary, you'll see Zion as a festival city. You will view Jerusalem as a quiet and peaceful place. It will be like a tent that's never taken down, whose tent-pegs are never pulled up, whose guy ropes never snap.
Itazame Sayuni, mji wa sikukuu yetu; macho yako yataiona Yerusalemu kama makao tulivu, hema ambalo halitatolewa, vigingi vyake havitatolewa wala kamba zake hazitakatika.
21 Right here our majestic Lord will be like a place of broad rivers and waters that no enemy ship with oars can cross—no great ship can pass.
Badala yake Yahwe katika ukuu wake atakuwa pamoja na sisi, katika eneo la maji mengi na mifereji mingi. Hakuna manuari na mpiga makasia watakayepita hapo, na hakuna mashua itakayopita uko.
22 For the Lord is our judge, the Lord is our lawgiver, the Lord is our king. He is the one who will save us.
Maana Yahwe ni hakimu wetu, Yahwe ni mwanasheria wet, Yahwe ni mfalme wetu; atatukomboa sisi.
23 The rigging on your ship hangs loose so the mast isn't secure and the sail can't be spread. Then all the looted treasure you're carrying will be divided among the victors—even those who are lame will have their share.
Kamba zako zimelegea; haziwezi kushika mlingoti katika eneo lake; haziwezi kuzunguka meli; pindi mateka wanavyogawanyika, hata vilema watawatoa nje kama mateka.
24 Nobody in Israel will say, “I'm sick,” and those who live there will have their guilt removed.
Na wenyeji watasema, ''Ninaumwa;'' watu wanaoishi pale watasamehewa maovu yao.

< Isaiah 33 >