< Isaiah 18 >

1 Tragedy is coming to the land of whirring wings that lies along the rivers of Ethiopia,
Ole kwa nchi ya wezi wa mabawa, iliyoko mbali kupitia mito ya Ethiopia;
2 They send messengers downriver in papyrus boats. Swift messengers, go and take a message to a tall and smooth-skinned people, to a people feared by everyone, to a very powerful nation of conquerors, whose land is washed away by rivers.
wanowatuma mabalozi wao kwa kupitia bahari, na vyombo vya majani juu ya maji. Nendeni enyi wajumbe wepesi, kwa watu warefu na laini waishio kwenye nchi, kwa watu wanogopa mbali na karibu, taifa lenye nguvu, wakanyagao watu, ambao mito imegawanya nchi yao.
3 All you people of the world, everyone who lives on earth—you will see when a banner is raised on the mountains, you will hear when a trumpet sounds.
Watu wote wakaao duniani nao wakaao katika nchi, pale ishara itakaponyanyuliwa juu ya milima, angalia; na sikilizeni mbiu itakapopulizwa.
4 For this is what the Lord has told me: I will watch quietly from where I live, quiet as heat haze in sunlight, quiet as a mistcloud in the heat of harvest.
Yahwe asema hivi, ''nitachunguza kimyakimya kutoka nyumbani kwangu, kama kupika joto kwenye jua, na kama ukungu kwenye joto la mavuno.
5 For before the harvest, after the flower is gone and becomes an unripe grape, he prunes the vine with a knife to take out the shoots and branches.
Kabla ya mavuno, pale kipindi cha maua kinapoisha, na maua yako tayari kuwa zabibu. Atakata matawi kwa kupogoa ndoano, na atakatiwa chini na kuchukua matawi yaliyotawanyika.
6 They will all be left as carrion for the birds of prey of the mountains, and for the wild animals. The birds will eat them in summer, and all the wild animals in winter.
Wataachwa kwa pamoja maana ndege wa milimani na wanyama wa duniani. Ndege watatua kwao majira ya joto, na wanyama wote watakuwa kwao kipindi cha baridi.''
7 At that time a gift will be brought to the Lord Almighty from a tall and smooth-skinned people, from a people feared by everyone, from a very powerful nation of conquerors, whose land is washed away by rivers. It will be brought to Mount Zion, the place identified with the Lord Almighty.
Kwa mda huo kodi italetwa kwa Yahwe wa majeshi kwa watu warefu na laini, kwa watu wanohofia umbali na ukaribu, taifa imara na kukanyagwa chini, ambayo nchi yao imegawanjwa na mito, Kwa sehemu ya jina la Yahwe wa majeshi, mpaka mlima Sayuni.

< Isaiah 18 >