< Isaiah 16 >

1 Send lambs as tribute to the ruler of the land, from Sela through the desert, to the mountain of the daughter of Zion.
Mpeleke mwana kondoo kuongoza nchi kutoka Sela huko jangwani, kwenye mlima wa binti Sayuni.
2 The Moabite women at the fords of the Arnon are like birds fluttering around when their nest is destroyed.
Kama ndege wazururao, viota vimetapakaa, hivyo basi wanawake wa Moabu watavuka kwenye mto Arnoni.
3 Think about it and make a decision. Make your shadow as invisible at midday as during the night. Hide the refugees; don't betray them as they run away.
Toa maelekezo, tekeleza haki; toa kivuli kama usiku wakati wa mchana; wahifadhi watuhumiwa; msiwahini watuhumiwa.
4 Let my refugees stay among you, Moab. Hide them from our enemies until the destroyer is no more, the destruction is over, and the aggressive invaders have gone.
Waache waishi miongoni mwenu, wakimbizi kutoka Moabu; muwe mahali pakujifichia wao wasiangamizwe.'' maana mateso yatakwisha, na uharibifu utapungua utakuwa na kikomo, wale wanotetemeka watapotea katika nchi.
5 Then a kingdom will be set up based on trustworthy love, and on its throne will sit a faithful king from the line of David. He will judge fairly, and will be passionately committed to doing what is right.
Kiti cha enzi kitaanzishwa katika agano la uaminifu; na mmoja katika hema la Daudi atakaa pale kwa uaminifu. Atahukumu kwa kufuata haki na atatenda haki.
6 We know all about the pride of the Moabites, how terribly vain and conceited they are, completely arrogant! But their boasting is false.
Tumesikia kiburi cha Moabu, kiburi chake, majivuno yake, na hasira yake. Lakini majivuno yake ni maneno tu.
7 All the Moabites grieve for Moab. They all mourn the loss of the raisin cakes of Kir-hareseth, all of them destroyed.
Hivyo basi Moabu atalia juu ya Moabu-wote watalia! wataomboleza, nyie mlioharibiwa kabisa, mikate ya Kira Haresethi.
8 Heshbon's fields have dried up, as have Sibmah's grapevines. The rulers of the nations have trampled down the vines that once branched out to Jazer and east towards the desert, and west as far as the sea.
Shamba la Heshboni limekauka kabisa pamoja na mizabibu ya Sibma. Kiongozi wa mataifa amekanyaga mizabibu iliyochaguliwa na kuelekea Jazeri na kuelekea jangwani. Mizizi yake nje ya nchi; imenda juu ya bahari.
9 So I cry with Jazer for Sibmah's vines; I soak Heshbon and Elealeh with my tears. Nobody shouts in celebration over your summer fruit and your harvest any more.
Kweli nitalia pamoja Jazeri kwasababu ya shamba la mizabibu la Sibma. Nitakuloanisha kwa machozi yangu, Heshboni, na Eleale. Maana katika mashamba yenu kipindi cha majira ya joto matunda na mazao nitaishia kwa kupiga kelele za furaha.
10 Joy and happiness are gone. Nobody celebrates in the harvest fields or the vineyards; nobody shouts happily. Nobody treads grapes in the winepresses. I have stopped their cheering.
Furaha na shangwe zimezimwa na matunda ya miti ya shambani; na hakuna nyimbo wala kelele katika mashamba ya mizabibu, maana nimeweka mwisho wa kupiga kelele kwa yeyote anayetembea.
11 Heartbroken I cry for Moab like sad music on a harp; deep inside I weep for Kir-hareseth.
Hivyo, moyo wangu unalia kama kinubi, na ndani yangu maana kwa ajili ya Kiri Hareseth.
12 The Moabites go and wear themselves out worshiping at their high places. They go to their shrines to pray, but it does them no good.
Pindi ambapo Moabu wamejivika mahali pa juu, na kuingia katika hekalu kuomba, maombi yake hayatatimiza chochote.
13 This is the message that the Lord has already delivered about Moab.
Haya ndio maneno aliyoyazungumza Yahwe kuhusu Moabu iliyopita.
14 But now the Lord speaks again, and says, In three years, just as a contract worker precisely counts years, Moab's glory will turn into something to be laughed at. Despite there being so many Moabites now, soon there will only be a few feeble people left.
Tena Yahwe amesema, ''Ndani ya miaka mitatu utukufuwa Moabu utatoweka; japo watu wake wengi, watakao bakia ni wachache, na wasionafaida.

< Isaiah 16 >