< Deuteronomy 9 >

1 Listen, people of Israel! Shortly you're going to cross the Jordan to enter and take over the country from nations that are larger and stronger than you, that have large towns with walls that reach up into the sky.
Sikiliza, Israeli; umekaribia kuvuka ng'ambo ya pili ya Yordani leo, kuyafukuza mataifa yenye nguvu na ushujaa kuliko ninyi, na miji ambayo ni mikuu na yenye boma iliyoenda juu,
2 The people are strong and tall; they are the descendants of the Anakim. You all know about them and you have heard the saying, “Who could ever defeat the sons of Anak?”
watu wakuu na warefu, wana wa Anakimu, ambaye mnamjua, na yule mliomsikia watu wakisema, 'Nani atasimama mbele ya wana wa Anak?
3 But you should realize that today the Lord your God is going across ahead of you. He is like a consuming fire; he will destroy them and defeat them ahead of you. You will drive them out and quickly wipe them out, just as the Lord promised you.
Kwa hiyo tambua leo kwamba, Yahwe Mungu wenu ni yeye ambaye huenda mbele yenu kama moto uwalao; atawaharibu na kuwaangamiza mbele yenu, kwa hiyo mtawaondosha na kuwafanya kuwapoteza kwa haraka, kama Yahwe alivyosema kwenu.
4 When the Lord your God has driven them out ahead of you, don't think to yourselves, “It's because I'm such a good person that the Lord has brought me here to take over this land.” No, the Lord is driving out these nations ahead of you because of they're so wicked.
Msiseme kwenye mioyo yenu, baada ya Yahwe Mungu wenu kuwatupilia toka mbele yenu, “ilikuwa kwa sababu ya haki yangu kwamba Yahwe amenileta mimi kuimiliki nchi hii; kwa kuwa ilikuwa kwa sababu ya maovu ya mataifa haya kwamba Yahwe anawaondowa toka mbele yenu.
5 It's not because you're so good or moral that you are going to take over their land. No, it's because of their wickedness that the Lord your God is driving out these nations ahead of you, to keep the promise he made to your fathers—m to Abraham, Isaac, and Jacob.
Si kwa sababu ya uadilifu wenu au unyofu wa mioyo yenu ambayo mnaenda kuingia kumiliki nchi yao, lakini ni kwa sababu ya maovu ya mataifa haya ambayo Mungu anawaondowa kutoka mbele zenu, na kusudi alifanye kuwa kweli neno ambalo aliapa kwa mababu zenu, Ibrahimu, Isaka na Yakabo.
6 You'd better believe that it's not because you're such good people that the Lord your God is giving you this good land to own, because you are stubborn, hard-hearted people.
Kwa hiyo tambua, kwamba Yahwe Mungu wenu awapi ninyi nchi hii nzuri kuimiliki kwa sababu ya uadilifu wenu kwa kuwa ni watu wakaidi.
7 Remember how you provoked the Lord your God in the desert! Don't ever forget it! From the time you left the land of Egypt until you arrived here, you've been constantly rebelling against the Lord.
Kumbuka na msisahau jinsi mlivyomchochea Yahwe Mungu wenu katika hasira huko jangwani; kutoka siku hiyo ambayo mliacha nchi ya Misri mpaka mlipokuja kwenye eneo hili, mmekuwa waasi dhidi ya Yahwe.
8 At Horeb you provoked the Lord, making him so angry he was about to destroy you.
Pia huko Horebu mlimchochea Yahwe katika hasira, na Yahwe alikasirika vya kutosha kwenu kuwaangamiza.
9 This was when I climbed up the mountain to receive the tablets of stone, the tablets that recorded agreement the Lord made with you. I stayed on the mountain forty days and forty nights, and I didn't eat or drink anything.
Wakati nilipoenda juu ya mlima kupokea mbao za mawe, mbao za agano ambalo Yahwe alifanya nanyi, Nilibaki kwenye mlima kwa siku arobaini na usiku arobaini; Wala sikula mkate wala kunywa maji.
10 The Lord gave me the two stone tablets on which he'd written with his finger everything he'd told you when he spoke from the fire on the mountain when we were all assembled there.
Yahwe alinipa mbao mbili za mawe zilizoandikwa kwa kidole chake; juu yake kuliandikwa kila kitu kama tu maneno yote ambayo Yahwe alitangaza kwenu juu ya mlima toka katikati mwa moto siku hiyo ya kusanyiko.
11 After forty days and forty nights, the Lord gave me the two stone tablets, the tablets of the agreement.
Ilitokea mwishoni mwa siku hizo arobaini na usiku arobaini ya kwamba Yahwe alinipa mimi mbao mbili za mawe, mbao za agano.
12 The Lord told me, “Hurry! Go down immediately, because your people that you led out of Egypt, are committing a terrible sin. They have disobeyed what I told them so quickly! They have made themselves an idol using molten metal.”
Yahwe alisema nami, 'Inuka, nenda chini haraka kutokea hapa, kwa kuwa watu wako, ambao uliwaleta toka Misri, wamekuwa wafisadi wenyewe. Kwa haraka wamegeuka toka kwenye njia ambayo niliwaamuru. Wamejifanyia wenyewe umbo la kutupwa.
13 The Lord also told me, “I have been watching these people, and they really are a stubborn and hard-hearted.
Zaidi ya hayo, Yahwe alizungumza na mimi na kusema, “Nimewaona watu hawa; ni watu wakaidi.
14 Leave me, so that I can destroy them and wipe out their name completely. Then I will turn you into a nation even more powerful and more important than them.”
Acha mimi peke yangu, ili kwamba niweze kuwaangamiza na kulifuta jina lao kutoka chini ya mbingu, na nitawafanya ninyi taifa lenye nguvu na kuu kuliko wao.”
15 I went back down the mountain while it was still on fire, carrying the two tablets of the agreement.
Kwa hiyo niligeuka nyuma na kushuka chini ya mlima, na mlima ulikuwa ukiwaka moto. Mbao mbili za agano zilikuwa kwenye mikono yangu.
16 Then I saw how much you had sinned against the Lord your God by making for yourselves a molten calf. You had disobeyed what the Lord had told you so quickly.
Nilitazama, na tazama, mlikuwa mmefanya dhambi dhidi ya Yahwe Mungu wenu. Mmejitengenezea wenyewe ndama. Kwa haraka mmegeuka toka njia ambayo Yahwe alikuwa amewaamuru.
17 I threw the two tablets down, smashing them to pieces as you watched.
Nilizichukua mbao mbili na kuzitupa toka mikononi mwangu. Nilizivunja mbele ya macho yenu.
18 Then I lay down on the ground before the Lord for forty days and forty nights, just as I had before. I didn't eat or drink anything because of all the sins you had committed by doing what was evil in the Lord's sight, making him angry.
Tena nilala kifudifudi mbele ya Yahwe kwa siku arobaini na usiku arobaini; wala sikula mkate wala kunywa maji, kwa sababu dhambi zenu zote ambazo mlikuwa mmefanya, kwa kufanya hivyo ambavyo ilikuwa ni mbaya machoni pa Yahwe, ili kwamba kumchochea yeye katika hasira.
19 I was terrified at how angry and furious the Lord was with you. He was ready to destroy you. But once again the Lord listened to me.
Kwa kuwa nilikuwa nimeogopa hasira na gadhabu kali ambayo Yahwe alikuwa amekasirika vya kutosha dhidi yenu kuwaangamiza. Lakini Yahwe alinisikiliza mimi kwa wakati huo pia.
20 The Lord was so angry with Aaron he was ready to destroy him, but right then I prayed for Aaron too.
Yahwe alikuwa na hasira nyingi na Aaroni kwa kusudi la kumuangamiza; pia niliomba kwa ajili ya Aaroni kwa wakati huohuo.
21 I took that abominable thing, the calf you'd made, and burned it. Then I crushed it up and ground it into dust, and I threw it into the stream that descended from the mountain.
Nilichukua dhambi zenu, ndama mliyekuwa mmentengeza, na kumchoma, kumpiga, kumweka chini kuwa mdogo, mpaka ilipokuwa laini kama vumbi. Nilirusha vumbi lake katika mkondo ambao ulitiririka chini kutoka mlimani.
22 But you went on provoking the Lord at Taberah, at Massah, and at Kibroth-hattaavah.
Huko Taberah, Massah, na huko Kibrothi Hattaavah, mlimchochea Yahwe kwenye adhabu.
23 When the Lord had you leave Kadesh-barnea, he told you, “Go and take over the country that I've given you.” But you defied the command of the Lord your God. You didn't believe him and you didn't obey him.
Wakati Yahwe aliwatoa kutoka Kadeshi ya Barnea na kusema, 'Nenda juu na umiliki nchi ambayo nimekupa, 'ndipo mliasi dhidi ya agizo la Yahwe Mungu wenu, na hamkumwamini na kumsikiliza sauti yake.
24 You have been rebelling against the Lord from the day I first knew you.
Mmekuwa waasi dhidi ya Yahwe toka siku ile nilipowajua.
25 So I lay down on the ground before the Lord for forty days and forty nights, because the Lord had threatened to destroy you.
Kwa hiyo nilala kifudifudi mbele ya Yahwe siku zile arobaini na usiku arobaini, kwa sababu alikuwa amesema kwamba angewaangamiza.
26 I prayed to the Lord, saying, “Please Lord, God, don't destroy your people that belong to you, the ones whom you rescued by your great ability and led out of Egypt by your power.
Niliomba kwa Yahwe na kusema, 'Oh Bwana Yahwe, usiwaangamize watu wako au warithi wako ambao uliwaokoa kwa ukuu wako, ambapo uwatoa toka Misri kwa mkono wa uweza.
27 Please remember your servants Abraham, Isaac, and Jacob. Please disregard the stubbornness of this people and their wicked sin.
Akilini waite watumishi wenu Ibrahimu, Isaka, na Yakobo; msiangalie ukaidi wa watu hawa, wala maovu yao, dhambi zao,
28 If you don't, those people back in Egypt will say, ‘The Lord brought them out to kill them in the desert because he couldn't take them to the land he'd promised them, and because he hated them.’
ili kwamba nchi ambayo ulitutoa iseme, “Kwa sababu Yahwe hakuweza kuwaleta katika nchi aliyowaahadia, na kwa sababu aliwachukia, amewaleta nje kuwauwa katika jangwa.
29 But they are your people, Lord! They belong to you! You led them out of Egypt by your amazing power and might!”
Bado ni watu wa kwenu na urithi wenu, ambao uliwatoa kwa nguvu zako kuu na kwa kuonesha mamlaka yako,

< Deuteronomy 9 >