< 1 Chronicles 1 >

1 Adam, Seth, Enosh,
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Kenan, Mahalalel, Jared,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Enoch, Methuselah, Lamech, Noah.
Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
4 The sons of Noah: Shem, Ham, and Japheth.
Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
5 The sons of Japheth: Gomer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Meshech, and Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
6 The sons of Gomer: Ashkenaz, Riphath, and Togarmah.
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
7 The sons of Javan: Elishah, Tarshish, Kittim, Rodanim.
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
8 The sons of Ham: Cush, Mizraim, Put, and Canaan.
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
9 The sons of Cush: Seba, Havilah, Sabta, Raamah, and Sabteca. The sons of Raamah: Sheba and Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
10 Cush was the father of Nimrod, who became the world's first tyrant.
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
11 Mizraim was the father of the Ludites, Anamites, Lehabites, Naphtuhites,
Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 Pathrusites, Casluhites, and Caphtorites (ancestors of the Philistines),
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13 Canaan was the father of his firstborn son, Sidon, and of the Hittites,
Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
14 Jebusites, Amorites, Girgashites,
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
15 Hivites, Arkites, Sinites,
Wahivi, Waariki, Wasini,
16 Arvadites, Zemarites, and Hamathites.
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
17 The sons of Shem: Elam, Asshur, Arphaxad, Lud, and Aram. The sons of Aram: Uz, Hul, Gether, and Meshech.
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
18 Arphaxad was the father of Shelah, and Shelah the father of Eber.
Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
19 Eber had two sons. One was named Peleg, because in his time the earth was divided; the name of his brother was Joktan.
Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
20 Joktan was the father of Almodad, Sheleph, Hazarmaveth, Jerah,
Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Hadoram, Uzal, Diklah,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Obal, Abimael, Sheba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Ophir, Havilah, and Jobab. These were all Joktan's sons.
Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
24 Shem, Arphaxad, Shelah,
Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
25 Eber, Peleg, Reu,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serug, Nahor, Terah,
Serugi, Nahori, Tera,
27 and Abram (also called Abraham).
Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
28 The sons of Abraham: Isaac and Ishmael.
Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
29 These were their descendants: Nebaioth was the firstborn son of Ishmael, Kedar, Adbeel, Mibsam,
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
30 Mishma, Dumah, Massa, Hadad, Tema,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Jetur, Naphish, and Kedemah. These were Ishmael's sons.
Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
32 The sons born to Keturah, Abraham's concubine. She gave birth to: Zimran, Jokshan, Medan, Midian, Ishbak, and Shuah. The sons of Jokshan: Sheba and Dedan.
Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
33 The sons of Midian: Ephah, Epher, Hanoch, Abida, and Eldaah. These were all descendants of Keturah.
Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
34 Abraham was the father of Isaac. The sons of Isaac: Esau and Israel.
Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
35 The sons of Esau: Eliphaz, Reuel, Jeush, Jalam and Korah.
Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
36 The sons of Eliphaz: Teman, Omar, Zepho, Gatam and Kenaz; and Amalek through Timna.
Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
37 The sons of Reuel: Nahath, Zerah, Shammah and Mizzah.
Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
38 The sons of Seir: Lotan, Shobal, Zibeon, Anah, Dishon, Ezer and Dishan.
Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
39 The sons of Lotan: Hori and Homam. Lotan's sister was Timna.
Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
40 The sons of Shobal: Alvan, Manahath, Ebal, Shepho and Onam. The sons of Zibeon: Aiah and Anah.
Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
41 The son of Anah: Dishon. The sons of Dishon: Hemdan, Eshban, Ithran and Keran.
Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
42 The sons of Ezer: Bilhan, Zaavan and Akan. The sons of Dishan: Uz and Aran.
Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
43 These were the kings who reigned over Edom before any Israelite king reigned over them: Bela son of Beor, the name of whose city was Dinhabah.
Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
44 When Bela died, Jobab son of Zerah from Bozrah took over as king.
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
45 When Jobab died, Husham from the land of the Temanites took over as king.
Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
46 When Husham died, Hadad son of Bedad, took over as king. He was the one who defeated Midian in the country of Moab. The name of his city was Avith.
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
47 When Hadad died, Samlah from Masrekah took over as king.
Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
48 When Samlah died, Shaul from Rehoboth on the River took over as king.
Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
49 When Shaul died, Baal-Hanan, son of Acbor, took over as king.
Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
50 When Baal-Hanan died, Hadad took over as king. The name of his city was Pau. The name of his wife was Mehetabel, daughter of Matred, the daughter of Me-Zahab.
Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
51 Then Hadad died. The chiefs of Edom were: Timna, Alvah, Jetheth,
Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
52 Oholibamah, Elah, Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 Kenaz, Teman, Mibzar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 Magdiel, and Iram. These were Edom's chiefs.
Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.

< 1 Chronicles 1 >