< Psalms 87 >
1 For the sons of Core, a psalm of a canticle. The foundations thereof are in the holy mountains:
Mji aliouanzisha umesimama juu ya mlima mtakatifu;
2 The Lord loveth the gates of Sion above all the tabernacles of Jacob.
Yahwe anapenda zaidi malango ya Sayuni kuliko mahema yote ya Yakobo.
3 Glorious things are said of thee, O city of God.
Mambo matukufu yamesemwa kwako, mji wa Mungu. (Selah)
4 I will be mindful of Rahab and of Babylon knowing me. Behold the foreigners, and Tyre, and the people of the Ethiopians, these were there.
Ninataja Rahabu na Babeli kwa wafuasi wangu. Tazama, Filisti, na Tiro, pamoja na Ethiopia nao watasema, 'Huyu alizaliwa humo.'”
5 Shall not Sion say: This man and that man is born in her? and the Highest himself hath founded her.
Itasemwa juu ya Sayuni, “Kila mmoja wa hawa alizaliwa katika yeye; na yeye Aliye Juu atamuimarisha.
6 The Lord shall tell in his writings of peoples and of princes, of them that have been in her.
Yahwe anaandika katika kitabau cha sensa ya mataifa, “Huyu alizaliwa humo.” (Selah)
7 The dwelling in thee is as it were of all rejoicing.
Hivyo waimbaji na wachezaji kwa pamoja waseme, “chemchem zangu zimo kwako.”