< Psalms 72 >

1 A psalm on Solomon.
Mpe mfalme amri ya haki yako, Mungu, haki yako kwa wana wa mfalme.
2 Give to the king thy judgment, O God: and to the king’s son thy justice: To judge thy people with justice, and thy poor with judgment.
Naye awaamue watu wako kwa haki na maskini wako kwa haki sawa.
3 Let the mountains receive peace for the people: and the hills justice.
Milima iwazalie watu amani; vilima navyo vizae haki.
4 He shall judge the poor of the people, and he shall save the children of the poor: and he shall humble the oppressor.
Naye awahukumu watu maskini; awaokoe watoto wa wahitaji na kuwavunja vipande vipande wenye kuwatesa.
5 And he shall continue with the sun, and before the moon, throughout all generations.
Na wakuheshimu wewe wakati wa jua, na kwa kipindi cha kudumu kwa mwezi katika vizazi vyote.
6 He shall come down like rain upon the fleece; and as showers falling gently upon the earth.
Naye apate kuja kama mvua juu ya nyasi zilizokatwa, kama manyuyu yanyunyizayo nchi.
7 In his days shall justice spring up, and abundance of peace, till the moon be taken sway.
Mwenye haki na astawi kwa wakati wake, na amani iwepo kwa wingi mpaka mwezi utakapotoweka.
8 And he shall rule from sea to sea, and from the river unto the ends of the earth.
Na awe na mamlaka toka bahari na bahari, na kutoka Mto hadi miisho ya dunia.
9 Before him the Ethiopians shall fall down: and his enemies shall lick the ground.
Na wote waishio jangwani wainame mbele zake; adui zake na walambe mavumbi.
10 The kings of Tharsis and the islands shall offer presents: the kings of the Arabians and of Saba shall bring gifts:
Wafalme wa Tashishi na visiwa walete kodi; wafalme wa Sheba na Seba watoe zawadi.
11 And all kings of the earth shall adore him: all nations shall serve him.
Hakika wafalme wote wamwinamie yeye; mataifa yote yamtumikie yeye.
12 For he shall deliver the poor from the mighty: and the needy that had no helper.
Kwa kuwa yeye humsaidia mhitaji na maskini asiye na msaidizi.
13 He shall spare the poor and needy: and he shall save the souls of the poor.
Yeye huwahurumia maskini na wahitaji, na huokoa maisha ya wahitaji.
14 He shall redeem their souls from usuries and iniquity: and their names shall be honourable in his sight.
Huyaokoa maisha yao dhidi ya mateso na vurugu, na damu yao ni ya thamani machoni pake.
15 And he shall live, and to him shall be given of the gold of Arabia, for him they shall always adore: they shall bless him all the day.
Naye apate kuishi! Na dhahabu za Sheba apewe yeye. Watu wamuombee yeye siku zote; Mungu ambariki daima.
16 And there shall be a firmament on the earth on the tops of mountains, above Libanus shall the fruit thereof be exalted: and they of the city shall flourish like the grass of the earth.
Kuwepo na nafaka nyingi katika ardhi; juu ya milima kuwe na mawimbi ya mimea. Matunda yake yawe kama Lebanoni; watu wasitawi katika miji kama nyansi za kondeni.
17 Let his name be blessed for evermore: his name continueth before the sun. And in him shall all the tribes of the earth be blessed: all nations shall magnify him.
Jina lake lidumu milele; jina lake ilindelee kama vile jua ling'aavyo; watu wabarikiwe katika yeye; mataifa yote wamwite mbarikiwa.
18 Blessed be the Lord, the God of Israel, who alone doth wonderful things.
Yahwe Mungu, Mungu wa Israel, atukuzwe, ambaye pekee hufanya mambo ya ajabu.
19 And blessed be the name of his majesty for ever: and the whole earth shall be filled with his majesty. So be it. So be it.
Jina lake tukufu litukuzawe milele, nayo nchi yote ijazwe na utukufu wake. Amina, Amina.
20 The praises of David, the son of Jesse, are ended.
Maombi ya Daudi mwana wa Yese yamemalizika. Kutatu cha tatu

< Psalms 72 >