< Psalms 34 >
1 For David, when he changed his countenance before Achimelech, who dismissed him, and he went his way. I will bless the Lord at all times, his praise shall be always in my mouth.
Nitamsifu Yahwe wakati wote, siku zote sifa zake zitakuwa mdomoni mwangu.
2 In the Lord shall my soul be praised: let the meek hear and rejoice.
Nitamsifu Yahwe! walio onewa wasikie na kufurahi.
3 O magnify the Lord with me; and let us extol his name together.
Msifuni Yahwe pamoja nami, kwa pamoja tuliinue jina lake.
4 I sought the Lord, and he heard me; and he delivered me from all my troubles.
Nilimuomba Yahwe msaada naye akanijibu, akanipa ushindi juu ya hofu yangu yote.
5 Come ye to him and be enlightened: and your faces shall not be confounded.
Wale wanao mtazama yeye wana furaha, na nyuso zao hazina aibu.
6 This poor man cried, and the Lord heard him: and saved him out of all his troubles.
Huyu mtu aliye onewa alilia na Yahwe akamsikia na kumuokoa kwenye matatizo yake yote.
7 The angel of the Lord shall encamp round about them that fear him: and shall deliver them.
Malaika wa Yahwe huweka kambi wakiwazunguka wale wanao muogopa yeye na kuwaokoa.
8 O taste, and see that the Lord is sweet: blessed is the man that hopeth in him.
Onjeni muone Yahwe ni mzuri. Amebarikiwa mtu yule ambaye Yahwe ni kimbilio lake.
9 Fear the Lord, all ye his saints: for there is no want to them that fear him.
Muogopeni Yahwe, ninyi watu watakatifu wake. Hakuna kupungukikwa kwa wale wanao mhofu yeye.
10 The rich have wanted, and have suffered hunger: but they that seek the Lord shall not be deprived of any good.
Simba wadogo wakati mwingine hukosa chakula na kuteseka kwa njaa, bali wale wamtafutao Yahwe hawatapungukiwa chochote kilicho kizuri.
11 Come, children, hearken to me: I will teach you the fear of the Lord.
Njoni, wana, mnisikilize mimi. nitawafundisha ninyi hofu ya Yahwe.
12 Who is the man that desireth life: who loveth to see good days?
Mtu nani aliyepo ambaye anatamani maisha na anapenda kuwa na siku nyingi, ili kwamba aweze kuona vizuri?
13 Keep thy tongue from evil, and thy lips from speaking guile.
Hivyo uepushe ulimi wako na uovu na uilinde midomo yako kuongea uongo.
14 Turn away from evil and do good: seek after peace and pursue it.
Uache uovu na utende mema. Uitafute amani na kuiendea amani.
15 The eyes of the Lord are upon the just: and his ears unto their prayers.
Macho ya Yahwe yako kwenye haki na masikio yake huelekea kulia kwao.
16 But the countenance of the Lord is against them that do evil things: to cut off the remembrance of them from the earth.
Uso wa Yahwe uko kinyume na wale watendao uovu, kuikatilia mbali kumbukumbu yao duniani.
17 The just cried, and the Lord heard them: and delivered them out of all their troubles.
Wenye haki hulia na Yahwe husikia na kuwaokoa kwenye matatizo yao yote.
18 The Lord is nigh unto them that are of a contrite heart: and he will save the humble of spirit.
Yahwe yu karibu nao waliovunjika moyo, naye huwaokoa waliogandamizwa rohoni.
19 Many are the afflictions of the just; but out of them all will the Lord deliver them.
Mateso ya wenye haki ni mengi, bali Yahwe huwaokoa nayo yote.
20 The Lord keepeth all their bones, not one of them shall be broken.
Yeye huitunza mifupa yake yote, hakuna hata mmoja wao utavunjika.
21 The death of the wicked is very evil: and they that hate the just shall be guilty.
Uovu utawauwa waovu. Wale wachukiao haki watahukumiwa.
22 The Lord will redeem the souls of his servants: and none of them that trust in him shall offend.
Yahwe huokoa maisha ya watumishi wake. Hakuna atakaye hukumiwa hata mmoja atafutaye usalama katika yeye.