< Psalms 29 >
1 A psalm for David, at the finishing of the tabernacle. Bring to the Lord, O ye children of God: bring to the Lord the offspring of rams.
Mpeni sifa Yahwe, enyi wana wa Mungu! Mpeni sifa Yahwe kwa ajili ya utukufu wake na nguvu.
2 Bring to the Lord glory and honour: bring to the Lord glory to his name: adore ye the Lord in his holy court.
Mpeni Yahwe utukufu ambao jina lake linastahili. Mpigieni magoti Yahwe katika mapambo ya utakatifu.
3 The voice of the Lord is upon the waters; the God of majesty hath thundered, The Lord is upon many waters.
Sauti ya Yahwe imesikika zaidi ya maji; Mungu wa radi ya utukufu, radi yaYahwe i juu ya maji mengi.
4 The voice of the Lord is in power; the voice of the Lord in magnificence.
Sauti ya Yahwe ina nguvu; sauti ya Yahwe ni kuu.
5 The voice of the Lord breaketh the cedars: yea, the Lord shall break the cedars of Libanus.
Sauti ya Yahwe huivunja mierezi; Yahwe huivunja vipande vipande mierezi ya Lebanon.
6 And shall reduce them to pieces, as a calf of Libanus, and as the beloved son of unicorns.
Yeye huifanya Lebanoni kuruka kama ndama wa ng'ombe na Sirioni kama mwana wa nyati.
7 The voice of the Lord divideth the flame of fire:
Sauti ya Yahwe hutoa miale ya moto.
8 The voice of the Lord shaketh the desert: and the Lord shall shake the desert of Cades.
Sauti ya Yahwe hutetemesha Jangwa; Yahwe hutetemesha jangwa la Kadeshi.
9 The voice of the Lord prepareth the stags: and he will discover the thick woods: and in his temple all shall speak his glory.
Sauti ya Yahwe huufanya miti mikubwa kutikisika na huipukutisha misitu. Kila mmoja katika hekalu lake husema, “Utukufu!”
10 The Lord maketh the flood to dwell: and the Lord shall sit king for ever.
Yahwe hukaa kama mfalme juu ya mafuriko; Yahwe hukaa kama mfalme milele.
11 The Lord will give strength to his people: the Lord will bless his people with peace.
Yahwe huwatia nguvu watu wake; Yahwe huwa bariki watu wake na amani.