< Psalms 20 >

1 Unto the end. A psalm for David. May the Lord hear thee in the day of tribulation: may the name of the God of Jacob protect thee.
Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
2 May he send thee help from the sanctuary: and defend thee out of Sion.
na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
3 May he be mindful of all thy sacrifices: and may thy whole burnt offering be made fat.
Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
4 May he give thee according to thy own heart; and confirm all thy counsels.
Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
5 We will rejoice in thy salvation; and in the name of our God we shall be exalted.
Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
6 The Lord fulfill all thy petitions: now have I known that the Lord hath saved his anointed. He will hear him from his holy heaven: the salvation of his right hand is in powers.
Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
7 Some trust in chariots, and some in horses: but we will call upon the name of the Lord our God.
Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
8 They are bound, and have fallen; but we are risen, and are set upright.
Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
9 O Lord, save the king: and hear us in the day that we shall call upon thee.
Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.

< Psalms 20 >