< Psalms 141 >
1 I have cried to the, O Lord, hear me: hearken to my voice, when I cry to thee.
Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, ninakuita wewe, uje kwangu hima. Sikia sauti yangu ninapokuita.
2 Let my prayer be directed as incense in thy sight; the lifting up of my hands, as evening sacrifice.
Maombi yangu na yafike mbele zako kama uvumba; kuinua mikono yangu juu na kuwe kama dhabihu ya jioni.
3 Set a watch, O Lord, before my mouth: and a door round about my lips.
Ee Bwana, weka mlinzi kinywani mwangu, weka ulinzi mlangoni mwa midomo yangu.
4 Incline not my heart to evil words; to make excuses in sins. With men that work iniquity: and I will not communicate with the choicest of them.
Usiuache moyo wangu uvutwe katika jambo baya, nisije nikashiriki katika matendo maovu pamoja na watu watendao mabaya, wala nisije nikala vyakula vyao vya anasa.
5 The just shall correct me in mercy, and shall reprove me: but let not the oil of the sinner fatten my head. For my prayer also shall still be against the things with which they are well pleased:
Mtu mwenye haki na anipige: ni jambo la huruma; na anikemee: ni mafuta kichwani mwangu. Kichwa changu hakitalikataa. Hata hivyo, maombi yangu daima ni kinyume cha watenda mabaya,
6 Their judges falling upon the rock have been swallowed up. They shall hear my words, for they have prevailed:
watawala wao watatupwa chini kutoka kwenye majabali, waovu watajifunza kwamba maneno yangu yalikuwa kweli.
7 As when the thickness of the earth is broken up upon the ground: Our bones are scattered by the side of hell. (Sheol )
Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi, ndivyo mifupa yetu imetawanywa kwenye mlango wa kaburi.” (Sheol )
8 But o to thee, O Lord, Lord, are my eyes: in thee have I put my trust, take not away my soul.
Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee Bwana Mwenyezi, ndani yako nimekimbilia, usiniache nife.
9 Keep me from the snare, which they have laid for me, and from the stumblingblocks of them that work iniquity.
Niepushe na mitego waliyonitegea, kutokana na mitego iliyotegwa na watenda mabaya.
10 The wicked shall fall in his net: I am alone until I pass.
Waovu na waanguke kwenye nyavu zao wenyewe, wakati mimi ninapita salama.