< Psalms 131 >
1 Lord, my heart is not exalted: nor are my eyes lofty. Neither have I walked in great matters, nor in wonderful things above me.
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Moyo wangu hauna kiburi, Ee Bwana, macho yangu hayajivuni; sijishughulishi na mambo makuu kunizidi wala mambo ya ajabu mno kwangu.
2 If I was not humbly minded, but exalted my soul: As a child that is weaned is towards his mother, so reward in my soul.
Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu; kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake, kama mtoto aliyeachishwa kunyonya ndivyo ilivyo nafsi iliyoko ndani yangu.
3 Let Israel hope in the Lord, from henceforth now and for ever.
Ee Israeli, mtumaini Bwana tangu sasa na hata milele.