< Joshua 12 >
1 These are the kings, whom the children of Israel slew and possessed their land beyond the Jordan towards the rising of the sun, from the torrent Arnon unto mount Hermon, and all the east country that looketh towards the wilderness.
Basi hawa ndio wafalme wa nchi, ambao watu wa Israeli walishindwa. Waisraeli walichukua miliki ya nchi katika upande wa mashariki mwa Yordani sehemu ambako jua huchomoza, kutoka bonde la Mto Arnoni hadi Mlima Hermoni, na nchi yote ya Araba kuelekea kusini.
2 Sehon king of the Amorrhites, who dwelt in Hesebon, and had dominion from Aroer, which is seated upon the bank of the torrent Arnon, and of the middle part in the valley, and of half Galaad, as far as the torrent Jaboc, which is the border of the children of Ammon.
Sihoni, mfalme wa Waamori, aliishi katika Heshiboni. Alitawala kutoka Aroeri, ambayo iko juu ya bonde la Arnoni kutoka katikati ya bonde, na nusu ya Geleadi kushuka mpaka Mto Yaboki katika mpaka wa Waamori.
3 And from the wilderness, to the sea of Ceneroth towards the east, and to the sea of the wilderness, which is the most salt sea, on the east side by the way that leadeth to Bethsimoth: and on the south side that lieth under Asedoth, Phasga.
Sihoni pia alitawala juu ya Araba mpaka Bahari ya Kinerethi, kwenda mashariki, kuelekea Bahari ya Araba (Bahari ya Chumvi) upande wa mashariki, hadi huko Bethi Yeshimothi na upande wa kusini, kuelekea chini ya miteremko wa Mlima Pisiga.
4 The border of Og the king of Basan, of the remnant of the Raphaims who dwelt in Astaroth, and in Edrai, and had dominion in mount Hermon, and in Salecha, and in all Basan, unto the borders
Ogu, mfalme wa Bashani, mmoja kati ya mabaki ya Rephaimu, aliyeishi huko Shatarothi na Edrei.
5 Of Gessuri and Machati, and of half Galaad: the borders of Sehon the king of Hesebon.
Alitawala juu ya Mlima Hermoni, Saleka, na Bahani yote, hadi mpaka wa watu wa Geshuri na Wamakathi, na nusu ya Gleadi, hadi kufika mpaka wa Sihohi, mfalme wa Heshboni.
6 Moses the servant of the Lord, and the children of Israel slew them, and Moses delivered their land in possession to the Rubenites, and Gadites, and the half tribe of Manasses.
Musa mtumishi wa Yahweh, na watu wa Israeli walikuwa wamewashinda, na Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa nchi kama mali ya Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase.
7 These are the kings of the land, whom Josue and the children of Israel slew beyond the Jordan on the west side from Baalgad in the held of Libanus, unto the mount, part of which goeth up into Seir: and Josue delivered it in possession to the tribes of Israel, to every one their divisions,
Hawa ndio wafalme wa nchi ambayo Yoshua na watu wa Israeli waliwashinda katika upande wa magharibi mwa mto Yordani, kutoka Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni hadi Mlima Halaki karibu na Edom. Yoshua aliyapa nchi makabila ya Israeli ili yaimiliki.
8 As well in the mountains as in the plains and the champaign countries. In Asedoth, and in the wilderness, and in the south was the Hethite and the Amorrhite, the Chanaanite and the Pherezite, the Hevite and the Jebusite.
Aliwapa nchi ya milima, tambarare, Araba, sehemu za milima, nyika na Negevu, nchi ya Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
9 The king of Jericho one: the king of Hai, which is on the side of Bethel, one:
Wafalme hawa walikuwa ni mfalme wa Yeriko, mfalme wa Ai iliyo karibu na Betheli,
10 The king of Jerusalem one, the king of Hebron one.
mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Enaimu,
11 The king of Jerimoth one, the king of Lachis one,
mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi,
12 The king of Eglon one, the king of Gazer one,
mfalme wa Egloni, mfalme wa Gezeri,
13 The king of Dabir one, the king of Gader one,
mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,
14 The king of Herma one, the king of Hered one,
mfalme wa Horima, mfalme wa Aradi,
15 The king of Lebna one, the king of Odullam one,
mfalme wa Libna, mfalme wa Adula,
16 The king of Maceda one, the king of Bethel one,
mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,
17 The king of Taphua one, the king of Opher one,
mfalme wa Tapua, mfalme wa Heferi,
18 The king of Aphec one, the king of Saron one,
mfalme wa Afeki, mfalme wa Lasharoni,
19 The king of Madon one, the king of Asor one,
mfalme wa Madoni, mfalme wa Hazori,
20 The king of Semeron one, the king of Achsaph one,
mfalme wa Shimroni - Meroni, mfalme wa Akshafu.
21 The king of Thenac one, the king of Megeddo one,
mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,
22 The king of Cades one, the king of Jachanan of Carmel one,
mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Jokineamu katika Karmeli,
23 The king of Dor, and of the province of Dor one, the king of the nations of Galgal one,
mfalme wa Dori katika Nafutali Dori, mfalme Goyimu katika Giligali, na
24 The king of Thersa one: all the kings thirty and one.
mfalme Tiriza. Hesabu ya wafalme ilikuwa ni thelathini na moja kwa ujumla wake.