< Job 19 >
1 Then Job answered, and said:
Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
2 How long do you afflict my soul, and break me in pieces with words?
lini mtanifanya mimi kuteseka na kunivunja vunja mimi vipande vipnde kwa maneno?
3 Behold, these ten times you confound me, and are not ashamed to oppress me.
Mara kumi hivi mmenishutumu mimi; ninyi hamuoni aibu kwamba mmenitendea mimi kwa ukatili.
4 For if I have been ignorant, my ignorance shall be with me.
Kama ni dhahiri kweli mimi nimekosa, makosa yangu hubaki kuwa wajibu wangu.
5 But you have set yourselves up against me, and reprove me with my reproaches.
Kama ni dhahiri ninyi mtajiinua juu yangu mimi na kuutumia uvumilivu wangu kunipinga mimi,
6 At least now understand, that God hath not afflicted me with an equal judgment, and compassed me with his scourges.
kisha ninyi mnapaswa kutambua kwamba Mungu amefanya mabaya kwangu mimi na amenikamata mimi katika mtego wake yeye.
7 Behold I cry suffering violence, and no one will hear: I shall cry aloud, and there is none to judge.
Tazama, Mimi ninalia kwa sauti, “dhuluma!” lakini sipati jibu. Mimi ninaita kwa ajili ya msaada, lakini hakuna haki.
8 He hath hedged in my path round about, and I cannot pass, and in my way he hath set darkness.
Yeye ameiwekea ukuta njia yangu, ili kwamba mimi nisiweze kupita, na yeye ameweka giza katika njia yangu.
9 He hath stripped me of my glory, and hath taken the crown from my head.
Yeye ameniondoa Mimi kutoka katika utukufu wangu, na ameichukua taji kutoka kwenye kichwa changu mimi.
10 He hath destroyed me on every side, and I am lost, and he hath taken away my hope, as from a tree that is plucked up.
Yeye amenivunjavunja mimi chini kwa kila upande, na Mimi nimetoweka; yeye amelikokota juu tumaini langu kama mti.
11 His wrath is kindled against me, and he hath counted me as his enemy.
Yeye pia ameiongeza ghadhabu yake dhidi yangu mimi; yeye ananihesabu mimi kama mmoja wa adui zake.
12 His troops have come together, and have made themselves a way by me, and have besieged my tabernacle round about.
Majeshi yake huja juu pamoja; wao wananikosesha tumaini kwa kuniteka nyara kwa kundi kubwa kupigana na mimi wakizunguka hema yangu.
13 He hath put my brethren far from me, and my acquaintance like strangers have departed from me.
Yeye amewaweka ndugu zangu mbali kutoka kwangu mimi; watu wangu wa karibu wote wamejitenga kutoka kwangu mimi.
14 My kinsmen have forsaken me, and they that knew me, have forgotten me.
Vizazi vyangu vimeniangusha mimi; rafiki zangu wa karibu wamenisahamu mimi.
15 They that dwelt in my house, and my maidservants have counted me a stranger, and I have been like an alien in their eyes.
Wale ambao mwanzoni walikaa kama wageni ndani ya nyumba yangu na watumishi wangu wa kike, hunihesabu mimi kama mgeni. Mimi nimekuwa mgeni katika macho yao.
16 I called my servant, and he gave me no answer, I entreated him with my own mouth.
Mimi ninamwita mtumishi wangu, lakini yeye hanipi jibu japokuwa Mimi nimemsihi yeye kwa midomo yangu.
17 My wife hath abhorred my breath, and I entreated the children of my womb.
Pumzi yangu mimi ni chukizo kwa mke wangu; Hata mimi ninachukiwa na wale ambao walizaliwa kutoka katika tumbo la mama yangu mimi.
18 Even fools despise me; and when I gone from them, they spoke against me.
Hata watoto wachanga wananichukia mimi; ikiwa Mimi nitainuka kuzungumza, wao huzungumza dhidi yangu mimi.
19 They that were sometime my counsellors, have abhorred me: and he whom I love most is turned against me.
Rafiki zangu wote ninaowazoea wananichukia sana mimi; wale ambao Mimi ninawapenda wamegeuka kinyume na mimi.
20 The flesh being consumed. My bone hath cleaved to my skin, and nothing but lips are left about my teeth.
Mifupa yangu inashikamana kwenye ngozi yangu na kwenye mwili wangu; Mimi ninaishi tu kwa ngozi ya meno yangu.
21 Have pity on me, have pity on me, at least you my friends, because the hand of the Lord hath touched me.
Iweni na huruma juu yangu mimi, muwe na huruma juu yangu mimi, rafiki zangu, kwa maana mkono wa Mungu umenigusa mimi.
22 Why do you persecute me as God, and glut yourselves with my flesh?
Kwa nini mnanitesa mimi kama ninyi mlikuwa Mungu? kwa nini hamjatosheka bado kwa kula mwili wangu?
23 Who will grant me that my words may be written? Who will grant me that they may be marked down in a book?
Laiti, hayo maneno yangu yangekuwa yameandikwa chini! Laiti, hayo yangekuwa yameandikwa katika kitabu!
24 With an iron pen and in a plate of lead, or else be graven with an instrument in flint stone.
Laiti, kwa kalamu ya chuma na risasi hayo yangekuwa yamechorwa katika mwamba siku zote!
25 For I know that my Redeemer liveth, and in the last day I shall rise out of the earth.
Lakini kama ilivyo kwangu mimi, Mimi ninafahamu kwamba mkombozi wangu anaishi, na kwamba hata mwisho atasimama katika nchi;
26 And I shall be clothed again with my skin, and in my flesh I will see my God.
baada ya ngozi yangu, hivyo ndivyo, mwili huu, unaharibiwa, ndipo katika mwili wangu mimi Nitamwona Mungu.
27 Whom I myself shall see, and my eyes shall behold, and not another: this my hope is laid up in my bosom.
Mimi nitamwona yeye kwa macho yangu mwenyewe-Mimi, na siyo mtu mwingine. Moyo wangu hushindwa ndani yangu mimi.
28 Why then do you say now: Let us persecute him, and let us find occasion of word against him?
Kama mnatasema, 'Kwa jinsi gani tutamtesa yeye? Mzizi wa mahangaiko yake unakaa katika yeye;
29 Flee then from the face of the sword, for the sword is the revenger of iniquities: and know ye that there is judgment.
ndipo uwe umeogopeshwa kwa ule upanga, kwa sababu ghadhabu huleta hukumu ya upanga, hivyo kwamba wewe uweze kutambua kuna hukumu.”