< Deuteronomy 14 >
1 Be ye children of the Lord your God: you shall not cut yourselves, no, make any baldness for the dead;
Ninyi ni watu wa Yahwe Mungu wenu. Msijikate wenyewe, wala kunyoa sehemu za nyuso zenu kwa ajili ya wafu.
2 Because thou art a holy people to the Lord thy God: and he chose thee to be his peculiar people of all nations that are upon the earth.
Kwa kuwa mu taifa lilowekwa wakfu kwa Yahwe Mungu wenu, na Yahwe amewachagua kuwa watu kwa ajili ya urithi wake, zaidi kuliko watu wote walio juu ya uso wa dunia.
3 Eat not the things that are unclean.
Hampaswi kula kitu chochote kilicho chukizo.
4 These are the beasts that you shall eat, the ox, and the sheep, and the goat,
Hawa ni wanyama ambao mnaweza kula: ng'ombe, kondoo, mbuzi,
5 The hart and the roe, the buffle, the chamois, the pygarg, the wild goat, the camelopardalus.
kulungu, paa, kulungu wa kiume, mbuzi wa mwituni, paa mweupe na pofu na kondoo wa mlimani
6 Every beast that divideth the hoof in two parts, and cheweth the cud, you shall eat.
Mnaweza kula wanyama wowote ambao wamegawanyika kwato, ambaye ana kwato zilizogawanyika mara mbili, na utafuna macheuo.
7 But of them that chew the cud, but divide not the hoof, you shall not eat, such as the camel, the hare, and the cherogril: because they chew the cud, but divide not the hoof, they shall be unclean to you.
Hata hivyo, hampaswi kula baadhi ya wanyama ambao utafuna macheuo au ambao wana kwato zilizogawanyika mara mbili: ngamia, sungura, pomono, kwa sababu watafuna macheuo lakini hawajagawanyika kwato, ni najisi kwenu.
8 The swine also, because it divideth the hoof, but cheweth not the cud, shall be unclean, their flesh you shall not eat, and their carcasses you shall not touch.
Nguruwe ni najisi kwenu pia kwa sababu amegawanyika kwato lakini hatafuni macheuo; ni najisi kwenu. Msile nyama ya nguruwe, na msiguse mizoga yao.
9 These shall you eat of all that abide in the waters: All that have fins and scales, you shall eat.
Haya yaliyo ndani ya maji mnaweza kula: chochote kilicho na mapesi na magamba;
10 Such as are without fins and scales, you shall not eat, because they are unclean.
lakini chochote kisichokuwa na mapesi na magamba msile; ni najisi kwenu.
11 All birds that are clean you shall eat.
Ndege wote safi mnaweza kula.
12 The unclean eat not: to wit, the eagle, and the grype, and the osprey,
Lakini hawa ni ndege ambao hampaswi kula: tai, tumbusi, kipungu,
13 The ringtail, and the vulture, and the kite according to their kind:
mwewe mwekundu na mweusi, aina yoyote ya kipanga.
14 And all of the raven’s kind:
Hampaswi kula aina yoyote ya kunguru,
15 And the ostrich, and the owl, and the larus, and the hawk according to its kind:
na mbuzi na mwewe wa usiku, Lanes ndege wa baharini, aina yoyote ya mwewe,
16 The heron, and the swan, and the stork,
bundi mdogo, bundi mkubwa, na bundi mweupe,
17 And the cormorant, the porphyrion, and the night crow,
Mwari, nyamafu ya tai, mnandio.
18 The bittern, and the charadrion, every one in their kind: the hoop also and the bat.
Hampaswi kula korongo, aina yoyote ya kongoti, hudihudi, na popo.
19 Every thing that creepeth, and hath little wings, shall be unclean, and shall not be eaten.
Wote wenye mabawa; vitu vya utando ni najisi kwenu; havipaswi kuliwa.
20 All that is clean, you shall eat.
Mnaweza kula vitu vyote virukavyo.
21 But whatsoever is dead of itself, eat not thereof. Give it to the stranger, that is within thy gates, to eat, or sell it to him: because thou art the holy people of the Lord thy God. Thou shalt not boil a kid in the milk of his dam.
Hampaswi kula chochote kinachokufa chenyewe; mnaweza kumpa mgeni ambaye yuko katika mji wenu, kwamba anaweza kula au mnaweza kuuza kwa mgeni. Kwa kuwa mu taifa lilolowekwa wakfu kwa ajili ya Yahwe Mungu wenu. Hampaswi kumchemusha mbuzi kijana katika maziwa ya mama yake.
22 Every year thou shalt set aside the tithes of all thy fruits that the earth bringeth forth,
Hakika mnapaswa kutoa fungu la kumi la mavuno ya mbegu zenu zote, ambazo huja kutoka kwenye shamba kila mwaka.
23 And thou shalt eat before the Lord thy God in the place which he shall choose, that his name may be called upon therein, the tithe of thy corn, and thy wine, and thy oil, and the firstborn of thy herds and thy sheep: that thou mayst learn to fear the Lord thy God at all times.
Mnapaswa kula mbele ya Yahwe Mungu wenu, katika eneo ambalo atachagua kama patakatifu pake, fungu la kumi la nafaka zenu, za mvinyo mpya, na mafuta yenu, na mzaliwa wa kwanza wa wanyama na mifugo, kwamba mnaweza kujifunza daima kumheshimu Yahwe Mungu wenu.
24 But when the way and the place which the Lord thy God shall choose, are far off, and he hath blessed thee, and thou canst not carry all these things thither,
Kama safari ni ndefu kwenu na kwamba hamwezi kuibeba, kwa sababu eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua kama patakatifu pake ni mbali kwenu, basi, wakati Yahwe Mngu anawabariki,
25 Thou shalt sell them all, and turn them into money, and shalt carry it in thy hand, and shalt go to the place which the Lord shall choose:
mtabadilisha sadaka katika pesa. Fungeni pesa kwenye mkono, na nendeni kwenye eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua.
26 And thou shalt buy with the same money whatsoever pleaseth thee, either of the herds or of sheep, wine also and strong drink, and all that thy soul desireth: and thou shalt eat before the Lord thy God, and shalt feast, thou and thy house:
Huko mtatumia pesa kwa chochote mnatamani kwa ng'ombe au kondoo, au kwa mvinyo, au kwa kinywaji imara, au kwa chochote mnatamani; mtakula hapo mbele ya Yahwe Mungu wenu, na mtafurahi, nyie na nyumba zenu.
27 And the Levite that is within thy gates, beware thou forsake him not, because he hath no other part in thy possession.
Mlawi ambaye yuko malangoni mwenu- msimsahau, kwa kuwa hana sehemu wala urithi pamoja nanyi.
28 The third year thou shalt separate another tithe of all things that grow to thee at that time, and shalt lay it up within thy gates.
Mwisho mwa kila miaka mitatu mtawasilisha mafungu yote ya kumi ya mazao kwa mwaka huo huo, na mtatunza katika malango yenu;
29 And the Levite that hath no other part nor possession with thee, and the stranger and the fatherless and the widow, that are within thy gates, shall come and shall eat and be filled: that the Lord thy God may bless thee in all the works of thy hands that thou shalt do.
na Mlawi, kwa sababu hana sehemu wala urithi pamoja nanyi, na mgeni, na yatima, na wajane walio ndani ya malango yenu, watakuja na kula na kurithika. Fanya hivyo kwa Yahwe Mungu wenu aweze kuwabariki katika kazi zote za mikono yenuo mnazofanya.