< 1 Chronicles 7 >

1 Now the sons of Issachar were Thola, and Phua, Jasub and Simeron, four.
Isiakari alikuwa na wana wanne Tola, Pua, Yashubi, na Shimironi.
2 The sons of Thola: Ozi and Raphaia, and Jeriel, and Jemai, and Jebsem, and Samuel, chiefs of the houses of their kindreds. Of the posterity of Thola were numbered in the days of David, two and twenty thousand six hundred most valiant men.
Wana wa Tola walikuwa Uzi, Refaia, Yerie, Yamai, Ibisami, Shemueli. Walikua vichwa katika nyumba za baba yao, toka uzao wa Tola na waliorodheshwa kama mashujaa hodari miongoni mwa kizazi chao. Katika siku za Daudi walikua na idadi ya 22, 600.
3 The sons of Ozi: Izrahia, of whom were born Michael, and Obadia, and Joel, and Jesia, five all great men.
Mwana wa Uzi alikua Izrahia. Mwana wake alikua Michaeli, Obadia, Yoeli, na Ishia, wote watano walikua viongozi wa ukoo
4 And there were with them by their families and peoples, six and thirty thousand most valiant men ready for war: for they had many wives and children.
Pamoja nao walikua na jeshi la watu elfu thelathini na sita kwa mapambano, Kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao, kwa kuwa walikuwa na wake wengi pamoja na wana.
5 Their brethren also throughout all the house of Issachar, were numbered fourscore and seven thousand most valiant men for war.
Kaka zao, kabila la Isakari, walikua na wanaume wa vita themanini na saba, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
6 The sons of Benjamin were Bela, and Bechor, and Jadihel, three.
Wana watatu wa Benjamini walikuwa Bela, Beka, na Yediaeli.
7 The sons of Bela: Esbon, and Ozi, and Ozial, and Jerimoth and Urai, five chiefs of their families, and most valiant warriors, and their number was twenty-two thousand and thirty-four.
Wana watano wa Bela walikuwa Ezibono, Uzi, Uzieli, Yerimoti, na Iri. Walikua ni wanajeshi na waanzilishi wa koo. Watu wao walikuwa na idadi ya wanaume wa vita 22, 034, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
8 And the sons of Bechor were Zamira, and Joas, and Eliezer, and Elioenai, and Amai, and Jerimoth, and Abia, and Anathoth, and Almath: all these were the sons of Bechor.
Wana wa Beka walikuwa Zemira, Yoashi, Elieza, Elionai, Omri, Yeremoti, Abiya, Anatoti, na Alemeti. Wote hawa walikuwa wana wake.
9 And they were numbered by the families, heads of their kindreds, most valiant men for war, twenty thousand and two hundred.
Orodha ya koo zao ilikua na idadi ya 20, 200 viongozi wa familia na wanaume wa vita.
10 And the son of Jadihel: Balan. And the sons of Balan: Jehus and Benjamin and Aod, and Chanana, and Zethan and Tharsis, and Ahisahar.
Mwana wa Yediaeli alikuwa Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa Yeushi, Benjamini, Ehudi, Kenaana, Zetani, Tarishishi, na Ahishahari.
11 All these were sons of Jadihel, heads of their kindreds, most valiant men, seventeen thousand and two hundred fit to go out to war.
Wote hawa waikuwa wana wa Yediaeli. Waliorodheshwa katika ukoo orodha ilikuwa 17, 200 viongozi na wanaume wa vita imara kwa kazi ya jeshi.
12 Sepham also and Hapham the sons of Hir: and Hasim the sons of Aher.
(Shupimu na Hupimu walikuwa wana wa Iri, na Hushimu alikuwa mwana wa Aheri.)
13 And the sons of Nephtali were Jasiel, and Guni, and Jezer, and Sellum, sons of Bala.
Wana wa Naftali walikuwa Yazieli, Guni, Yezeri, na Shalumu. Hawa walikuwa wajukuu wa Bilhahi.
14 And the son of Manasses, Ezriel: and his concubine the Syrian bore Machir the father of Galaad.
Manasse alikua na mtoto wa kiume aliitwa Asrieli, Ambaye suria wake wa Kiaramia alimzalia. Pia alimzaa na Makiri, baba wa Gileadi.
15 And Machir took wives for his sons Happhim, and Saphan: and he had a sister named Maacha: the name of the second was Salphaad, and Salphaad had daughters.
Makiri alimchukua mke wake kutoka Hupite na Shupite. Jina la dada yake lilikuwa Maaka. Mwingine wa uzao wa Manasse alikuwa Zalofehadi, ambaye alikuwa na mabinti pekee.
16 And Maacha the wife of Machir bore a son, and she called his name Phares: and the name of his brother was Sares: and his sons were Ulam and Recen.
Maaka mke wa Makiri, alimzaa mwana na alimuita Pereshi. Kaka yake aliitwa Shereshi, na wana wake walikuwa Ulamu na Rakemu.
17 And the son of Ulam, Baden. These are the sons of Galaad, the son of Machir the son of Manasses.
Mwana wa Ulami alikuwa Bedani. Hawa walikuwa uzao wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase.
18 And his sister named Queen bore Goodlyman, and Abiezer, and Mohola.
Dada wa Gileadi Hamoleketi alimzaa Ishihodi, Abi Ezeri, na Mahila.
19 And the sons of Semida were Ahiu, and Sechem, and Leci and Aniam.
Wana wa Shemida walikuwa Ahiana, Shekemu, Liki, na Aniamu.
20 And the sons of Ephraim were Suthala, Bared his son, Thahath his son, Elada his son, Thahath his son, and his son Zabad,
Uzao wa Efraimu ulikuwa kama ifuatavyo: Efraimu mwana wa Shutela. Shutela mwana wa Beredi. Beredi mwana wa Tahati.
21 And his son Suthala, and his son Ezer, and Elad: and the men of Geth born in the land slew them, because they came down to invade their possessions.
Tahati mwana wa Eleada. Eleada mwana wa Shutela. (Eza na Eleadi waliuawa na wanaume wa Gati, wenyeji wa nchi, walipoenda kuiba mifugo yao.
22 And Ephraim their father mourned many days, and his brethren came to comfort him.
Efraimu baba yao aliomboleza kwa siku nyingi, na kaka zake walikuja kumfariji.
23 And he went in to his wife: and she conceived and bore a son, and he called his name Beria, because he was born when it went evil with his house:
Alilala na mkewe. Akapata mimba akamzaa mwana. Efraimu akamuita Beria, kwa sababu maafa yalishakuja nyumbani mwake.
24 And his daughter was Sara, who built Bethoron, the nether and the upper, and Ozensara.
Binti yake alikuwa Sheera, ambaye alijenga miji juu na chini Beth Horon na Uzzen Sheerah.)
25 And Rapha was his son, and Reseph, and Thale, of whom was born Thaan,
Mwana wake alikuwa Rafa. Mwana wa Rafa alikuwa Reshefi. Mwana wa Reshafi alikuwa Tela. Mwana wa Tela alikuwa Tahani.
26 Who begot Laadan: and his son was Ammiud, who beget Elisama,
Mwana wa Tahani alikuwa Ladani. Mwana wa Ladani alikuwa Amihudi. Mwana wa Amihudi alikuwa Elishama.
27 Of whom was born Nun, who had Josue for his son.
Mwana wa Elishama alikuwa Nuni. Mwana wa Nuni alikuwa Joshua.
28 And their possessions and habitations were Bethel with her daughters, and eastward Noran, and westward Gazer and her daughters, Sichem also with her daughters, as far as Ass with her daughters.
Mali zao na makazi yao yalikuwa Betheli na yalizungukwa na vijiji. Waliongeza upande wa mashariki hadi Naarani na upande wa magharibi hadi Gezeri na vijiji vyake, na Shekemu na vijiji vyake hadi Aya na vijiji vyake.
29 And by the borders of the sons of Manasses Bethsan and her daughters, Thanach and her daughters, Mageddo and her daughters: Dor and her daughters: in these dwelt the children of Joseph, the son of Israel.
Katika mipaka pamoja na Manasse kulikuwa na Beti shani na vijiji vyake, Taanaki na vijiji vyake, Megido na vijiji vyake, na Dori na vijiji vyake. Katika huu mji waliishi uzao wa Josefu mwana wa Israeli.
30 The children of Aser were Jemna, and Jesua, and Jessui, and Baria, and Sara their sister.
Wana wa Asha walikuwa Imna, Ishiva, Ishivi, na Beria. Sera alikuwa dada yao.
31 And the sons of Baria: Haber, and Melchiel: he is the father of Barsaith.
Wana wa Beria walikuwa Heberi na Malchieli, Ambaye alikuwa baba wa Birzaiti.
32 And Heber beget Jephlat, and Somer, and Hotham, and Suaa their sister.
Wana wa Heberi walikuwa Yafeti, Shomer, na Hotamu. dada yao alikuwa Shua.
33 The sons of Jephlat: Phosech, and Chamaal, and Asoth: these are the sons of Jephlat.
Wana wa Yafeti walikuwa Pasach, Bimhali, na Ashivati. hawa walikuwa watoto wa yafeti.
34 And the sons of Somer: Ahi, and Roaga, and Haba, and Aram.
shoma, kaka wa Yafeti alikuwa na wana hawa: Roga, Yehuba, Aram.
35 And the sons of Helem his brother: Supha, and Jemna, and Selles, and Amal.
Kaka yake Shema, Helemu, alikuwa na wana hawa: Zofa, Imna, Sheleshi na Amali.
36 The sons of Supha: Sue, Hernapher, and Sual, and Beri, and Jamra.
Wana wa Zofa walikuwa Sua, Harinefa, Shua, Beri, IMra,
37 Bosor and Hod, and Samma, and Salusa, and Jethran, and Bera.
Beza, Hodi, Shamma, Shilsha, Ithrani, na Beera.
38 The sons of Jether: Jephone, and Phaspha, and Ara.
Wana wa Yeta walikuwa Jefune, Pispa, na Ara.
39 And the sons of Olla: Aree, and Haniel, and Resia.
Wana wa Ulla walikwa Ara, Hannieli, na Rizia.
40 All these were sons of Aser, heads of their families, choice and most valiant captains of captains: and the number of them that were of the age that was fit for war, was six and twenty thousand.
Hawa wote walikuwa uzao wa Asha. Walikua mababu wa ukoo, viongozi wa familia, wananume wa kipekee, wanaume wa vita, na machifu kati ya viongozi. Kulikuwa na wanaume elfu ishirini na sita walioorodheshwa waliokuwa imara kwa kazi ya jeshi, kwa mujibu wa idadi iliyo orodheshwa.

< 1 Chronicles 7 >