< Psalms 34 >
1 [A Psalm] of David; when he changed his behaviour before Abimelech, who drove him away, and he departed. I will bless Jehovah at all times; his praise shall continually be in my mouth.
Nitamsifu Yahwe wakati wote, siku zote sifa zake zitakuwa mdomoni mwangu.
2 My soul shall make its boast in Jehovah: the meek shall hear, and rejoice.
Nitamsifu Yahwe! walio onewa wasikie na kufurahi.
3 Magnify Jehovah with me, and let us exalt his name together.
Msifuni Yahwe pamoja nami, kwa pamoja tuliinue jina lake.
4 I sought Jehovah, and he answered me, and delivered me from all my fears.
Nilimuomba Yahwe msaada naye akanijibu, akanipa ushindi juu ya hofu yangu yote.
5 They looked unto him, and were enlightened, and their faces were not confounded.
Wale wanao mtazama yeye wana furaha, na nyuso zao hazina aibu.
6 This afflicted one called, and Jehovah heard [him], and saved him out of all his troubles.
Huyu mtu aliye onewa alilia na Yahwe akamsikia na kumuokoa kwenye matatizo yake yote.
7 The angel of Jehovah encampeth round about them that fear him, and delivereth them.
Malaika wa Yahwe huweka kambi wakiwazunguka wale wanao muogopa yeye na kuwaokoa.
8 Taste and see that Jehovah is good: blessed is the man that trusteth in him!
Onjeni muone Yahwe ni mzuri. Amebarikiwa mtu yule ambaye Yahwe ni kimbilio lake.
9 Fear Jehovah, ye his saints; for there is no want to them that fear him.
Muogopeni Yahwe, ninyi watu watakatifu wake. Hakuna kupungukikwa kwa wale wanao mhofu yeye.
10 The young lions are in need and suffer hunger; but they that seek Jehovah shall not want any good.
Simba wadogo wakati mwingine hukosa chakula na kuteseka kwa njaa, bali wale wamtafutao Yahwe hawatapungukiwa chochote kilicho kizuri.
11 Come, ye sons, hearken unto me: I will teach you the fear of Jehovah.
Njoni, wana, mnisikilize mimi. nitawafundisha ninyi hofu ya Yahwe.
12 What man is he that desireth life, [and] loveth days, that he may see good?
Mtu nani aliyepo ambaye anatamani maisha na anapenda kuwa na siku nyingi, ili kwamba aweze kuona vizuri?
13 Keep thy tongue from evil, and thy lips from speaking guile;
Hivyo uepushe ulimi wako na uovu na uilinde midomo yako kuongea uongo.
14 Depart from evil, and do good; seek peace, and pursue it.
Uache uovu na utende mema. Uitafute amani na kuiendea amani.
15 The eyes of Jehovah are upon the righteous, and his ears are toward their cry;
Macho ya Yahwe yako kwenye haki na masikio yake huelekea kulia kwao.
16 The face of Jehovah is against them that do evil, to cut off the remembrance of them from the earth:
Uso wa Yahwe uko kinyume na wale watendao uovu, kuikatilia mbali kumbukumbu yao duniani.
17 [The righteous] cry, and Jehovah heareth, and delivereth them out of all their troubles.
Wenye haki hulia na Yahwe husikia na kuwaokoa kwenye matatizo yao yote.
18 Jehovah is nigh to those that are of a broken heart, and saveth them that are of a contrite spirit.
Yahwe yu karibu nao waliovunjika moyo, naye huwaokoa waliogandamizwa rohoni.
19 Many are the adversities of the righteous, but Jehovah delivereth him out of them all:
Mateso ya wenye haki ni mengi, bali Yahwe huwaokoa nayo yote.
20 He keepeth all his bones; not one of them is broken.
Yeye huitunza mifupa yake yote, hakuna hata mmoja wao utavunjika.
21 Evil shall destroy the wicked; and they that hate the righteous shall bear their guilt.
Uovu utawauwa waovu. Wale wachukiao haki watahukumiwa.
22 Jehovah redeemeth the soul of his servants; and none of them that trust in him shall bear guilt.
Yahwe huokoa maisha ya watumishi wake. Hakuna atakaye hukumiwa hata mmoja atafutaye usalama katika yeye.