< Psalms 110 >

1 Psalm of David. Jehovah said unto my Lord, Sit at my right hand, until I put thine enemies [as] footstool of thy feet.
Yahwe humwambia bwana wangu, “Kaa mkono wangu wa kuume mpaka nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.”
2 Jehovah shall send the sceptre of thy might out of Zion: rule in the midst of thine enemies.
Yahwe atainyosha fimbo ya nguvu yako toka Sayuni; utawale kati ya adui zako.
3 Thy people shall be willing in the day of thy power, in holy splendour: from the womb of the morning [shall come] to thee the dew of thy youth.
Siku ile ya uweza wako watu wako watakufuata wakiwa katika mavazi matakatifu ya hiari yao wenyewe; tokea tumbo la alfajiri ujana wako utakuwa kwako kama umande.
4 Jehovah hath sworn, and will not repent, Thou art priest for ever after the order of Melchisedek.
Yahwe ameapa, na hatabadilika: “Wewe ni kuhani milele, baada ya namna ya Melkizedeki.”
5 The Lord at thy right hand will smite through kings in the day of his anger.
Bwana yuko mkono wako wa kuume. Siku ile ya hasira yake atawaua wafalme.
6 He shall judge among the nations; he shall fill [all places] with dead bodies; he shall smite through the head over a great country.
Yeye atahukumu matifa; ataujaza uwanja wa vita kwa maiti; atawauwa viongozi kaitka nchi nyingi.
7 He shall drink of the brook in the way; therefore shall he lift up the head.
Atakunywa maji ya kijito njiani, kisha baada ya ushindi atainua kichwa chake juu.

< Psalms 110 >