< Job 32 >

1 And these three men ceased to answer Job, because he was righteous in his own eyes.
Hivyo hawa watu watatu walikoma kumjibu Ayubu kwasababu alikuwa ni mwenye haki katika macho yake mwenyewe.
2 Then was kindled the anger of Elihu the son of Barachel, the Buzite, of the family of Ram: against Job was his anger kindled, because he justified himself rather than God;
Ndipo iliwaka hasira ya Elihu mwana wa Barakeli Mbuzi, wa familia ya Ramu, iliwaka dhidi ya Ayubu kwa kuwa alijihesabia haki mwenyewe kuliko Mungu.
3 and against his three friends was his anger kindled, because they found no answer, and [yet] condemned Job.
Hasira ya Elihu iliwaka pia kinyume cha marafiki zake watatu kwasababu hawakupata jibu kwa ajili ya Ayubu, na bado walimhukumu Ayubu.
4 But Elihu had waited till Job had finished speaking, because they were older than he.
Sasa Elihu alikuwa amemsubiri Ayubu ili aweze kuzungumza naye kwa kuwa watu wengine walikuwa wakubwa kuliko yeye.
5 And Elihu saw that there was no answer in the mouth of the three men, and his anger was kindled.
Hata hivyo, wakati Elihu alipoona ya kuwa hapakuwa na jibu katika midomo ya watu hawa watatu, hasira yake iliwaka.
6 And Elihu the son of Barachel the Buzite answered and said, I am young, and ye are aged; wherefore I was timid, and feared to shew you what I know.
Ndipo Elihu mwana wa Barakeli Mbuzi alinena na kusema, “Mimi ni mdogo, na ninyi ni wazee. Hii ndio sababu nilijizuia na sikuthubutu kuzungumza mawazo yangu mwenyewe.
7 I said, Let days speak, and multitude of years teach wisdom.
Nilisema, “Urefu wa siku utazungumza; na wingi wa miaka utatufundisha hekima.
8 But there is a spirit which is in man; and the breath of the Almighty giveth them understanding.
Lakini kuna roho ndani ya mtu; pumzi ya Mwenye nguvu humpa yeye ufahamu.
9 It is not the great that are wise; neither do the aged understand judgment.
Si tu watu wakubwa ndio wenye hekima, wala watu wazee pekee ambao hufahamu haki.
10 Therefore I say, Hearken to me; I also will shew what I know.
Hivyo basi nakwambia wewe, “Nisikilizeni mimi; Nitakwambia pia uelewa wangu.'
11 Lo, I waited for your words; I gave ear to your reasonings, until ye searched out what to say.
Tazama, niliyasubiria maneno yenu; nilisikiliza hoja zenu wakati mlipokuwa mnafikiri juu ya kile cha kusema.
12 Yea, I gave you mine attention, and behold, there was none of you that confuted Job, that answered his words;
Hakika, niliwajali sana ninyi, lakini, tazama, hakuna hata mmoja wenu aliyeweza kumshawishi Ayubu wala ambaye aliweza kumjibu maneno yake.
13 That ye may not say, We have found out wisdom; God will make him yield, not man.
Iweni waangalifu msije mkasema, 'Tumepata hekima!' Mungu atakuwa amemshinda Ayubu; mtu wa kawaida hawezi akafanya hivyo.
14 Now he hath not directed [his] words against me; and I will not answer him with your speeches. ...
Kwa kuwa Ayubu hajasema mojamoja maneno yake juu yangu, basi sitamjibu kwa maneno yenu.
15 They were amazed, they answered no more; words failed them.
Hawa watu watatu wamep igwa bumbuwazi; hawawezi kuendelea kumjibu Ayubu; hawana neno zaidi la kusema.
16 And I waited, for they spoke not, but stood still, and answered no more; —
Je ninapaswa kusubiria kwasababu hawazungumzi, kwa kuwa wamesimama pale kimya na wala hawajibu zaidi?
17 I will answer, I also in my turn, I also will shew what I know:
La, nitajibu pia upande wangu; Nitawaambia pia ufahamu wangu.
18 For I am full of matter, the spirit within me constraineth me.
Kwa kuwa nimejawa na maneno mengi, roho ndani yangu inanisukuma.
19 Behold, my belly is as wine which hath no vent; like new flasks, it is ready to burst.
Tazama, kifua changu ni kama divai yenye chachu ambayo haina tundu; kama viriba vipya, kiko tayari kupasuka.
20 I will speak, that I may find relief; I will open my lips and answer.
Nitazungumza ili kwamba niweze kuburudishwa; nitafungua kimya changu na kusema.
21 Let me not, I pray you, accept any man's person; neither will I give flattery to man.
Sitaonesha upendeleo; wala sitatoa sifa za majina kwa mtu yeyote.
22 For I know not how to flatter; my Maker would soon take me away.
Kwa kuwa sijui namna ya kutoa sifa; kama nitafanya hivyo, Muumba wangu atanikatilia mimi mbali.

< Job 32 >