< Psalms 128 >

1 A Canticle in steps. Blessed are all those who fear the Lord, who walk in his ways.
Wimbo wa kwenda juu. Heri ni wale wote wamchao Bwana, waendao katika njia zake.
2 For you will eat by the labors of your hands. Blessed are you, and it will be well with you.
Utakula matunda ya kazi yako; baraka na mafanikio vitakuwa vyako.
3 Your wife is like an abundant vine on the sides of your house. Your sons are like young olive trees surrounding your table.
Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao ndani ya nyumba yako; wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni kuizunguka meza yako.
4 Behold, so will the man be blessed who fears the Lord.
Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa mtu amchaye Bwana.
5 May the Lord bless you from Zion, and may you see the good things of Jerusalem, all the days of your life.
Bwana na akubariki kutoka Sayuni siku zote za maisha yako, na uone mafanikio ya Yerusalemu,
6 And may you see the sons of your sons. Peace be upon Israel.
nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa watoto wako. Amani iwe juu ya Israeli.

< Psalms 128 >