< Psalms 113 >
1 Alleluia. Praise the Lord, children. Praise the name of the Lord.
Msifuni Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe; lisifuni jina la Yahwe.
2 Blessed is the name of the Lord, from this time forward and even forever.
Litukuzwe jina la Yahwe, tangu sasa na hata milele.
3 From the rising of the sun, even to its setting, praiseworthy is the name of the Lord.
Toka maawio ya jua hata machweo yake, Jina la Yahwe lazima lisifiwe.
4 The Lord is high above all nations, and his glory is high above the heavens.
Yahwe ameinuliwa juu ya mataifa yote, na utukufu wake wafika juu mbinguni.
5 Who is like the Lord, our God, who dwells on high,
Ni nani aliye kama Yahwe Mungu wetu, aliye na kiti chake juu,
6 and who gazes upon the humble things in heaven and on earth?
atazamaye chini angani na duniani?
7 He lifts up the needy from the ground, and he urges the poor away from filth,
Humwinua maskini toka mavumbini na kumpandisha muhitaji kutoka jaani,
8 so that he may place him with the leaders, with the leaders of his people.
ili amketishe pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
9 He causes a barren woman to live in a house, as the joyful mother of sons.
Humpa watoto wanamke aliye tasa, humfanya yeye kuwa mama wa watoto mwenye furaha. Msifuni Yahwe!