< Joshua 12 >
1 These are the kings whom the sons of Israel struck down, and whose land they possessed beyond the Jordan, toward the rising of the sun, from the torrent Arnon as far as mount Hermon, with the entire eastern region that looks out toward the wilderness:
Basi hawa ndio wafalme wa nchi, ambao watu wa Israeli walishindwa. Waisraeli walichukua miliki ya nchi katika upande wa mashariki mwa Yordani sehemu ambako jua huchomoza, kutoka bonde la Mto Arnoni hadi Mlima Hermoni, na nchi yote ya Araba kuelekea kusini.
2 Sihon, the king of the Amorites, who lived at Heshbon, and who had dominion from Aroer, which is situated on the bank of the torrent Arnon, and the valley in the middle, and one half of Gilead, as far as the torrent Jabbok, which is the border of the sons of Ammon,
Sihoni, mfalme wa Waamori, aliishi katika Heshiboni. Alitawala kutoka Aroeri, ambayo iko juu ya bonde la Arnoni kutoka katikati ya bonde, na nusu ya Geleadi kushuka mpaka Mto Yaboki katika mpaka wa Waamori.
3 and from the wilderness, as far as the sea of Chinneroth toward the east, and to the Sea of the Wilderness, which is the very salty sea, to the eastern region, along the way that leads to Beth-jeshimoth, and from the southern region that lies under the descending slope of Pisgah,
Sihoni pia alitawala juu ya Araba mpaka Bahari ya Kinerethi, kwenda mashariki, kuelekea Bahari ya Araba (Bahari ya Chumvi) upande wa mashariki, hadi huko Bethi Yeshimothi na upande wa kusini, kuelekea chini ya miteremko wa Mlima Pisiga.
4 to the border of Og, the king of Bashan; from the remnant of the Rephaim, who lived in Ashtaroth, and at Edrei, and who had dominion on mount Hermon, and at Salecah, and into all of Bashan, even to its limits;
Ogu, mfalme wa Bashani, mmoja kati ya mabaki ya Rephaimu, aliyeishi huko Shatarothi na Edrei.
5 with Geshur and Maacati, and one half of Gilead, these were the borders of Sihon, the king of Heshbon.
Alitawala juu ya Mlima Hermoni, Saleka, na Bahani yote, hadi mpaka wa watu wa Geshuri na Wamakathi, na nusu ya Gleadi, hadi kufika mpaka wa Sihohi, mfalme wa Heshboni.
6 Moses, the servant of the Lord, and the sons of Israel struck them down. And Moses delivered their land into the possession of the Reubenites, and the Gadites, and the one half tribe of Manasseh.
Musa mtumishi wa Yahweh, na watu wa Israeli walikuwa wamewashinda, na Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa nchi kama mali ya Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase.
7 These are the kings of the land, whom Joshua and the sons of Israel struck down across the Jordan, toward the western region, from Baalgad in the field of Lebanon, as far as the mountain, part of which ascends to Seir. And Joshua delivered it as a possession to the tribes of Israel, to each one in their divisions,
Hawa ndio wafalme wa nchi ambayo Yoshua na watu wa Israeli waliwashinda katika upande wa magharibi mwa mto Yordani, kutoka Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni hadi Mlima Halaki karibu na Edom. Yoshua aliyapa nchi makabila ya Israeli ili yaimiliki.
8 both in the mountains and in the plains and fields. In the descending slopes, and in the wilderness, and in the south, there too was the Hittite and the Amorite, the Canaanite and the Perizzite, the Hivite and the Jebusite.
Aliwapa nchi ya milima, tambarare, Araba, sehemu za milima, nyika na Negevu, nchi ya Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
9 The king of Jericho, one; the king of Ai, which is beside Bethel, one;
Wafalme hawa walikuwa ni mfalme wa Yeriko, mfalme wa Ai iliyo karibu na Betheli,
10 the king of Jerusalem, one; the king of Hebron, one;
mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Enaimu,
11 the king of Jarmuth, one; the king of Lachish, one;
mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi,
12 the king of Eglon, one; the king of Gezer, one;
mfalme wa Egloni, mfalme wa Gezeri,
13 the king of Debir, one; the king of Geder, one;
mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,
14 the king of Hormah, one; the king of Arad, one;
mfalme wa Horima, mfalme wa Aradi,
15 the king of Libnah, one; the king of Adullam, one;
mfalme wa Libna, mfalme wa Adula,
16 the king of Makkedah, one; the king of Bethel, one;
mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,
17 the king of Tappuah, one; the king of Hepher, one;
mfalme wa Tapua, mfalme wa Heferi,
18 the king of Aphek, one; the king of Lasharon, one;
mfalme wa Afeki, mfalme wa Lasharoni,
19 the king of Madon, one; the king of Hazor, one;
mfalme wa Madoni, mfalme wa Hazori,
20 the king of Shimron, one; the king of Achshaph, one;
mfalme wa Shimroni - Meroni, mfalme wa Akshafu.
21 the king of Taanach, one; the king of Megiddo, one;
mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,
22 the king of Kadesh, one; the king of Jokneam of Carmel, one;
mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Jokineamu katika Karmeli,
23 the king of Dor and of the province of Dor, one; the king of the nations of Gilgal, one;
mfalme wa Dori katika Nafutali Dori, mfalme Goyimu katika Giligali, na
24 the king of Tirzah, one. All the kings were thirty-one.
mfalme Tiriza. Hesabu ya wafalme ilikuwa ni thelathini na moja kwa ujumla wake.