< Isaiah 19 >
1 The burden of Egypt. Behold, the Lord will ascend upon a lofty cloud, and he will enter into Egypt, and the false images of Egypt will be moved before his face, and the heart of Egypt will waste away in its midst.
Tamko kuhusu Misri. Ona, Yahwe atasafiri katika mawimbi mepesi na anakuja Misri; Sanamu za Misri zitatemeka mbele yake, na mioyo ya Wamisri itayeyuka ndani yao wenyewe.
2 And I will cause Egyptian to rush against Egyptian. And they will fight: a man against his brother, and a man against his friend, city against city, kingdom against kingdom.
Nitawachanganya Wamisri juu dhidi ya Wamisiri: Mtu atapigana dhidi ya ndugu yake, mji dhidi ya miji, na ufalme dhidi ya ufalme.
3 And the spirit of Egypt will be ruptured to its very core. And I will cast down their plan violently. And they will seek answers from their false images, and their diviners, and those led by demons, and their seers.
Roho ya Misri itadhohofishwa kutoka ndani. Nitauharibu ushauri wake, japo wanafikiria ushauri wa sanamu, roho za watu waliokufa, na mizimu, na
4 And I will deliver Egypt into the hand of cruel masters, and a strong king will dominate them, says the Lord, the God of hosts.
Nitawacha Wamisiri kwenye mikono ya viongozi wakatili, kiongozi imara atawaongoza wao- Hili ni tamko la Yahwe Bwana wa majehi.''
5 And the waters of the sea will dry up, and the river will be desolate and dry.
Maji ya bahari yatakauka juu, na mto uakauka na kuwa mtupu.
6 And the rivers will fail. The streams of its banks will diminish and dry up. The reed and the bulrush will wither away.
Mito itakuwa michafu; mikondo ya Misri itakuwa dhii na kukauka; mwanzi na bendera zake zitapeperushwa mbali.
7 The channel of the river will be stripped down to its source, and everything irrigated by it will dry up and wither and be no more.
Mianzi ya Nile, kwa mdomo wa mto Nile, na mbegu zote zitakazo katika mashamba ya Nilezitakauka zote, zitageuka kuwa mavumbi, na kupeperukia mbali.
8 And the fishermen will grieve. And all who cast a hook into the river will mourn. And those who cast a net upon the surface of its waters will languish.
Wavuvi watalia na kuomboleza, na wale watakao shusha neti kwenye maji watauzunika.
9 Those who work with linen, combing and weaving fine textiles, will be confounded.
Wafanyakazi ya kuchana kitani watafaidika na hao washonao nguo nyeupe watajeuka kuwa mchonaji.
10 And its irrigated places will begin to fail, with all those who make pools to take fish.
Washona nguo wa Misri wataangamizwa; na wote waloajiriwa watahuzunika nafsini mwao.
11 The leaders of Tanis are foolish. The wise counselors of Pharaoh have given foolish counsel. How can you say to Pharaoh: “I am the son of wise men, the son of the kings of antiquity?”
Wakuu wa Zoana ni wajinga kabisa. Washauri wenye busara wa Farao ni wapumbavu. Unawezaje kumwambia Farao, ''Mimi ni mtoto wa watu wenye busara,
12 Where are your wise men now? Let them announce it to you, and let them reveal what the Lord of hosts intends for Egypt.
''Wako wapi hao watu wenye busara? mtoto wa mfalme wa zamani? Waache wakuambie? na ijulikane kitu ambacho Yahwe wa majeshi amekipanga kuhusiana na Misri.
13 The leaders of Tanis have become foolish. The leaders of Memphis have decayed. They have deceived Egypt, the corner of its people.
Wakuu wa Zoani wamekuwa wajinga, wakuu wa Memphisi wamegawanyika; wameifanya Misri iende kinyume, na mawe ya pembeni ya makabila yao.
14 The Lord has mixed a spirit of giddiness into its midst. And they have caused Egypt to err in all its works, like a drunken man who staggers and vomits.
Yahwe amechanganya roho wa kuvurugwa katika yao, na wamefanya Wamisri kwenda kinyume kwa yote wanoyafanya, kama mlevi anavyoyumbayumba uku akitapika.
15 And there will be no work for Egypt that would produce a head or a tail, one who bows down or one who refrains from bowing down.
Hakuna kitu ambacho mtu yeyote anaweza kukifanya kwa ajili ya Misri, kama kichwa au mkia, tawi au mwanzi.
16 In that day, Egypt will be like women, and they will be stupefied and fearful before the presence of the shaking hand of the Lord of hosts, the hand which he will move over them.
Siku hiyo, Wamisri watakuwa kama wanawake. watatemeka na kuogopa mkono wa Yahwe wa majeshi ulioinuliwa juu yao.
17 And the land of Judah will be a dread to Egypt. Everyone who thinks about it will be terrified before the presence of the plan of the Lord of hosts, the plan which he has decided concerning them.
Nchi ya Yuda itakuwa sababu ya utisho kwa Misri. Yeyote atakao wakumbusha wao kuhusu yeye, wataogopa sana, kwa sababu ya mpango wa Yahwe, anaoukusudia juu yao.
18 In that day, there will be five cities in the land of Egypt which speak the language of Canaan, and which swear by the Lord of hosts. One will be called the City of the Sun.
Siku hiyo kutakuwa na miji mitano katika nchi ya Misri wanaozungumza lugha ya Kanaani na kuapa kimtii Yahwe wa majeshi. Moja kati ya miji hii itaitwa mji wa ulioharibiwa.
19 In that day, there will be an altar of the Lord in the midst of the land of Egypt and a monument of the Lord beside its borders.
Siku hiyo kutakuwa madhabahu kwa ajili ya Yahwe katika ya nchi ya Misri, na jiwe la chumvi karibu na Yahwe.
20 This shall be a sign and a testimony to the Lord of hosts in the land of Egypt. For they will cry out to the Lord before the face of the tribulation, and he will send them a savior and a defender who will free them.
Itakuwa kama ishara na ushahidi kwa Yahwe wa majeshi katika nchi ya Misri. Atawatumia mkombozi na mlinzi, na atawokoa wao.
21 And the Lord will be acknowledged by Egypt, and the Egyptians will recognize the Lord in that day, and they will worship him with sacrifices and gifts. And they will make vows to the Lord, and they will fulfill them.
Yahwe atajulikana Misri, na Wamisri watamkubali Yahwe siku hiyo. Watamuabudu kwa sadaka na matoleo, na wataweka agano na kulitimiza.
22 And the Lord will strike Egypt with a scourge, and he will heal them. And they will return to the Lord. And he will be placated toward them, and he will heal them.
Yahwe ataipga Misri, ataipiga na kuiponya. Halafu watamrudia Yahwe; atasikiliza maombi yao na kuwaponya.
23 In that day, there will be a way from Egypt to the Assyrians, and the Assyrian will enter into Egypt, and the Egyptian will be with the Assyrians, and the Egyptians will serve Assur.
Siku hiyo kutakuwa na njia kuu kutoka Misri kwenda Asiria, na Waasira watakuja Misri, na Wamisri watakwenda Asira; na Wamisri wataabudu pamoja na Waasiria.
24 In that day, will Israel be the third to the Egyptian and the Assyrian, a blessing in the midst of the earth,
Siku hiyo, Israeli itakuwa ya tatu pamoja na Misri na Asiria, baraka katikati ya nchi;
25 which the Lord of hosts has blessed, saying: Blessed be my people of Egypt, and the work of my hands for the Assyrian, but Israel is my inheritance.
Yahwe wa majeshi atawabariki na kusema, '' wabarikiwe Wamisri, watu wangu; Wasiria, kazi ya mikono yangu; na Israeli urithi wangu.