< Ezra 9 >
1 Then, after these things were completed, the leaders came to me, saying: “The people of Israel, the priests, and the Levites, have not been separated from the peoples of the lands and from their abominations, especially those of the Canaanites, and Hittites, and Perizzites, and Jebusites, and Ammonites, and Moabites, and Egyptians, and Amorites.
Kipindi mambo hayo yanatendeka, wakuu wakaja kwangu na kuniambia,”Watu wa Israel, Makuhani na walawi hawakuweza kujitenga wenyewe kutoka kwa watu wa nchi zingine na maovu yao: Wakanaani, Wahiti, Waperuzi, wayebusi, Waamoni, Wamoabu, Wamisri na Waamori.
2 For they have taken from their daughters for themselves and for their sons, and they have mixed a holy lineage with the peoples of the lands. And even the hand of the leaders and the magistrates has been first in this transgression.”
Kwa kuwa wamewachukua baadhi ya binti na watoto wa kiume, wamejichanganya watu watakatifu na watu wa nchi nyingine na wakuu na viongozi wamekuwa wa kwanza katika imani hii potofu.
3 And when I had heard this word, I tore my cloak and my tunic, and I pulled out the hairs of my head and beard, and I sat in mourning.
Niliposikia haya, nikachana nguo zangu na kanzu na kunyoa nywele kichwani na ndevu na nikakaa chini kutafakari.
4 Then all those who feared the word of the God of Israel gathered to me, because of the transgression of those who had arrived from the captivity. And I sat in sorrow, until the evening sacrifice.
Na wale wote waliotetemeka kwa neno la Mungu wa Israel kuhusu imani potofu walikusanyika kwangu wakati nimakaa chini nikiwa na aibu hadi kufikia kipindi cha sadaka za jioni.
5 And at the evening sacrifice, I rose up from my affliction, and, having torn my cloak and my tunic, I fell to my knees, and I reached out my hands to the Lord, my God.
Lakini katika sadaka ya jioni nikasimama kwenye nafasi yangu nikiwa mnyenyekevu na nguo ilichanika na kanzu, na nikapiga magoti na kunyoosha mikono yangu kwa Yahwe Mungu wangu. Nikasema
6 And I said: “My God, I am confounded and ashamed to lift up my face to you. For our iniquities have been multiplied over our heads, and our offenses have increased, even up to heaven,
“Mungu wangu, nina aibu na sistahili kuinua uso wangu kwako, makosa yetu yamekuwa hadi kuvuka kichwani na maovu yetu yameongezeka kufika mbinguni.
7 from the days of our fathers. But also, we ourselves have sinned gravely, even to this day. And for our iniquities, we ourselves, and our kings and our priests, have been delivered into the hands of the kings of the lands, and to the sword, and to captivity, and to plunder, and to confusion of face, just as it is also in this day.
Kuanzia siku ya watangulizi wetu mpaka sasa tumekuwa katika maovu makuu. Makosa yetu, viongozi, makuhani, walikuwa katika mikono ya mfalme wa dunia hii, katika upanga, matekani na kunyanyaswa na tuna aibu ya uso hata leo.
8 And now, to a small extent and for a moment, our petition has been made with the Lord our God, so that they may leave us a remnant, and so that a secure place in his holy land may be given to us, and so that our God may illuminate our eyes, and may give us a little life in our servitude.
sasa kwa kipindi kifupi, neema kutoka kwa Yahwe Mungu wetu imekuja kutuacha mabaki wachache na kutupa kuhimmili sehemu takatifu. Hii ilikuwa ni kwa ajili ya Mungu wetu kututia nuru macho yetu na kutupa unafuuu sisi tulio watumwa.
9 For we are servants, yet in our servitude our God has not forsaken us, but he has inclined mercy upon us in the sight of the king of the Persians, so that he may give us life, and may raise up the house of our God, and repair its desolations, and give us a hedge in Judah and Jerusalem.
Kwa kuwa sisi tu watumwa, lakini Mungu bado hajatusahau lakini ameongeza agano la uaminifu kwetu, ameyatenda haya mbele ya macho ya mfalme wa Uajemi ili kwamba haweze kutupatia nguvu mpya. Ili kwamba tuweze kujenga nyumba ya Mungu na tuweze kuondoa majuto. Alitenda hayo ili kwamba aweze kutupatia msingi wa usalama katika Yuda na Yerusalem.
10 And now, our God, what should we say after these things? For we abandoned your commandments,
Lakini sasa Mungu wetu, tuseme nini baaada ya haya? Tumesahau amri zako.
11 which you instructed by the hand of your servants, the prophets, saying: ‘The land, which you shall enter so that you may possess it, is an unclean land, due to the uncleanness of the peoples and of the other lands, the abominations of those who have filled it, from mouth to mouth, with their filth.’
amri ambazo uliwapa manabii watumishi wako, pale uliposema, “Nchi hii mnayoingia kuimiliki ni nchi chafu. Imechanganyikana na watu wasio na utaratibu. ameenea kutoka sehemu moja hadi nyingine kwa uchafu wao.
12 Now therefore, you should not give your daughters to their sons, nor should you receive their daughters for your sons. And you should not seek their peace, nor their prosperity, even forever. So shall you be strengthened, and so shall you eat the good things of the land, and have your sons as your heirs, even for all time.
Hivyo sasa, msiwape binti zenu kwa watoto wao, msichukue binti zao kwa ajili ya watoto wenu, msitafute amani kwao na fadhili, ili kwamba muweze kuwa imara na kula vizuri vya nchi, hivyo utasababisha watoto wenu kumiliki kwa wakati wote.”
13 And after all that has happened to us because of our very wicked works and our great offense, you, our God, have freed us from our iniquity, and you have given us salvation, just as it is this day,
Baada ya yote kutokea kwetu kwa sababu ya uovu wetu na makosa yetu makuu, tokea hapo, Mungu wetu, hukutazama makosa yetu na kutuadhibu tulivyostahili na ukatuacha kama mabaki.
14 so that we would not turn away and make your commandments void, and so that we would not unite in marriage with the peoples of these abominations. Could you be angry with us even to the very end, so that you would not leave us a remnant to be saved?
Tunaweza kuvunja tena amri zako na kuingiliana katika ndoa, na hawa watu wasiofuata utaratibu? Je hautachukia na kututowesha sote hakuna wa kubaki, hakuna wa kutoroka?
15 O Lord, the God of Israel, you are just. For we have been left behind to be saved, just as it is this day. Behold, we are before your sight in our offense. And it is not possible to withstand you in this matter.”
Yahwe, Mungu wa Israel, wewe ni mwenye haki, kwa kuwa tumebaki wachache mabaki hadi siku ya leo. Tazama, tuko mbele yako na makosa yetu, kwa kuwa hakuna hata mmoja anayeweza kusimama mbele kwa sababu ya hili.