< 1 Samuel 3 >
1 Now the boy Samuel was ministering to the Lord before Eli, and the word of the Lord was precious in those days; there was no manifest vision.
Yule mtoto Samweli alimtumikia BWANA chini ya uangalizi wa Eli. Neno la BWANA halikupatikana kwa wingi siku hizo; hapakuwa na maono ya mara kwa mara ya kinabii.
2 Then it happened that, on a certain day, Eli was lying in his place. And his eyes had dimmed, so that he was unable to see.
Wakati huo, nguvu ya macho ya Eli ilikuwa imefifia kiasi cha kutoweza kuona vizuri, na alikuwa amelala kitandani mwake.
3 And so, to prevent the lamp of God from going out, Samuel was sleeping in the temple of the Lord, where the ark of God was.
Ile taa ya BWANA bado ilikuwa bado inawaka, na Samweli alikuwa amelala katika nyumba ya BWANA, palipokuwa na sanduku la Mungu.
4 And the Lord called Samuel. And responding, he said, “Here I am.”
BWANA akamwita Samweli, naye akaitika, “Niko hapa”
5 And he ran to Eli, and he said, “Here I am. For you called me.” And he said: “I did not call. Return and sleep.” And he went away, and he slept.
Samweli alimwedea Eli na kusema, “Niko hapa, sababu uliniita.” Eli akasema, “Sikukuita; kalale tena.” Hivyo Samweli akarudi na kulala.
6 And again, the Lord continued to call to Samuel. And rising up, Samuel went to Eli, and he said: “Here I am. For you called me.” And he responded: “I did not call you, my son. Return and sleep.”
BWANA akamwita tena, “Samweli.” Saamweli aliamka tena na kwenda kwa Eli na kusema, Niko hapa, sababu umeniita.” Eli akajibu, “Sijakuita, mwanangu; kalale tu tena.” 8
7 Now Samuel did not yet know the Lord, and the word of the Lord had not been revealed to him.
Basi Samweli bado hakuwa na uzoefu kuhusu Bwana, wala hakuwahi kupata ujumbe wowote kutoka kwa BWANA ukifunuliwa kwake.
8 And the Lord continued, and he called to Samuel still a third time. And rising up, he went to Eli.
BWANA akamwita tena Samweli kwa mara ya tatu. Samweli alinyanyuka tena na kwenda kwa Eli na kusema, “Niko hapa, sababu uliniita,” Ndipo Eli alitambua kwamba BWANA alimwita kijana.
9 And he said: “Here I am. For you called me.” Then Eli understood that the Lord had called the boy. And he said to Samuel: “Go and sleep. And if he calls to you from now on, you will say, ‘Speak, Lord, for your servant is listening.’” Therefore, Samuel went away, and he slept in his place.
Kisha Eli aka, mwambia Samweli, “Nenda ukalale tena; ikiwa atakuita tena, sharti useme, 'Sema, BWANA, maana mtumwa wako anasikiliza.”' Hivyo Samweli akaenda na kulala mahali pake tena.
10 And the Lord came, and stood, and he called, just as he had called the other times, “Samuel, Samuel.” And Samuel said, “Speak, Lord, for your servant is listening.”
BWANA alikuja na kusimama; akaita vilevile kama vile mwanzoni, “Samweli, Samweli.” Ndipo Samweli akasema, “Nena, kwa sababu mtumwa wako anasikiliza.”
11 And the Lord said to Samuel: “Behold, I am accomplishing a word in Israel. Whoever will hear about it, both his ears will ring.
BWANA akasema na Samweli, “Tazama, Niko tayari kufanya jambo katika Israeli ambalo masikio ya kila mmoja akisikia atashtuka. -14
12 In that day, I will raise up against Eli all the things that I have spoken over his house. I will begin, and I will finish.
Siku hiyo nitatimiza kila kitu nilichokisema dhidi ya Eli kuhusu nyumba yake, kutoka mwanzo hadi mwisho.
13 For I have foretold to him that I will judge his house unto eternity, because of iniquity. For he had known that his sons acted shamefully, and he did not chastise them.
Nimemwambia kwamba niko tayari kuhukumu nyumba yake mara moja kwa ile dhambi aliyoifahamu, kwa sababu watoto wake walijiletea laana juu yao wenyewe na hakuwazuia.
14 For this reason, I have sworn to the house of Eli that the iniquity of his house will not be expiated, with victims or with gifts, even forever.”
Hii ndiyo sababu nimeapa kwa nyumba ya Eli, kwamba dhambi za nyumba yake hazitasahehewa kwa dhabihu au kwa sadaka kamwe.” 16
15 Then Samuel slept until morning, and he opened the doors of the house of the Lord. And Samuel was afraid to tell the vision to Eli.
Samweli akalala hadi asubuhi; baadaye alifungua milango ya nyumba ya BWANA. Lakini Samweli aliogopa kumwambia Eli kuhusu maono hayo.
16 Then Eli called Samuel, and he said, “Samuel, my son?” And responding, he said, “I am here.”
Kisha Eli akamwita Samweli na kusema, “Samweli, mwanangu.” Samweli akasema, “Niko hapa.” 18
17 And he questioned him: “What is the word that the Lord has spoken to you? I beg you that you may not conceal it from me. May God do these things to you, and may he add these other things, if you hide from me one word out of all the things that were told to you.”
Akamuuliza, “Ni neno gani alilokusemesha? Tafadhali usinifiche jambo hilo. Mungu akutendee hivyo na kukuzidishia, endapo utanificha kitu chochote kati ya yote ambayo amesema nawe.”
18 And so, Samuel revealed to him all the words, and he did not hide them from him. And he responded: “He is the Lord. May he do what is good in his own eyes.”
Samweli akamweleza kila kitu; hakumficha jambo lolote. Eli akasema, “Ni BWANA. Na afanye linaloonekana jema kwake.”
19 And Samuel grew up, and the Lord was with him, and not one of his words fell to the ground.
Samweli akakua, na BWANA alikuwa pamoja naye na hakuacha kutimiza maneno yake ya unabii.
20 And all of Israel, from Dan even to Beersheba, knew Samuel to be a faithful prophet of the Lord.
Israeli yote tokea Dani hadi Beersheba walijua kwamba Samweli aliteuliwa kuwa nabii wa BWANA.
21 And the Lord continued to appear in Shiloh. For the Lord had revealed himself to Samuel at Shiloh, according to the word of the Lord. And the word about Samuel went forth to all of Israel.
Naye BWANA alionekana tena huko Shilo, maana alijifunua mwenyewe kwa Samweli huko Shilo kwa neno lake.