< Psalms 114 >
1 Alleluia. At the going forth of Israel from Egypt, of the house of Jacob from a barbarous people,
Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
2 Judea became his sanctuary, [and] Israel his dominion.
Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
3 The sea saw and fled: Jordan was turned back.
Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
4 The mountains skipped like rams, and the hills like lambs.
Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
5 What [ailed] you, O sea, that you fled? and you Jordan, that you were turned back?
Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
6 [You] mountains, that you skipped like rams, and [you] hills, like lambs?
Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
7 The earth trembled at the presence of the Lord, at the presence of the God of Jacob;
Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
8 who turned the rock into pools of water, and the flint into fountains of water.
Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.