< Jezekiel 15 >

1 And the word of the Lord came to me, saying,
Kisha neno la Yahwe likanijia, liksema,
2 And you, son of man—of all the wood, of the branches that are amongst the trees of the forest, what shall be made of the wood of the vine?
“Mwanadamu, je ni jisni gani mzabibu ulivo bora kuliko mti na matawi yaliyomo kwenye miti katika msitu?
3 Will they take wood of it to make [it fit] for work? will they take of it a peg to hang any vessel upon it?
Je watu huwa wanachukua mbao kutoka kwenye mzabbibu kufanyia chochote? au huwa wanatengenezea vitu kutokana na huo kuning'iniza chochote juu ya huo?
4 It is only given to the fire to be consumed; the fire consumes that which is yearly pruned of it, and it is utterly gone. Will it be useful for [any] work?
Tazama! Kama umetupwa kwenye moto kama kuni, na kama moto umezichoma ncha zake zote na katikati pia, je unafaa kwa chochote?
5 Not even while it is yet whole will it be [useful] for [any] work: if the fire shall have utterly consumed it, will it still be [fit] for work?
Tazama! Wakati ulipokuwa umekamilika, haukuweza kufanya chochote; kisha hakika, wakati moto ulipouchoma, lakini bado haukuweza kutengeneza kitu chochote kwa ajili ya matumizi yoyote.
6 Therefore say, Thus says the Lord, As the vine tree amongst the trees of the forest, which I have given up to the fire to be consumed, so have I given up the inhabitants of Jerusalem.
Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: haufanani na miti katika misitu, niliyoitoa mzabibu kama kuni kwa moto; nitatenda vivyo hivyo mbele ya wakaao Yerusalemu.
7 And I will set my face against them; they shall go forth of the fire, and [yet] fire shall devour them; and they shall know that I am the Lord, when I have set my face against them.
Kwa kuwa nitauweka uso wangu juu yao. Ingawa watatoka kutoka kwenye moto, bado moto utawala; hivyo mtajua kwamba mimi ni Yahwe, wakati nitakapoona uso wangu juu yenu.
8 And I will give up the land to ruin, because they have utterly transgressed, says the Lord.
Kisha nitaifanya nchi kuwa ukiwa kwa sababu wamefanya dhambi-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”

< Jezekiel 15 >