< Jeremias 5 >

1 Run ye about in the streets of Jerusalem, and see, and know, and seek in her broad places, if ye can find [one], if there is any one that does judgment, and seeks faithfulness; and I will pardon them, saith the Lord.
Kimbieni mkapite katika mitaa ya Yerusalemu, Tafuteni katika viwanja vyake. Kama mtaweza kumpata hata mtu mmoja anayetenda kwa haki na kufanya kwa uaminifu, basi nitaisamehe Yerusalemu.
2 The Lord lives, they say; do they not therefore swear falsely?
Hata kama wanasema, 'Kama BWANA aishivyo,' wanaapa uongo.”
3 O Lord, thine eyes are upon faithfulness: thou hast scourged them, but they have not grieved; thou hast consumed them; but they would not receive correction: they have made their faces harder than a rock; and they would not return.
BWANA, macho yako hayatazami uaminifu? Unawapiga watu, lakini hawasikii maumivu. Umewaangsmiza kabisa, lakini bado wanakataa kuwa waadilifu. Wanafanya nyuso zao kuwa ngumu kama mwamba. kwa kuwa wanakataa kutubu.
4 Then I said, It may be they are poor; for they are weak, for they know not the way of the Lord, or the judgment of God.
Kwa hiyo nilisema, “Hakika hawa ni watu masikini, Ni wapumbavu, Kwa kuwa hawazijui njia za BWANA, wala maagizo ya Mungu wao.
5 I will go to the rich men, and will speak to them; for they have known the way of the Lord, and the judgment of God: but, behold, with one consent they have broken the yoke, they have burst the bonds.
Nitaenda kwa watu wa muhimu na kutangaza ujumbe wa Mungu kwao, kwa kuwa angalau wanazijua njia za BWANA, maagizo ya Mungu wao. Lakini wote wanavunja nira yao pamoja; wote wanaivunja ile minyororo inayowafunga kwa ajili ya Mungu.
6 Therefore has a lion out of the forest smitten them, and a wolf has destroyed them even to [their] houses, and a leopard has watched against their cities: all that go forth from them shall be hunted: for they have multiplied their ungodliness, they have strengthened themselves in their revoltings.
Kwa hiyo simba kutoka mwituni atawavamia. Mbweha kutoka Arabaha atawaangamiza. Chui ataivunja miji yao. Mtu yeyota anayeenda nje ya mji wake atavunjwavunjwa. Kwa kuwa maovu yao yameongezeka. Matendo yao ya uasi hayana ukomo.
7 In what [way] shall I forgive thee for these things? Thy sons have forsaken me, and sworn by them that are no gods: and I fed them to the full, and they committed adultery, and lodged in harlots' houses.
Kwa nini niwasamehe hawa watu? Wana wenu wameniacha na wamefanya viapo na wale ambao si miungu. Niliwalisha vya kutosha, lakini wamefanya uasherati na kuchukua alama za nyumba ya uzinzi.
8 They became as wanton horses: they neighed each one after his neighbour's wife.
Walikuwa farasi wanaotafuta kupandwa. Walitembea huku na huku wakitafutwa kupandwa. Kila mwanamume alimkaribia mke wa jirani yake.
9 Shall I not visit for these things? saith the Lord: and shall not my soul be avenged on such a nation as this.
Kwa hiyo kwa nini nisiwaadhibu - asema BWANA - na kwa nini nisijilipizie kisasi juu ya taifa kama hili?
10 Go up upon her battlements, and break [them] down; but make not a full end: leave her buttresses: for they are the Lord's.
Nenda hadi kwenye kuta za shamba lake la mizabibu na zihariibuni. Lakini wao msiwaharibu kabisa. Ondoeni matawi kwa sababu hayatoki kwa BWANA.
11 For the house of Israel have indeed dealt treacherously against me, saith the Lord: the house of Juda also
Kwa sababu nyumba ya Yuda na Israeli wamenisaliti kabisa - asema BWANA -
12 have lied to their Lord, and they have said, These things are not so; no evils shall come upon us; and we shall not see sword or famine.
na wamenikataa. Wanasema, ''Yeye si halisi. Maovu hayawezi kutupata, wala hatutaona upanga wala njaa.
13 Our prophets became wind, and the word of the Lord was not in them.
Kwa kuwa manabii wamekuwa si kitu kama upepo na hakuna mtu mwiingine wa kunena ujumbe wa BWANA kwetu. Vitisho vyao na viwjie wao wenyewe.”'
14 Therefore thus saith the Lord Almighty, Because ye have spoken this word, behold, I have made my words in thy mouth fire, and this people wood, and it shall devour them.
Kwa hiyo BWANA, Mungu wa majeshi asema hivi, tazama nataka kuweka maneno yangu katika kinywa chako. Yatakuwa kama moto na watu hawa watakuwa kama kuni! Kwa kuwa utawaramba.
15 Behold, I [will] bring upon you a nation from far, O house of Israel, saith the Lord; a nation the sound of whose language one shall not understand.
Tazama nataka kuleta taifa dhidi yenu kutoka mbali, enyi nyumba ya Israeli - asema BWANA - ni taifa linalodumu, taifa la kale! Ni taifa ambalo lugha yake hamuijui, wala hamtaelewa wasemacho.
16 [They are] all mighty men:
Podo lao ni kaburi wazi. Wote ni wanajeshi.
17 and they shall devour your harvest, and your bread; and shall devour your sons, and your daughters; and they shall devour your sheep, and your calves, and devour your vineyards, and your fig-plantations, and your olive yards: and they shall utterly destroy your strong cities, wherein ye trusted, with the sword.
Kwa hiyo mavuno yako yataliwa, wana wako na binti zako pia, na chakula chako. Watakula kondoo wako na ng'ombe wako, watakula matunda ya zabibu zako na ya mitiini. Wataiangusha chini miji yenu na boma zake ambazo mnazitumainia.
18 And it shall come to pass in those days, saith the Lord thy God, that I will not utterly destroy you.
Lakini hata katika siku hizo - asema BWANA - sikusudii kuwaharibu kabisa.
19 And it shall come to pass, when ye shall say, Wherefore has the Lord our God done all these things to us? that thou shalt say to them, Because ye served strange gods in your land, so shall ye serve strangers in a land that is not yours.
Itatokea kwenu, ninyi Yuda na Israeli, mkisema, 'Kwa nini BWANA, Mungu wetu ametufanyia haya yote?' kwamba wewe Yeremia, utawaambia, 'Kama vile mlivyomwacha BWANA na kuabudu miungu mingine katika nchi yenu, vivyo hivyo mtawatumikia wageni katika nchi ambayo si yenu.'
20 Proclaim these things to the house of Jacob, and let them be heard in the house of Juda.
Waambia haya watu wa nyumba ya Yakobo na yasikike katika Yuda. Waambie,
21 Hear ye now these things, O foolish and senseless people; who have eyes, and see not; and have ears, and hear not:
'Sikilizeni hili, eny watu wapumbavu! Sanamu hazina matakwa; zina masikio lakini haziwawezi kusikia.
22 will ye not be afraid of me? saith the Lord; and will ye not fear before me, who have set the sand for a bound to the sea, [as] a perpetual ordinance, and it shall not pass it: yea, it shall rage, but not prevail; and its waves shall roar, but not pass over it.
Je, hamnihofu mimi - asema BWANA - au kutetemeka mbele ya uso wangu? Nimeweka mpaka wa mchanga kwenye bahari, ambao ni agizo la kudumu ambalo halibomoki - hata kama bahari ina kupwa na kujaa, bado hauwenzi kubomoka. Hata kama mawimbi yake yanaunguruma, hayawezi kuvuka.
23 But this people has a disobedient and rebellious heart; and they have turned aside and gone back:
Lakini hawa watu wana mioyo ya usumbufu. Hugeuka kuwa wapinzani na kuondoka.
24 and they have not said in their heart, Let us fear now the Lord our God, who gives us the early and latter rain, according to the season of the fulfillment of the ordinance of harvest, and has preserved [it] for us.
Kwa kuwa hawasemi mioyoni mwao, “basi na tumche BWANA, Mungu wetu, yeye aletaye mvua za awali na mvua za vuli - kwa wakati wake, ambaye hutuzna majuma ya mavuno kwa ajili yetu.”
25 Your transgressions have turned away these things, and your sins have removed good things from you.
uovu wako umezuia haya yasitokee. Dhambi zako zimeyazuia mambo mema yasitokee.
26 For among my people were found ungodly men; and they have set snares to destroy men, and have caught [them].
Kwa watu waovu wamo kati ya watu wangu. Wanatazama kama mtu anayenyatia ili kukamata ndege; wanaweka mitego na kukamata watu;
27 As a snare which has been set is full of birds, so are their houses full of deceit: therefore have they grown great, and become rich:
Kama tundu la mtego lijaavyo ndege, nyumba zao zimejaa uongo. Kwa hiyo wanakua na kutajirika.
28 and they have transgressed [the rule of] judgment; they have not judged the cause of the orphan, nor have they judged the cause of the widow.
Wamenenepa; wanang'aa na kupendeza. Wamepitiliza hata mipika ya maovu. Wala hawajali sababu ya kuwepo kwa watu na wala uwepo wa yatima. Wanafanikiwa hata kama hawatoi hukumu ya haki kwa yatima.
29 Shall I not visit for these things? saith the Lord: and shall not my soul be avenged on such a nation as this?
Kwa nini nisiwadhibu kwa sababu ya haya - asema BWANA - sitajilipizia kisasi juu ya taifa la namna hii?
30 Shocking and horrible deeds have been done on the land;
Jambo la ajabu na la kuchukiza limetokea katika nchi hii.
31 the prophets utter unrighteous prophecies, and the priests have clapped their hands: and my people has loved [to have it] thus: and what will ye do for the future.
Mananbii wanatabiri kwa uongo, na makuhani wanatwala kwa msaada wa wa hao. Watu wangu wanapenda mambo ya hivyo, lakini mwisho kitatokea nini?

< Jeremias 5 >