< Psalms 120 >
1 A Song of the going up. In my trouble my cry went up to the Lord, and he gave me an answer.
Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
2 O Lord, be the saviour of my soul from false lips, and from the tongue of deceit.
Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
3 What punishment will he give you? what more will he do to you, you false tongue?
Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
4 Sharp arrows of the strong, and burning fire.
Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
5 Sorrow is mine because I am strange in Meshech, and living in the tents of Kedar.
Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
6 My soul has long been living with the haters of peace.
Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
7 I am for peace: but when I say so, they are for war.
Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.