< Psalms 3 >
1 A Psalm of David, when he fled from his son Absalom. O LORD, how my foes have increased! How many rise up against me!
Yahewh, maadui zangu wako wangapi! Ni wengi wamekuja kinyume na mimi.
2 Many say of me, “God will not deliver him.”
Ni wengi wanaonisema, “Hakuna msaada wowote kutoka kwa Mungu kwa ajili yake.” (Selah)
3 But You, O LORD, are a shield around me, my glory, and the One who lifts my head.
Bali wewe, Yahweh, u ngao yangu pande zote, utukufu wangu, na uniinuaye kichwa changu.
4 To the LORD I cry aloud, and He answers me from His holy mountain.
Nampazia Yahweh sauti yangu, na yeye ananijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.
5 I lie down and sleep; I wake again, for the LORD sustains me.
Nilijilaza chini na kusinzia; na niliamka, kwa kuwa Yahweh alinilinda.
6 I will not fear the myriads set against me on every side.
Sitaogopa kusanyiko la watu ambao wamejipanga kinyume na mimi pande zote.
7 Arise, O LORD! Save me, O my God! Strike all my enemies on the jaw; break the teeth of the wicked.
Inuka, Yahweh! Uniokoe, Mungu wangu! Kwa kuwa utawapiga maadui zangu wote kwenye taya zao; utayavunja meno ya waovu.
8 Salvation belongs to the LORD; may Your blessing be on Your people.
Wokovu unatoka kwa Yahweh. Baraka zako ziwe juu ya watu wako.