< Nehemiah 7 >

1 When the wall had been rebuilt and I had set the doors in place, the gatekeepers, singers, and Levites were appointed.
Wakati ukuta ulipomalizika na milango nimekwisha kuisimamisha, na walinzi wa malango na waimbaji na Walawi walikuwa wamechaguliwa,
2 Then I put my brother Hanani in charge of Jerusalem, along with Hananiah the commander of the fortress, because he was a faithful man who feared God more than most.
nikampa ndugu yangu Hanani kuwa na amri juu ya Yerusalemu, pamoja na Hanania ambaye alikuwa msimamizi wa kijiji, kwa kuwa alikuwa mwaminifu na alimuogopa Mungu zaidi kuliko wengi.
3 And I told them, “Do not open the gates of Jerusalem until the sun is hot. While the guards are on duty, keep the doors shut and securely fastened. And appoint the residents of Jerusalem as guards, some at their posts and some at their own homes.”
Nami nikawaambia, Msifungue malango ya Yerusalemu mpaka jua litakapokuwa kali. Wakati walinzi wa mlango wanalinda, unaweza kufunga milango na kuikaza. Chagua walinzi kutoka kwa wale wanaoishi Yerusalemu, wengine mahali pa kituo chao cha ulinzi, na wengine mbele ya nyumba zao wenyewe.
4 Now the city was large and spacious, but there were few people in it, and the houses had not yet been rebuilt.
Sasa jiji lilikuwa pana na kubwa, lakini kulikuwa na watu wachache ndani yake, na hakuna nyumba zilizojengwa tena.
5 Then my God put it into my heart to assemble the nobles, the officials, and the people to be enrolled by genealogy. I found the genealogical register of those who had first returned, and I found the following written in it:
Mungu wangu aliweka moyoni mwangu, kuwakusanya pamoja wakuu, maafisa, na watu kuwaandikisha katika familia zao. Nilipata Kitabu cha kizazi cha wale ambao walirudi kwanza na nikaona kwamba imeandikwa humo.
6 These are the people of the province who came up from the captivity of the exiles carried away to Babylon by Nebuchadnezzar its king. They returned to Jerusalem and Judah, each to his own town,
Hawa ndio watu wa jimbo ambao walikwenda kutoka kwenye uhamisho wa wale waliohamishwa ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwachukua mateka. Wakarudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenda kwenye mji wake.
7 accompanied by Zerubbabel, Jeshua, Nehemiah, Azariah, Raamiah, Nahamani, Mordecai, Bilshan, Mispereth, Bigvai, Nehum, and Baanah. This is the count of the men of Israel:
Walikuja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana. Idadi ya wana wa Israeli ilikuwa.
8 the descendants of Parosh, 2,172;
Wana wa Paroshi, 2, 172.
9 the descendants of Shephatiah, 372;
Wana wa Shefatia, 372.
10 the descendants of Arah, 652;
Wana wa Ara, 652.
11 the descendants of Pahath-moab (through the line of Jeshua and Joab), 2,818;
Wana wa Pahath Moabu,
12 the descendants of Elam, 1,254;
kwa wana wa Yeshua na Yoabu, 2, 818.
13 the descendants of Zattu, 845;
Wana wa Elamu, 1, 254.
14 the descendants of Zaccai, 760;
Wana wa Zatu, 845. Wana wa Zakai, 760.
15 the descendants of Binnui, 648;
Wana wa Binnui, 648.
16 the descendants of Bebai, 628;
Wana wa Bebai, 628.
17 the descendants of Azgad, 2,322;
Wana wa Azgadi, 2, 322.
18 the descendants of Adonikam, 667;
Wana wa Adonikamu, 667.
19 the descendants of Bigvai, 2,067;
Wana wa Bigwai, 2, 067.
20 the descendants of Adin, 655;
Wana wa Adini, 655.
21 the descendants of Ater (through Hezekiah), 98;
Wana wa Ateri, wa Hezekia, 98.
22 the descendants of Hashum, 328;
Wana wa Hashumu, 328.
23 the descendants of Bezai, 324;
Wana wa Besai, 324.
24 the descendants of Hariph, 112;
Wana wa Harifu, 112.
25 the descendants of Gibeon, 95;
Wana wa Gibeoni, 95.
26 the men of Bethlehem and Netophah, 188;
Watu kutoka Bethlehemu na Netofa, 188.
27 the men of Anathoth, 128;
Watu wa Anathothi, 128.
28 the men of Beth-azmaveth, 42;
Watu wa Beth Azmaweth, 42.
29 the men of Kiriath-jearim, Chephirah, and Beeroth, 743;
Watu wa Kiriath Yearimu, Kefira, na Beerothi, 743.
30 the men of Ramah and Geba, 621;
Watu wa Rama na Geba, 621.
31 the men of Michmash, 122;
Watu wa Mikmasi, 122.
32 the men of Bethel and Ai, 123;
Watu wa Betheli na Ai, 123.
33 the men of the other Nebo, 52;
Watu wa Nebo, 52.
34 the descendants of the other Elam, 1,254;
Watu wa Elamu wa pili, 1, 254.
35 the descendants of Harim, 320;
Watu wa Harimu, 320.
36 the men of Jericho, 345;
Watu wa Yeriko, 345.
37 the men of Lod, Hadid, and Ono, 721;
Watu wa Lodi, Hadidi, na Ono, 721.
38 and the descendants of Senaah, 3,930.
Watu wa Senaa, 3, 930.
39 The priests: the descendants of Jedaiah (through the house of Jeshua), 973;
makuhani Wana wa Yedaya (wa nyumba ya Yeshua), 973.
40 the descendants of Immer, 1,052;
Wana wa Imeri, 1, 052.
41 the descendants of Pashhur, 1,247;
Wana wa Pashuri, 1, 247.
42 and the descendants of Harim, 1,017.
Wana wa Harimu, 1, 017.
43 The Levites: the descendants of Jeshua (through Kadmiel, through the line of Hodevah ), 74.
Walawi, wana wa Yeshua, wa Kadmieli, wa Binui, wa Hodavia, 74.
44 The singers: the descendants of Asaph, 148.
Waimbaji wana wa Asafu; 148.
45 The gatekeepers: the descendants of Shallum, the descendants of Ater, the descendants of Talmon, the descendants of Akkub, the descendants of Hatita, and the descendants of Shobai, 138 in all.
Waliofungua mlango wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni; wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai, 138.
46 The temple servants: the descendants of Ziha, the descendants of Hasupha, the descendants of Tabbaoth,
Watumishi wa Hekalu wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi,
47 the descendants of Keros, the descendants of Sia, the descendants of Padon,
wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni,
48 the descendants of Lebanah, the descendants of Hagabah, the descendants of Shalmai,
wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Salmai,
49 the descendants of Hanan, the descendants of Giddel, the descendants of Gahar,
wana wa wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari.
50 the descendants of Reaiah, the descendants of Rezin, the descendants of Nekoda,
Wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda,
51 the descendants of Gazzam, the descendants of Uzza, the descendants of Paseah,
wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea,
52 the descendants of Besai, the descendants of Meunim, the descendants of Nephushesim,
wana wa Besai, wana wa Meunimu, wana wa Nefusimu.
53 the descendants of Bakbuk, the descendants of Hakupha, the descendants of Harhur,
Wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri,
54 the descendants of Bazlith, the descendants of Mehida, the descendants of Harsha,
wana wa Baslith, wana wa Mehida, wana wa Harsha,
55 the descendants of Barkos, the descendants of Sisera, the descendants of Temah,
wana wa Barkosi, wana wa Sisera, wana wa Tema,
56 the descendants of Neziah, and the descendants of Hatipha.
wana wa Nesia, wana wa Hatifa.
57 The descendants of the servants of Solomon: the descendants of Sotai, the descendants of Sophereth, the descendants of Perida,
Wana wa Sulemani, wana wa Sotai, wana wa Sofeereth, wana wa Peruda,
58 the descendants of Jaala, the descendants of Darkon, the descendants of Giddel,
wana wa Yaala, wana wa Darkoni, wana wa Gideli,
59 the descendants of Shephatiah, the descendants of Hattil, the descendants of Pochereth-hazzebaim, and the descendants of Amon.
wana wa Shefatia, wana wa Hatili, wana wa Pokerethi Sebaimu, wana wa Amoni.
60 The temple servants and descendants of the servants of Solomon numbered 392 in all.
Watumishi wote wa hekalu, na wana wa watumishi wa Sulemani, walikuwa 392.
61 The following came up from Tel-melah, Tel-harsha, Cherub, Addon, and Immer, but could not prove that their families were descended from Israel:
Hawa ndio watu waliokwenda kutoka Tel Mela, Tel harsha, Kerub, Addon, na Imeri. Lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba wao au jamaa za baba zao walikuwa wana wa Israeli,
62 the descendants of Delaiah, the descendants of Tobiah, and the descendants of Nekoda, 642 in all.
wana wa Delaya, wana wa Tobia, na wana wa Nekoda, 642.
63 And from among the priests: the descendants of Hobaiah, the descendants of Hakkoz, and the descendants of Barzillai (who had married a daughter of Barzillai the Gileadite and was called by their name).
Na kutoka kwa makuhani Wana wa Habaya, Hakosi, na Barzilai ( akamchukua mkewe kutoka kwa binti za Barzilai wa Gileadi na akaitwa kwa jina lao).
64 These men searched for their family records, but they could not find them and so were excluded from the priesthood as unclean.
Hawa walitafuta rekodi zao kati ya waliojiunga na kizazi chao, lakini hawakuweza kupatikana, kwa hivyo waliondolewa katika ukuhani kama walio najisi.
65 The governor ordered them not to eat the most holy things until there was a priest to consult the Urim and Thummim.
Naye mkuu wa gavana akawaambia wasiruhusiwe kula chakula cha makuhani kutoka kwenye dhabihu mpaka atakapoinuka kuhani mwenye Urimu na Thumimu.
66 The whole assembly numbered 42,360,
Kusanyiko lote lilikuwa 42, 360,
67 in addition to their 7,337 menservants and maidservants, as well as their 245 male and female singers.
isipokuwa watumishi wao wa kiume na watumishi wao wa kike, ambao walikuwa 7, 337. Walikuwa na wanaume na wanawake wa kuimba 245.
68 They had 736 horses, 245 mules,
Farasi zao zilikuwa 736 kwa idadi, nyumbu zao, 245,
69 435 camels, and 6,720 donkeys.
ngamia zao, 435, na punda zao, 6, 720.
70 Some of the heads of the families contributed to the project. The governor gave to the treasury 1,000 darics of gold, 50 bowls, and 530 priestly garments.
Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao walitoa zawadi kwa ajili ya kazi. Gavana alitoa sadaka ya darkoni elfu ya dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 ya makuhani.
71 And some of the heads of the families gave to the treasury for the project 20,000 darics of gold and 2,200 minas of silver.
Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao waliwapa katika hazina kwa kazi darkroni elfu ishirini za dhahabu na mane 2, 200 za fedha.
72 The rest of the people gave a total of 20,000 darics of gold, 2,000 minas of silver, and 67 priestly garments.
Watu wengine waliwapa darkoni za dhahabu ishirini elfu, na dhahabu elfu mbili za fedha, na mavazi sitini na saba kwa makuhani.
73 So the priests, Levites, gatekeepers, singers, and temple servants, along with some of the people and the rest of the Israelites, settled in their own towns. And by the seventh month the Israelites had settled in their towns.
Basi makuhani, Walawi, walinzi wa malango, waimbaji, watu wengine, watumishi wa hekalu, na Israeli wote waliishi katika miji yao. Hata mwezi wa saba watu wa Israeli walikuwa wakiishi katika miji yao.”

< Nehemiah 7 >